Prof. Janabi: Kitu hatari zaidi ni sukari na wanga. Ataka watu kula wakihisi njaa kwani mwili hauendeshwi na ratiba ya chakula

Kwenye kula tusipangiane kabisa ,, Mimi nakula nyama sana Yani kula kilo Moja na nusu ya kitimoto ni kitu Cha kawaida sana na ndizi nne ,pili pili kachumbali ,, kula tusipangiane tafadhari
 
Mmh haya naomba unisimlie hiyo ya form three inavo elezewa tuache ujuaji?
Tukiwaambia walimu wengi mlikuaga vilaza olevel mnalalami kuwa tunawakashifu. Na ukweli utabaki hivyo.

Twende kwenye issue uliotaka nikuelekeze. Nenda form three biology kuna topic inaitwa Coordinatation, humo utasoma sense organs zote ukimaliza Sasa ndio utagusa kipengele cha reflex action ambayo ni instant response to stimulus. Hapo pia utasoma classical (conditioned) reflex action ambayo ni an automatic response to a stimulus that differs from that initially causing the response, but that has become associated with it by repetition.

Sasa basi hapo my best biology teacher Madam Macha akakisanua mfano akatoa kulikuwa Russian scientist Ivan Pavlov. Yeye aliwatumia mbwa kutengeneza tabia ambayo ingejirudia lakini baada ya mbwa kunifunza hiyo tabia. (Salvation due to food). Alichofanya kila alipotaka kuwapa msosi mbwa aligonga kengele, mara za mwanzo mbwa hawakuwa wakitokwa na mate ya msosi ila aliporudia hicho kitendo kwa muda mrefu mbwa wakaunganisha chakula na kengele na wakajifunza kumbe kila wasikiapo kengele kuna msosi na hivyo wakawa wanatokwa udenda hata pale ilipogongwa kengele na chakula kutowekwa.

Brother acha kunichosha sisi wengine shule tulipekuwa vitabu vyote. Utakuta wewe hapo ndio mwalimu wa mwanangu pooooorer poooore[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Prof naye ana upuuzi mwingi. Kusoma sana si kuwa na uelewa. Kula kuna ratiba zake na mwili unataka kula.
Mwili hautaki kula, wewe ndio unaujengea hiyo tabia. Mwili unacrave kitu unachouzoesha mara kwa mara!
 
Nikiangalia picha zake ni kama yeye prof ndie anaumwa kwa kukosa kula wanga na sukari, hakuna kisicho na faida au hasara muhimu kula wastani huo ndio mlo bora, matunda na mbogamboga kiasi, wanga kiasi kwa ajili ya kuleta nguvu mwilini n.k
 
Umeelezea vizuri lakini glycogen siyo mafuta. Glucose ya ziada inahifadhiwa kama glycogen (form of glucose) au mafuta. Hayo mafuta ndio yanatufanya tuwe na viriba tumbo na unene
 
Mwili hautaki kula, wewe ndio unaujengea hiyo tabia. Mwili unacrave kitu unachouzoesha mara kwa mara!
Acha kulishwa ujinga wewe. Mwili hautaki kula? Wendawazimu kabisa huo mnadanganywa. Haya amua kutokula sasa uwe unashinda njaa tu ili mwili uzoee kutokula kwa week 2 tukuone. Bwege sana.
 
Wengi wana maisha magumu ndio maan hata wakila wanga na sukari havi waathiri sana sababu bado wana tumia nguvu kufanya shughuli zao za kila siku , kwa maana huchoma hiyo sukari wanao ila kila siku .Kama utafuatilia walio na maisha bora wengi wana magonjwa ya Moyo na kisukari hiyo ina dhihirisha kama unavyo sikia matatizo ya nguvu za kiume yaivyo kithiri ,kutokana na ulaji mbovu na wengine wako kwenye hatari ya kupata matatizo haya , ambapo kwa sasa wako kwenye ila hali tunaita ya kuwa na insulin resistant , ambapo niwako na ukaribu wakupatwa na ugonjwa wa kisukari na magonjwa mengine mengi yasio ambukiza .Hivyo ukitaka maisha bora, masuala ya wanga na sukari ni sio jamb salama.
 
Vijiji gani watu hutembea sana wakati pikipiki zimejaa vijijini
 
Huyu baba kwake kuna jiko kweli
Yuko against chochote kinachoenda mdomoni.
Kuhusu sex anasemaje??
Hahahaa anajua sana kuuza hofu. Hapo kwenye kukazana nahisi atasema kila ukitomba unapunguza mwaka mmoja wa kuishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…