Prof. Jay: Nimekaa ICU kwa siku 127, nimeugua kwa siku 462

Prof. Jay: Nimekaa ICU kwa siku 127, nimeugua kwa siku 462

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826

Rapa Mkongwe na Mbunge wa zamani wa Mikumi, amesema hayo na kuongeza kuwa safari yake ya kuugua tatizo la Figo ilifanya afikie hatua ya kutobolewa Koo ili kuondoa uchafu uliokuwa ukisababisha ashindwa kuongea, pia, alikuwa akichoma Sindano inayogharimu Tsh. Milioni 5 ambapo alitakiwa kuchoma Sindano 10.

Akizungumza zaidi, Msanii Black Rhyno ambaye ni mdogo wa Prof. Jay amesema kuna wakati kaka yake alipata hali ya Moyo kusimama mara 3 katika vipindi tofauti lakini juhudi za Madaktari na huruma ya Mungu zilimnusuru na kifo mkongwe huyo.

Aidha, Prof. Jay akizungumza na #CloudsFM amesema Ugonjwa wa Figo ulifanya apelekwe hadi Hospitali ya Apollo India lakini pia, umempa funzo na ndio maana ameanzisha 'Foundation' itakayohusika na masuala ya kusaidia Watu wanaosumbuliwa na Ugonjwa huo.
 
Rapa Mkongwe na Mbunge wa zamani wa Mikumi, amesema hayo na kuongeza kuwa safari yake ya kuugua tatizo la Figo ilifanya afikie hatua ya kutobolewa Koo ili kuondoa uchafu uliokuwa ukisababisha ashindwa kuongea, pia, alikuwa
Heavy weight MC Mungu ampe Maisha marefu Sana hapa Duniani


Na Proj Jize huyo ndo kioo Cha jamii Cha kweli.
 

Rapa Mkongwe na Mbunge wa zamani wa Mikumi, amesema hayo na kuongeza kuwa safari yake ya kuugua tatizo la Figo ilifanya afikie hatua ya kutobolewa Koo ili kuondoa uchafu uliokuwa ukisababisha ashindwa kuongea, pia, alikuwa akichoma Sindano inayogharimu Tsh. Milioni 5 ambapo alitakiwa kuchoma Sindano 10.

Akizungumza zaidi, Msanii Black Rhyno ambaye ni mdogo wa Prof. Jay amesema kuna wakati kaka yake alipata hali ya Moyo kusimama mara 3 katika vipindi tofauti lakini juhudi za Madaktari na huruma ya Mungu zilimnusuru na kifo mkongwe huyo.

Aidha, Prof. Jay akizungumza na #CloudsFM amesema Ugonjwa wa Figo ulifanya apelekwe hadi Hospitali ya Apollo India lakini pia, umempa funzo na ndio maana ameanzisha 'Foundation' itakayohusika na masuala ya kusaidia Watu wanaosumbuliwa na Ugonjwa huo.
Huyu kapona kama Tundu Lissu.

Wema.hawafi hata waumwe vipi
 

Rapa Mkongwe na Mbunge wa zamani wa Mikumi, amesema hayo na kuongeza kuwa safari yake ya kuugua tatizo la Figo ilifanya afikie hatua ya kutobolewa Koo ili kuondoa uchafu uliokuwa ukisababisha ashindwa kuongea, pia, alikuwa akichoma Sindano inayogharimu Tsh. Milioni 5 ambapo alitakiwa kuchoma Sindano 10.

Akizungumza zaidi, Msanii Black Rhyno ambaye ni mdogo wa Prof. Jay amesema kuna wakati kaka yake alipata hali ya Moyo kusimama mara 3 katika vipindi tofauti lakini juhudi za Madaktari na huruma ya Mungu zilimnusuru na kifo mkongwe huyo.

Aidha, Prof. Jay akizungumza na #CloudsFM amesema Ugonjwa wa Figo ulifanya apelekwe hadi Hospitali ya Apollo India lakini pia, umempa funzo na ndio maana ameanzisha 'Foundation' itakayohusika na masuala ya kusaidia Watu wanaosumbuliwa na Ugonjwa huo.
Kuumwa sio kufa
 
Sindano 5 Hadi 10 ,hujasema kwasiku au kwawiki

Pili,tusipendelee kuugua kwanza au kupata matatizo ndipo tufungue Taasisi zakusaidia
Ni wazo zuri hilo la kufungua taasisi kabla hatujaugua. Lakini,haliepukiki. Taasisi nyingi tu huundwa kwa sababu hizi. Utasikia ni baada ya mwanzilishi kufikwa na tatizo tajwa.

Ninadhani haiepukiki kwakuwa hutegemea uelewa kuanzia pale ulipoguswa. Ninaweza kufungua taasisi ya kusaidia macho leo, kesho nikajiwa na wazo la kuanzisha kingine kutokana na yale yaliyonisibu kwa wakati huo.

Hata hivyo, bado ushauri wa kuwekeza maeneo haya ya kuokoa uhai ni muhimu. Bahati mbaya Tz hatuna utamaduni huo. Tazama watu wanavyojigamba mitandaoni kwa kuwa na pesa nyingi. Husikii hata mmoja kupandisha jengo kwenye hospitali zetu iwe sehemu ya mchango wao kwa jamii. Leo tukisikia wodi inaitwa Sewa Haji hatujui ni mtu alijitolea kufadhili.
 
Back
Top Bottom