nadhan kuna muda maalumu wanaangalia ndan ya huo mda wakitoa figo au viungo vingine wakihifadhi vinaendelea kuwa salama kwaajil ya kumuwekea mtu mwingineMimi si mjuvi sana,ila mtu anapofikwa na umauti figo inaweza kuendelea kufanya kazi?
Na je ni serikali au wananchi wapewe pendekezo hilo?
Ya kutoa unayo kwanza?Nani akupe figo yake bure.?
Hao wanachama wenyewe wamechangia figo ngapi?Chama cha Figo nchini kimejiandaa kupeleka mapendekezo Serikalini kuanzisha uchukuaji wa Figo kwa marehemu, ili kuongeza idadi ya wapandikiziwaji kwani wengi wanashindwa kumudu kutokana na uchache wa watoaji figo hizo.
Bado na hizo figo zitauzwa kwa bei kubwaKawaida mtu mwenyewe kabla hajafa anasema kuwa viungo vyake vitumike kuokoa maisha ya watu wengine. Na hilo linawekwa kisheria. Uhuni unaweza kufanyika lakini si rahisi.
Kama vile walikuwa na shambaIt is wise decision, ila neno KUVUNAβ kama halijakaa vizuri.
Naogopa sana hii taarifa na wasilisho lake itakuwa ni hatari sana, labda iende sababa na wafiwa kulipwa otherwise italeta ugaidi wa mauaji holela
Chama cha Figo nchini kimejiandaa kupeleka mapendekezo Serikalini kuanzisha uchukuaji wa Figo kwa marehemu, ili kuongeza idadi ya wapandikiziwaji kwani wengi wanashindwa kumudu kutokana na uchache wa watoaji figo hizo.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi, kwenye maadhimisho ya siku uchangiaji viungo Duniani leo Hospitalini hapo.
Source: EATV
MY TAKE: Kwa namna yoyote hali hii ikipita inaweza kuleta mtafaruku kwenye kuvuna hizo FIGO kwa marehemu au watu kumaliziwa wakiwa wodini ili wawahishe FIGO kwa wahitaji.
Toa weweYa kutoa unayo kwanza?
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ KitawakaHakika muungwana.....
Hili suala linaweza kuwa na nia njema lakini kwa tunavyojuana waTanzania linaweza kufungua mlango mwingine wa maafa.....
Unashtukia ndugu yako ametolewa figo imeishauzwa......
Nakwambia kwa namna mifumo ya taasisi zetu zinavyoendeshwa kwa ukiritimba naiona hatari kubwa mbeleniHao wanachama wenyewe wamechangia figo ngapi?
Ndugu wa marehemu watakaovunwa watanufaikaje na figo za wapendwa wao?
Hamuoni kuna hatari ya mauaji kuongezeka kwamba zitaletwa maiti za mauaji hospitalini
Yako umeimalizia na k vant πππToa wewe
Hata kama unauza ya kuuza unayo? ππNani akupe figo yake bure.?
Mwenye nzima wewe toa.ila mimi hapanaYako umeimalizia na k vant πππ
Figo zako za k-vant na konyagi hizo kufa nazo tuNAOMBA NIZIKWE NA FIGO ZANGU.
Wewe gawa bureFigo zako za k-vant na konyagi hizo kufa nazo tu
Kwani vinafaida gani nikifa we kweli mjingaWewe gawa bure
Kwani ku donate figo mpaka ufe?Katoe hata leo.watapokeaKwani vinafaida gani nikifa we kweli mjinga
Ndio maana nakwambia wewe kweli mjinga kwani Janabi kasemaje kuhusu mpango mkakati wake?Kwani ku donate figo mpaka ufe?Katoe hata leo.watapokea
Mkuu,Duniani kuna watu ambao wanaitwa ORGAN Donors ambao wanaamua wenyewe kwa hiyari yao wakiwa hai Kwamba iwapo watakufa basi Viungo vyao vinakuwa Donated.Mfano Mtu amepata ajali kubwa au naugua ugonjwa ambao ni terminal kama Cance lakini haujaathiri FIGO yake anaamua kujitolea FIGO yake ili mlevi mmoja aendelee kudunda na kula maisha kwani kuna ubaya GANI hapo?
Chama cha Figo nchini kimejiandaa kupeleka mapendekezo Serikalini kuanzisha uchukuaji wa Figo kwa marehemu, ili kuongeza idadi ya wapandikiziwaji kwani wengi wanashindwa kumudu kutokana na uchache wa watoaji figo hizo.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi, kwenye maadhimisho ya siku uchangiaji viungo Duniani leo Hospitalini hapo.
Source: EATV
MY TAKE: Kwa namna yoyote hali hii ikipita inaweza kuleta mtafaruku kwenye kuvuna hizo FIGO kwa marehemu au watu kumaliziwa wakiwa wodini ili wawahishe FIGO kwa wahitaji.