John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Tatizo siyo dhalimu wala tatizo siyo mama yenu, bali tatizo ni kwamba Katiba ya nchi tuliyonayo ni mbaya Sana kupita kiasi.Si mlishangilia kwamba dhalimu kafa sasa mnapumua huku mama yenu akipiga mwingi?
Vilio vya nini sasa
The only available and suitable solution ni upatikanaji wa Katiba Mpya iliyo nzuri.