Marco Polo JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 11,786 Reaction score 18,562 Dec 13, 2023 #41 Mm nahisi Jay mpaka sasa hayuko sawa ni vile tu ana unafuu tofauti na mwanzo mwamba kabadilika sana.
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 9,679 Reaction score 39,087 Dec 15, 2023 #42 Omerta said: Mbona hamuwaombei Dua madaktari na manesi waliopambana usiku na mchana kupigania uhai wake. Click to expand... Mungu awabariki kwa kweli. Ila madaktar na manesi wanaona mengi ya kutisha jamani.
Omerta said: Mbona hamuwaombei Dua madaktari na manesi waliopambana usiku na mchana kupigania uhai wake. Click to expand... Mungu awabariki kwa kweli. Ila madaktar na manesi wanaona mengi ya kutisha jamani.
raraa reree JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 11,504 Reaction score 35,520 Dec 15, 2023 #43 Marco Polo said: Mm nahisi Jay mpaka sasa hayuko sawa ni vile tu ana unafuu tofauti na mwanzo mwamba kabadilika sana. Click to expand... Kweli aisee ameugua kwa muda mrefu sana tena akiwa hoi kitandani sio mchezo mwili unakuwa kama sio wake tena
Marco Polo said: Mm nahisi Jay mpaka sasa hayuko sawa ni vile tu ana unafuu tofauti na mwanzo mwamba kabadilika sana. Click to expand... Kweli aisee ameugua kwa muda mrefu sana tena akiwa hoi kitandani sio mchezo mwili unakuwa kama sio wake tena