Prof. Janabi: Chama cha Figo Tanzania kitawasilisha pendekezo la kuvuna Figo za Marehemu

Prof. Janabi: Chama cha Figo Tanzania kitawasilisha pendekezo la kuvuna Figo za Marehemu

This is what I expect toka kwa wabongo. Mnataka organ na huduma bure no wonder hospital zinafungwa kwa kuzidiwa gharama za uendeshaji. Janabi atapiga kelele bure tu.
Ni kuendekeza ujinga tu ni mara mia wangeuza izo organ halafu huduma ikawa ni bure ila wao wanafanya vyote kwa pomoja

Kibongo bongo hakuna tofaut yoyote kati ya hospt binafs na ya serikali zote ni hela tu.

Kufany kipimo cha MRI ni hela nyingi wakati kule Zanzibar ni bure tu.
 
Kuna Rafiki yangu Baba yake alifariki kwa ajali, akaumia kichwani zaidi na kufarikii,

Alivyopelekwa Mochwari kukaa siku 2...siku ya tatu katika kuivalisha maiti sanda wakakuta amechanwa tumboni na kushonwa....Kumbe maiti ilitolewa figo zote bila kushirikisha Ndugu zake

Weeh, Ndugu walienda kumshitaki daktari aliyekuwa anamhudumia na walifungua kesi mahakamani

Kuna Madaktari huwa wanaiba figo na kupiga dili...Ndugu wengi hawataki
 
Naunga hoja Mkono, hakuna haja ya kuwapa Faida Mchwa/sisimizi kula miili yetu wakati Kuna nafasi ya kusaidia kuokoa maisha ya wengine...

Muhimu Serikali kuendelea kufanya uhamasishaji ili kushawishi jamii kubwa ya Watanzania kuelewa umuhimu wa kutoa figo na baadhi ya viungo vya Marehemu ili kuokoa maisha ya Walio hai.

Pia ile study ya kupandikiza figo za mnyama nguruwe nashauri iendelee wakati suala la kushawishi Matumizi ya figo za Marehemu linaendelea.
 
Usirahisishe vitu jombaa.sio rahisi kama unavyodhani.pale muhimbili kila kitu hela mpaka kuna wakati wanazuia maiti kisa ndugu hawana hela za matibabu. Leo uwambie ndugu yao achangie figo bure.wewe utaweza?

Duniani kote huduma zinalipiwa. Sijui wapi pagumu kuelewa.

Mtu amepewa matibabu amepona au kufariki nani analipa bill yake?

Watoa huduma, vifaa tiba havilipiwi kwa maombi.
 
Chama cha Figo nchini kimejiandaa kupeleka mapendekezo Serikalini kuanzisha uchukuaji wa Figo kwa marehemu, ili kuongeza idadi ya wapandikiziwaji kwani wengi wanashindwa kumudu kutokana na uchache wa watoaji figo hizo.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi, kwenye maadhimisho ya siku uchangiaji viungo Duniani leo Hospitalini hapo.

Source;
EATV

MY TAKE
Kwa namna yoyote hali hii ikipita inaweza kuleta mtafaruku kwenye kuvuna hizo FIGO kwa marehemu au watu kumaliziwa wakiwa wodini ili wawahishe FIGO kwa wahitaji......
Yap mimi nipo Tayari wachukuwe figo zote mbili, maini, moyo, na ata mapupu , Mifupa yaani Chochote kile katika mwili wangu kwani nikisha kufa kwangu ayana faida yeyote na pia isitoshe Kule Mbinguni Tutapewa miili mipya
Naunga hoja Mkono, hakuna haja ya kuwapa Faida Mchwa/sisimizi kula miili yetu wakati Kuna nafasi ya kusaidia kuokoa maisha ya wengine...

Muhimu Serikali kuendelea kufanya uhamasishaji ili kushawishi jamii kubwa ya Watanzania kuelewa umuhimu wa kutoa figo na baadhi ya viungo vya Marehemu ili kuokoa maisha ya Walio hai.

Pia ile study ya kupandikiza figo za mnyama nguruwe nashauri iendelee wakati suala la kushawishi Matumizi ya figo za Marehemu linaendelea.
ata mimi naunga mkono hoja: mbali na sisimizi kula miili yetu, pia tuendako Mbinguni kwa Baba Tutapewa miili mipya 2 Wakorintho 5
 
You just proved my point. Wabongo wengi bado ni primitive sana.
Sio tu primitive, wabongo wana ROHO MBAYAA hatari.

Yaani mbongo anaona kuliko hii figo itumike kuokoa maisha ya mtu mwingine, heri TUKOSE WOTE! Hiyo ndio akili ya mwafrika.

Wakati kwa wenzetu watu wakifa wanatolea miili yao itumike kwenye tafiti mbalimbali.
 
Back
Top Bottom