Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Ajabu kweli. Utadhani damu inayotolewa bure huwa wanawekewa bure!! Hatufahamu maana ya Organ Donor?You just proved my point. Wabongo wengi bado ni primitive sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajabu kweli. Utadhani damu inayotolewa bure huwa wanawekewa bure!! Hatufahamu maana ya Organ Donor?You just proved my point. Wabongo wengi bado ni primitive sana.
Halafu utakuta na wewe unataka uishi maisha marefu! What for?Nina miaka 34.sijawahi kuvuta sigara,bangi wala kunywa pombe
Nchi nyingi Wakati unaomba leseni ya Udereva ,Kuna sehem unasign kama Organ donnor, ata South Africa wanafanya hivyoIdhini ya kuchukuwa viungo hutolewa na mwenye viungo vyake mapema sana, labda awe mtoto mdogo hapo watahusika wazazi.
Sio tu primitive, wabongo wana ROHO MBAYAA hatari.
Yaani mbongo anaona kuliko hii figo itumike kuokoa maisha ya mtu mwingine, heri TUKOSE WOTE! Hiyo ndio akili ya mwafrika.
Wakati kwa wenzetu watu wakifa wanatolea miili yao itumike kwenye tafiti mbalimbali.
Mkuu hawa watu utahangaika tu kuwafahamisha,unakuta mtu hajui kitu ila anabisha,na mwisho anaweza kukutukana tu.Wabongo hawana elimu wala exposure wanaona ni jambo la ajabu. Bado wanataka kila kitu kiwe bure. Janabi anawazo zuri ila bongo bado haijafika huko bado ipo stone age.
Mgonjwa atatoa hela ya upasuaji ila figo ni bure, ndio maana inaitwa "donation". Mwenye figo yeye anakua ameshakufa kwahiyo hiyo figo hana kazi nayo tena.HAKUNA CHA BURE.
acheni watu wazikwe na viungo vyao.
Kupandikiza mgonjwa atoe hela.ila mwenye figo ajitolee.umeona wapi?
Nakufa kesho.umefurahi?Halafu utakuta na wewe unataka uishi maisha marefu! What for?
Kama damu tu inauzwa kimya kimya sembuse figo?? Mjini cha bure ni shikamooUmeambiwa wanauza hizo figo?
Kwanini hii donation isiwe kwa wote?Mgonjwa atatoa hela ya upasuaji ila figo ni bure, ndio maana inaitwa "donation". Mwenye figo yeye anakua ameshakufa kwahiyo hiyo figo hana kazi nayo tena.
Au we unataka marehemu alipwe hela aende nazo akhera?
Changamoto ni Elimu na utayari wa nduguYap mimi nipo Tayari wachukuwe figo zote mbili, maini, moyo, na ata mapupu kwani nikisha kufa kwangu ayana faida yeyote na pia isitoshe Kule Mbinguni Tutapewa miili mipya
ata mimi naunga mkono hoja: mbali na sisimizi kula miili yetu, pia tuendako Mbinguni kwa Baba Tutapewa miili mipya 2 Wakorintho 5
Itakuwa KIZAA ZAA NA SEKE SEKE.Chama cha Figo nchini kimejiandaa kupeleka mapendekezo Serikalini kuanzisha uchukuaji wa Figo kwa marehemu, ili kuongeza idadi ya wapandikiziwaji kwani wengi wanashindwa kumudu kutokana na uchache wa watoaji figo hizo.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi, kwenye maadhimisho ya siku uchangiaji viungo Duniani leo Hospitalini hapo.
Source;
EATV
MY TAKE
Kwa namna yoyote hali hii ikipita inaweza kuleta mtafaruku kwenye kuvuna hizo FIGO kwa marehemu au watu kumaliziwa wakiwa wodini ili wawahishe FIGO kwa wahitaji.
Point huyo mgonjwa anawekewa bure au na hela?Unamnufaisha mtu ambaye ndiye atakayefanyiwa hiyo transplant,wewe utakua umedonate figo,that's all.
We unataka daktari a donate nini? Daktari yeye yuko kazini anafanya kazi yake. Unataka asilipwe?Kwanini hii donation isiwe kwa wote?
Marehemu na madaktari?
Kwani Marehemu hana ndugu?
Kweli kabisa pombe na hizi Energy Drinks ni janga la taifaChangamoto ni Elimu na utayari wa ndugu
Binafsi nimegundua tatizo la Elimu bado ni kubwa sana miongoni mwa Watanzania hasa waishio Vijijini.
Labda tuendelee kuhamasishana suala hili hata miaka 10 mfululizo huenda likapata uungwaji Mkono
Pia tuendelee kuhamasisha jamii yetu kuacha matendo hatarishi yanayoweza kuhatarisha Figo zetu
Kuna mabinti na Vijana wa kiume wanakula pombe Kali utasema hawana kesho yao
Pia Matumizi ya vidonge za mara Kwa mara, mtu anaugua mafua tu tayari anameza dawa 🙌
Huyo mgonjwa wa figo anawekewa bure?baada ya mimi kutoa figo?kama anatoa hela kwanini kiasi kadhaa kisiende kwa ndugu zangu?ikiwa huyo mgonjwa anawekewa figo na hela."...wanaweka bure hizo figo" ni tungo tata; kwa maana inaweza kuwa gharama za kupandikiza figo au gharama za figo yenyewe au hata yote kwa pamoja! Unazungumzia kipi kati ya hayo?!
Ahaaa kwa hyo figo yangu ndo HAINA KAZI ITOLEWE BURE?We unataka daktari a donate nini? Daktari yeye yuko kazini anafanya kazi yake. Unataka asilipwe?
Hiyo SHOW sisi hatwuwezi..Sio tu primitive, wabongo wana ROHO MBAYAA hatari.
Yaani mbongo anaona kuliko hii figo itumike kuokoa maisha ya mtu mwingine, heri TUKOSE WOTE! Hiyo ndio akili ya mwafrika.
Wakati kwa wenzetu watu wakifa wanatolea miili yao itumike kwenye tafiti mbalimbali.
Wewe umekufa, figo ina kazi gani..?? 🤣Ahaaa kwa hyo figo yangu ndo HAINA KAZI ITOLEWE BURE?
Sio figo tu! Kuna watu huko Nchi za nje wanatoa mpaka miili yao yote kwa ajili ya Mafunzo ya Udaktari- Kama cadaverAhaaa kwa hyo figo yangu ndo HAINA KAZI ITOLEWE BURE?
Mgongwa anaweza kulipa huduma ya hiyo transplant,Point huyo mgonjwa anawekewa bure au na hela?