Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,781
- 3,931
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliyeimba ni Rubi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliyeimba ni Rubi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duhAlie imba ile verse ni naj huyu wa baraka de prince
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi namfahamu yule anayetingisha TAKO tu, nasikia ni Vanessa Mdee.
We kaka koma hii ngoma aghali...!!!
Akajib...We vipi hebu nipishe
- We kinyago kubali yaishe
Umeambiwa sauti ndio vanesa ila kwenye video anaeonekana ni mtu mwingine kama vile nargis anaonekana lakini sauti ni muniAcha utani mkuu Vanessa anatako la kutingisha?
Member wa zamani walikua wamejipindia kinoma..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu uzi ulkua na komedi sana
Pauline Zongo au Marry G yule aliyekuwa anaimba sana na marehem James Dandu?
We huijui rap mkuu ile ni rap...fananisha ile na ile beyonce kwenye nyumbo kama drunk and loveMkuu unaijua Rap au unaisikia!?? Bila kupoteza nguvu na muda, huyo Dada sio Rapper, ila alikua anaongea Tu!
Ile rap mkuu kama ya beyonceTell em
Mzee huyu ni video queen tu sie aliyeimbaShe gat a life....![]()
![]()
![]()
![]()
Hapana mkuu tuheshimiane, alikuwa mdogo sana. Si kila mtu anawaza kugegeda muda wote.Vipi mkuu ulifanikiwa kumgegeda?
Hapana mkuu tuheshimiane, alikuwa mdogo sana. Si kila mtu anawaza kugegeda muda wote.
Nilikuwa namfundisha hesabu. Familia yao nzima ni rafiki wa familia yetu kuanzia wazazi.Urafiki ulikuwaje na binti 'mdogo' sana?
Yah, hicho kitu nimekuwa najiuliza sana mara nyingi, mbona anafanania na yule sister muigizaji kumbe ndo yeye afu namkubali kinoma kuna movie aliahawahi kuact na Ray kama mke na mume afu yeye ni mwana sheria, ni hatari sanaaaAnae onekana kwenye video ni NARGIS MOHAMMED kacheza sana bongo movie na kina Ray..
Inaitwa "WOMEN OF PRINCIPLE" ni hatareeeh, naipenda sana hiyo movie.Yah, hicho kitu nimekuwa najiuliza sana mara nyingi, mbona anafanania na yule sister muigizaji kumbe ndo yeye afu namkubali kinoma kuna movie aliahawahi kuact na Ray kama mke na mume afu yeye ni mwana sheria, ni hatari sanaaa
Yah "WOMAN OF PRINCIPLES" nimeikimbuka pia namkubali sana huyo manziInaitwa "WOMEN OF PRINCIPLE" ni hatareeeh, naipenda sana hiyo movie.