Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Wewe kabla hujaugua umefungua taasisi gani?Sindano 5 Hadi 10 ,hujasema kwasiku au kwawiki
Pili,tusipendelee kuugua kwanza au kupata matatizo ndipo tufungue Taasisi zakusaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kabla hujaugua umefungua taasisi gani?Sindano 5 Hadi 10 ,hujasema kwasiku au kwawiki
Pili,tusipendelee kuugua kwanza au kupata matatizo ndipo tufungue Taasisi zakusaidia
Mbona hamuwaombei Dua madaktari na manesi waliopambana usiku na mchana kupigania uhai wake.Kama wakati haujafika ni haujafika tu.
Mungu aendelee kumlinda.
Energy inakula sana moyo sio figoProf j anawakumbusha vijana wanaobugia ENERGY DRINKS Kama chai waache Mara Moja, figo zao zikifeli Sijui itakuaje[emoji29]
Nwanko kanu pia alifungua taasisi baada ya kuugua moyo..uzuri au urahisi watu weupe wakifungua foundation zina fikia malengo sababu ya uchumiSindano 5 Hadi 10 ,hujasema kwasiku au kwawiki
Pili,tusipendelee kuugua kwanza au kupata matatizo ndipo tufungue Taasisi zakusaidia
Alishakuimbia Jay wa Mitulinga...haule,utuambie mtindi wako WA maisha ili watu wajifunze
Kumbe ugonjwa wa figo inasababishwa na umalaya??Sio kwa ubaya lakini bro akubali its over.afya yake kutengamaa itachukua miaka kama mbili ila ndo atulie kabisa nyumban hii kujaribu kulazimisha kuwa katengamaa na yuko active sio sawa .amefanya enough kwenye maisha ila atambue matatizo haya kayapata kwa mfumo wake mbovu wa kuishi hususani umalaya na ulevi .Akae nyumbani mambo ya foundation sijui tour aviache kwanza he needs his health than his fame
Unasabishwa na ulevi zaidi.au hepatitis inayoambukizwa na ngono na ndo anachoumwa.afu jiheshimu unapohoji ngono unataka tutaje na ile kubwa ingine inayochelewesha kuponaKumbe ugonjwa wa figo inasababishwa na umalaya??
Sasa hapo masuala ya kujiheshimu yamekujaje? Mimi nimeuliza nipate kujua..kumbe figo inaambukizwa kwa umalaya...I didn't knewUnasabishwa na ulevi zaidi.au hepatitis inayoambukizwa na ngono na ndo anachoumwa.afu jiheshimu unapohoji ngono unataka tutaje na ile kubwa ingine inayochelewesha kupona
Kwa maelezo yake....ndioSasa hapo masuala ya kujiheshimu yamekujaje? Mimi nimeuliza nipate kujua..kumbe figo inaambukizwa kwa umalaya...I didn't knew
Mnapenda kuwasema watu kama vile mnawajua sana, yaani unakomenti kama vile wewe siyo mwanadamu.Unasabishwa na ulevi zaidi.au hepatitis inayoambukizwa na ngono na ndo anachoumwa.afu jiheshimu unapohoji ngono unataka tutaje na ile kubwa ingine inayochelewesha kupona
Ndio nimejua na mimi...Kwa maelezo yake....ndio
Mkuu mm naeongea na ww nimepimwa mwezi ulopita nimekutwa na demage ya ini kipimo ni 80 .sababu ni ulevi wa kupindukia.nimetoa wito rafiki zangu wote wakapime figo na maini .waafrica acheni kujikimbiaMnapenda kuwasema watu kama vile mnawajua sana, yaani unakomenti kama vile wewe siyo mwanadamu.