Prof. Janabi: Kitu hatari zaidi ni sukari na wanga. Ataka watu kula wakihisi njaa kwani mwili hauendeshwi na ratiba ya chakula

Ndio wanazungumza general sana kiasi kwamba wote tuna mahitaji sawa.
Yeye mwenyewe ukimuangalia lazima yupo chini ya uzito stahiki...hana afya ya kawaida...hana nuru kabisa.
Hakika yupo underweight,angalia tu uso wake ulivyoporomoka na mishipa ya usoni yote inaonekana.Unless awe anaumwa,lakini kama ndiyo mzima wa afya basi swala la chakula anapaswa kwanza yeye alizingatie
 
Hakika yupo underweight,angalia tu uso wake ulivyoporomoka na mishipa ya usoni yote inaonekana.Unless awe anaumwa,lakini kama ndiyo mzima wa afya basi swala la chakula anapaswa kwanza yeye alizingatie
Umeongea jambo la muhimu anatakiwa aanze kujihudumia yeye kuliko kuja fanya biashara yake ya maputo.
 
HATA mimi hapo kwenye wanga kuchakatwa na kutoa mafuta badala ya lactose nimetoka mweupe sasa najiuliza vp protein.
 
Prof chakula chake kahawa na korosho
Anashanga mtu anakula chapati 2 tena na supu ,kula nyama ndo kabisa
 
Noted
 
wale chakula wanapohisi njaa.
MIMI sijui km ntaiweza hii Kanuni Bwana kula kula Mimi nikiona kachori twende Samaki twende mishkaki twende pweza na ngisi twende sijaona machungwa na ile mihogo ya kwenye mabeseni na karanga twende akipita mwenye mayai twende sijakaa sawa mchoma mahindi amechukua oda yangu nikifika jioni paja za kuku kadhaa hapo nimeagiza mdudu kila 1 na Nusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…