Prof. Janabi: Kujifungua Mtoto 'Bonge' si nzuri Kiafya

Aelezee mara ngapi sasa kila siku anaelezea watu wapunguze au waache kula wanga na sukari
 
Kwahiyo yeye ndio mtaalam peke yake? Ukinywa maji mengi yana shida gani sasa?
Unapoteza madini mengi ya sodium kwa njia ya mkojo hajasema watu wasinywe maji amesema wasinywe kupitiliza ila kala mwili una kiu kunywa mpaka kiu ikate
 
Ni kweli kabisa
 
Sio pombe pekee ukiwa na kisukari na presha uko hatarini figo kufeli
 
Prof. Dr. Janabi hana huruma, yeye ni weka tuweke, yani ni ile simba wanasema UBAYA UBWELA anawavamia hadi watoto wadogo wasi na uwezo wa kujitetea 😂😂😂😂.

Marehemu waliofariki Wakiwa Wanene sana hawataingia PEPONI, maana watachelewa kufika, mioyo yao itakua imenyong’onyea sana.
 
Exactly kiburi cha afya njema kinapotosha watu
 
Wabongo hatuupendi ukweli sijui kwanini,mimi ushauri wake umeisaidia sana kuondoa kitambi na unene na kushusha digit za presha na kisukari nilikua naimani potofu kua mwili wangu ni wa asili,live long profesa janabi God bless u
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…