Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Atii. Hawa wakishua hawajui km tunakula tunachokipata na sio tunachokitaka kama wao🤣🤣🤣 Useme wewe labda watakuelewa.Tuishi tu kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atii. Hawa wakishua hawajui km tunakula tunachokipata na sio tunachokitaka kama wao🤣🤣🤣 Useme wewe labda watakuelewa.Tuishi tu kwa kweli
🤣🤣 Eti tubalance msosi🙌Atii. Hawa wakishua hawajui km tunakula tunachokipata na sio tunachokitaka kama wao
Kwamba ndio ataishi milele au!?Wakuu!
Mmemsikia Prof. Mohamed Janabi, akiendelea kutupa madini ya kuzidi kulinda afya zetu? Ila hili limeniacha mdomo wazi kidogo kuhusu kunywa juice ambayo tuaamini ni sehemu ya kuboresha afya tena zile juice za kutengeneza mwenyewe.
==================
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema ulaji wa chakula cha kila siku ndio unaotafsiri afya ya sasa na baadae, na kwamba walio na umri kuanzia miaka 35 ama 0 na kuendelea kuwa makini na aina ya mlo.
“Binafsi huwa sinywi juisi iliyotengenezwa au iliyotokea viwandani ni takribani miaka 20 tangu mwaka 2000. Sichanganyi matunda, nakula asubuhi tunda moja labda ndizi, mchana peazi na usiku kipande cha papai,” ameongeza.
“Jamii ibadili mtazamo kwamba uwekezaji wa maisha ya baadae, unaegemea kwenye uwekezaji wa mali, bali hatua hiyo inahitajika kwenye afya pia.”
Soma Pia: Tukifuata ushauri wa Professor Janabi tutaangamia kwa njaa
Prof. Janabi ambaye pia ni daktari bingwa wa magonjwa ya moyo, anayasema hayo kupitia ukurasa wake wa kijamii kuhusu maisha bora, ikiwa ni mwendelezo wa elimu kwa umma, kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza (NCDs) kama vile kisukari, presha na saratani.
acha uongo mzee janabi ukutane nae wapi wewe😁😁😁Ndiyo maana uso wake hauna nuru, mtu gani Kila kitu yeye hataki tule
Juice hataki tunywe
Nyama hataki tule
Samaki hataki tule
Biryani hataki tule
Beer hataki tunywe
Ugali hataki tule
Juzi nilikuwa mitaa ya Ofisi yake, nilikuwa nimeagiza wali Samaki na kachumbali, kuona anakaribia kwenye Meza yangu akafanya hadi nizuge chakula hakikua changu maana alishaanza kunipa risala zake 🙌
Sasa sijui anataka tufe na njaa kabisa ama nini 🙌
Profesa ana madini huyu!Wakuu!
Mmemsikia Prof. Mohamed Janabi, akiendelea kutupa madini ya kuzidi kulinda afya zetu? Ila hili limeniacha mdomo wazi kidogo kuhusu kunywa juice ambayo tuaamini ni sehemu ya kuboresha afya tena zile juice za kutengeneza mwenyewe.
==================
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema ulaji wa chakula cha kila siku ndio unaotafsiri afya ya sasa na baadae, na kwamba walio na umri kuanzia miaka 35 ama 0 na kuendelea kuwa makini na aina ya mlo.
“Binafsi huwa sinywi juisi iliyotengenezwa au iliyotokea viwandani ni takribani miaka 20 tangu mwaka 2000. Sichanganyi matunda, nakula asubuhi tunda moja labda ndizi, mchana peazi na usiku kipande cha papai,” ameongeza.
“Jamii ibadili mtazamo kwamba uwekezaji wa maisha ya baadae, unaegemea kwenye uwekezaji wa mali, bali hatua hiyo inahitajika kwenye afya pia.”
Soma Pia: Tukifuata ushauri wa Professor Janabi tutaangamia kwa njaa
Prof. Janabi ambaye pia ni daktari bingwa wa magonjwa ya moyo, anayasema hayo kupitia ukurasa wake wa kijamii kuhusu maisha bora, ikiwa ni mwendelezo wa elimu kwa umma, kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza (NCDs) kama vile kisukari, presha na saratani.
Hahaha..........Mkuu achana na ID fakeacha uongo mzee janabi ukutane nae wapi wewe😁😁😁
Akukute na msosi Mkubwa ule watu wa kanda ya Ziwa tunakula, lazima akupige risalaHa haaaa haaa. Hadi ulizuga chakula sio chako!? Kazi ipo
Ugali hataki tuleHadi ugali hataki tule haa....
Mzee analeta diet kwenye kula yake 🙌Huyu mzee ndo maana afya yake ni same same na dr shika 400 itapendeza.kiufupi ana afya hafifu sababu ya mtindo wake mbovu wa kula.asubuhi ndizi moja kweli?kipande cha papai wakati unatakiwa kula papai zima na ugali nusu kilo nzima
Anazo hela, ila àkili za mwafrika pia anazo,hana hela?