Nafikiri hao ni wale wa kundi linalotumia muda mwingi kukaa sehemu moja. Kinachowafaa hawa ni mazoezi ya kutembea na mengine wanayoweza kufanya. na milo yao iwe ya kiasi sio kushinda na njaa.Hoja yake Ina mashiko kwa :-
-wacheza bao
-wacheza pooltable
-wacheza porn
-wasusi
-washona Nguo
-madereva
-makarani
-wahasibu
-wanasiasa
-walimu
-mahakimu na majaji
Kuna siku atasema "kuoga Mara tatu Ni uharibifu WA ngozi"🤣Chagua kula mlo mmoja upate vidonda vya tumbo ila uishi maisha marefu
Au mile mitatu uishi maisha mafupii😂
Watafika kwenye kuoga ngoja uwone
Mkuu naomba uwe rafiki yangu, pm your telegram Id , WhatsApp number etc, I fee to connected with you.Kwanini mada za prof. Jamani huwa mnazileta kimzaha?
Pengine kama hamuelewi anazungumzia nini ulizeni?
Kwa kifupi "njaa" ni mazoea Tu, shibe inaua mwili kuliko hata "ukimwi" ndio maana wafungwa wa kibongo wanakula mlo mmoja na wananenepa!
Alichosema Janabi kinaitwa "INTERMITTED FASTING" nenda Google utaelewa.
Najuta kuchelewa kujua Jambo hili....nimekuwa napambana na uzito uliokithiri ila kwa Kula 18:6 najiuliza kitambi kimepotelea wapi? 18:6 maana yake nafunga masala 18 na kuwa na muda WA Kula CHOCHOTE ndani ya masaa 8 kwa siku moja 24hrs.
Hii mbinu ni ya kale Sana madaktari kabla ya kuvurugwa na pharm companies walikuwa wakitumia njia hii kutibu wagonjwa wa sukari, shinikizo la damu, kansa NK.
Wengi tunakula Tu kwasababu ya mazoea ya Kula ila mwili hauhitaji hiyo Milo yako mitatu na pepsi ili kupunguza kuvimbiwa, ....
Soma, soma,soma vuka upeo wa kufikiri a tuliowekewa na CCM! Sorry , SYSTEM!
😀 😀 😀 unaweze sema kwanza kuoga sio lazima. Mara moja kwa wiki yatoshaKuna siku atasema "kuoga Mara tatu Ni uharibifu WA ngozi"🤣
Niligundua Jambo hili mapema, kuna Uzi wa mambo ya Forex trading ukichangia nikanote jina lako kwenye notebook yangu.Mkuu naomba uwe rafiki yangu, pm your telegram Id , WhatsApp number etc, I fee to connected with you.
Your mind is liberated, you aren't chained into programmed mindset,
Kuoga Kila siku sio nzuri unatoa mafuta asili ya kulinda ngozi mkuu, mbona wanyama hawaogi,Kuna siku atasema "kuoga Mara tatu Ni uharibifu WA ngozi"🤣
Huyu Prof naye kawa kama afisa lishe wa jiji, hana jingine ajualo yeye kila siku kulakula tuu.“Wale watu wanaokula mara nyingi, wanaokula mara kwa mara wanakuwa hawana muda wa kuunguza mafuta. Wanaofunga muda mrefu wanakuwa na muda mrefu pia wa kuunguza mafuta ya Mwili. Kuna magonjwa mengi yanayosababishwa na ulaji wetu wa mara kwa mara. Ukitaka kinga ya mwili iwe juu na kurefusha maisha, si kurefusha tu maisha bali maisha yenye quality (Ubora), kula mlo mmoja. Ni ngumu kuvumilia lakini mwili siku zote una tabia ya kuzoea. Si lazima ule mlo mmoja kila siku, unaweza kubadili ukala mara mbili au tatu kwa wiki, siku zingine ukala mara mbili”
Nukuu ya Pro. Mohamed Janabi, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na Mshauri wa Rais kuhusu Masuala ya Afya akizungumza kupitia Afya Podcast ya Muhimbili TV, Septemba 4, 2023
Vidonda vya tumbo haviletwi na kula mlo mmoja. Vinaletwa na 1.Bacteria anaitwa H.Pylori na 2.Matumizi ya muda mrefu ya dawa zinazoitwa NSAID kama Ibuprofen, DiclofenacChagua kula mlo mmoja upate vidonda vya tumbo ila uishi maisha marefu
Au mile mitatu uishi maisha mafupii😂
Watafika kwenye kuoga ngoja uwone
Na kukonda siyo Afya😀 😀 😀 haha kwamba aongeze mlo, ukamhurumua hahaha kunenepa sio afya
What did I do till uka note my name.Niligundua Jambo hili mapema, kuna Uzi wa mambo ya Forex trading ukichangia nikanote jina lako kwenye notebook yangu.
Nipo tayari kwa moyo mkunjufu mkuu, tupo connected,
HakikaPesa mwanaharamu, ukiwa nayo huwezi tambua kuna mwingine hana.
H.Pylori inaanzaje kusababisha vidonda vya tumbo? Ni swali naomba jibu itapendezaVidonda vya tumbo haviletwi na kula mlo mmoja. Vinaletwa na 1.Bacteria anaitwa H.Pylori na 2.Matumizi ya muda mrefu ya dawa zinazoitwa NSAID kama Ibuprofen, Diclofenac
Wabongo tu tukiwa na pesa huwa hatufungi kwerezma wala mwezi mtukufu.Wengine maisha yanatufanya tufunge tuu Ila tukiwa nazo unasahau kushinda njaa Dr am 4 real PhD
Stress inaletaH.Pylori inaanzaje kusababisha vidonda vya tumbo? Ni swali naomba jibu itapendeza
Ha ha haKuna siku atasema "kuoga Mara tatu Ni uharibifu WA ngozi"🤣