Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,416
- 16,603
lucky me.. Ninabadilika mwili na kula sana basi, mengine nasikiaga tu kwa watu 😂😂😂Kama unakuaga na kisirani au gubu ukiwa na mimba, kamwe huwez nenepa[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lucky me.. Ninabadilika mwili na kula sana basi, mengine nasikiaga tu kwa watu 😂😂😂Kama unakuaga na kisirani au gubu ukiwa na mimba, kamwe huwez nenepa[emoji28]
3.8 kawaidaKwa hio unashusha kilo 4/5/6/7 bila shida na hauchaniki msamba?
Me hamu huwa inaisha kabisa ya sex na kulalucky me.. Ninabadilika mwili na kula sana basi, mengine nasikiaga tu kwa watu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sio mchezo hajawahi kuchana hio labia majora3.8 kawaida
Kwa hio Baba watoto anapataje haki yake sasa au anaenda kupiga mechi ugenini huko?Me hamu huwa inaisha kabisa ya sex na kula
Huwa sijali yaani mwaka mzima ni bila bila maana yaani nikiona hata picha ya mwanaume na mwanamke huwa natapika hatare.sipendi kabisa hayo mamboKwa hio Baba watoto anapataje haki yake sasa au anaenda kupiga mechi ugenini huko?
Huwezi kumuona utatangulia wewe kwanzaTutaona yeye kama ataishi miaka 900
Tongoli yakoHuwezi kumuona utatangulia wewe kwanza
Huyu mzee wembamba wake na ule weusi hauna nuru, ajichunguze lazima ana matatizo.
Alishatupa kombora jingineHuyu mzee wembamba wake na ule weusi hauna nuru, ajichunguze lazima ana matatizo.
Maoni yangu binafsiAnother one from Professor View attachment 2843098
NGUMBARU tuna tabia ya kujaa wivu tukiona wasomi wanatoa points kama hiziUsimuamini mtu na Fani yake ni tatizo hilo..
Kweli kabisa.yaani unasukuma Kama jiwe.Mtoto akitoka mdogo nayo inakuwa nafuu kwa mama kusukuma, sasa akiwa bonge si ndio maumivu makubwa ikiwemo kuchanika msamba? Wamama wale vyakula bora wakati wakiwa wajawazito