Prof. Janabi: Sijanywa juisi aina yoyote takriban miaka 20

huyu alisoma mpk nafikiri akataka kuelekea kuwa.........
 
Kwamba ndio ataishi milele au!?
 
Huyu mzee muongo
Atakuja kusema hata kuwagegedua wake zetu sio vizuri kiafya
 
acha uongo mzee janabi ukutane nae wapi wewe😁😁😁
 
Profesa ana madini huyu!
 
Watu tunatofautiana asipangie watu wote kama tuko sawa
Ameishi na wagonjwa sana mpaka kachanganyikiwa anaona sisi wote wagonjwa

Nimevuka miaka 60 kitambo na nakunywa kila aina ya juice na coke cola na chai ya sukari lazima
Chakula chumvi lazima aje anikataze
Sina pressure wala nini
Huyu naona wagonjwa wamemuathiri sana na ana ugonjwa wa wasiwasi tu hakuna kingine
Sura haionyeshi ni mzima mbona
 
Binafsi simuelewi Dr,
Yaaani Kila kitu hataki tufanye!
 
acha uongo mzee janabi ukutane nae wapi wewe😁😁😁
Hahaha..........Mkuu achana na ID fake

Piga picha umekaa Samaki Samaki Mlima city na Mimi Mzee Grahams tunakula monde, utajisikiaje Mkuu 🤗

Toka nje ya hizi ID fake, wale watu wa mitaani ndiyo hawa hawa kwenye hizi ID zetu 😜
 
Ha haaaa haaa. Hadi ulizuga chakula sio chako!? Kazi ipo
Akukute na msosi Mkubwa ule watu wa kanda ya Ziwa tunakula, lazima akupige risala

Hachelewi kusema mbona unakula ugali wa watu 4 peke yako

Atakwambia kachumbali zinaleta minyoo tumboni, wakati hapo hapo Kuna baadhi ya writings zinasema kula kachumbali ni dawa 🙌
 
Huyu mzee ndo maana afya yake ni same same na dr shika 400 itapendeza.kiufupi ana afya hafifu sababu ya mtindo wake mbovu wa kula.asubuhi ndizi moja kweli?kipande cha papai wakati unatakiwa kula papai zima na ugali nusu kilo nzima
 
Huyu mzee ndo maana afya yake ni same same na dr shika 400 itapendeza.kiufupi ana afya hafifu sababu ya mtindo wake mbovu wa kula.asubuhi ndizi moja kweli?kipande cha papai wakati unatakiwa kula papai zima na ugali nusu kilo nzima
Mzee analeta diet kwenye kula yake 🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…