LGE2024 Prof. Jay: Wagombea wetu wote Wilaya ya Kilosa wameenguliwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Prof. Jay: Wagombea wetu wote Wilaya ya Kilosa wameenguliwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Halafu mnasema nipoteze mda wangu kupiga kura, nadhani siku hiyo bora niende nikalime shambani siku nzima..au kama vipi.....
.....I thought wananchi wange-boycott chaguzi za namna hii, ni kupoteza mda tu, bahati mbaya kuna wenzetu 10k, t-shirt, kofia na kanga vinatosha kabisa kupoteza ubinadamu wao.
 
Wagombea wote wa CHADEMA Wilaya ya Kilosa majina yao yameenguliwa.

Tunawasisitiza wasimamizi wa uchaguzi wayarudishe mara moja majina ya wagombea wetu wote wa CHADEMA walioenguliwa makusudi wilayani Kilosa la sivyo tusije kulaumiana. - Joseph Haule M/kiti wa CHADEMA wilaya ya Kilosa.

Kupata vimbwanga vingine wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Ni vyema, ili wahanga wahusika waweze kujifunza.

Duniani kote kabisa uzoefu unaonyesha kwamba Tawala za Kikomunisti/Ujamaa huwa haziondoki madarakani kwa njia za kidemokrasia. Never! Mifano hai ipo mingi Sana, mathalani, kusambaratika kwa Shirikisho la Urusi ya zamani (USSR).
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 2
Sababu ya kuenguliwa ni nini? Wagombea wote wa chadema nakumbuka walipewa mawakili wawajazie fomu,ili kusitokee yale ya mwaka 2019,sasa ni nini kimetokea mpaka wakaenguliwa,sababu ni nini?
For
Forms zao zimepelekwa kata ambazo sio za kwao alafu , wakakosa sifa
 
Yaaan
Hayawi hayawi sasa yamekuwa ni ngumu sana kumtenganisha baba na mama. Like father like mother, sasa tunarudi misiri tulikotoka.

Wagombea wote wa chadema katika wilaya ya kilosa wamepigwa chini wote. 4R bye bye bye hii ndio "Afrika"
Source joseph haule A.K.A Profesa J. Mgombea umbunge wa jimbo la mikumi. Mungu ibariki Tanzania.

====

Wagombea wote wa CHADEMA Wilaya ya Kilosa majina yao yameenguliwa.

Tunawasisitiza wasimamizi wa uchaguzi wayarudishe mara moja majina ya wagombea wetu wote wa CHADEMA walioenguliwa makusudi wilayani Kilosa la sivyo tusije kulaumiana. - Joseph Haule M/kiti wa CHADEMA wilaya ya Kilosa.

Kupata vimbwanga vingine wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Huyu joseph haule tumemhudumia pale hospital nusu afe mama katoa mamilion ya fedha ya kumtibia lakini leo anasema tusije laumiana anatishiana na serikali aisee
 
Mkuu inawezekana sio mama ila ni wakurugenzi kutaka kufagilia kibarua chao, kazi za chawa

Kumtenganisha Mama ABDUL na huu ujinga unaoendelea wakati kwenye Mazuri yote anahusishwa .... Ni UZWAZWA wa hali ya juu. Mama ABDUL lazima atake responsibility kwa yote yanaofanywa na serikali yake, whether directly or indirectly!!
 
Yaaan

Huyu joseph haule tumemhudumia pale hospital nusu afe mama katoa mamilion ya fedha ya kumtibia lakini leo anasema tusije laumiana anatishiana na serikali aisee
Hahahhahahha, mkuu mama alitoa pesa kwa ajili ya kumsaidia, tu na sio kwamba asigombeeee ubunge , hiyo itakuwa rushwa
 
Kumtenganisha Mama ABDUL na huu ujinga unaoendelea wakati kwenye Mazuri yote anahusishwa .... Ni UZWAZWA wa hali ya juu. Mama ABDUL lazima atake responsibility kwa yote yanaofanywa na serikali yake, whether directly or indirectly!!
Inawezekana mkuu
 
Back
Top Bottom