Serikali tatu ni wazo la kijinga sijapata kuona!!
Na kama tukikubali muundo wa hivyo tutakuwa mazumbukuku tusio na uti wa mgongo!!
Ni kweli . Muungano wa kweli ni wa serikali moja. Hatujafikia hapo kwa bahati mbaya Bali ni matokeo ya usaliti, ubaguzi na unafiki wa viongozi waliopewa dhamana kutuongoza, ambao kwa miaka mingi wameshindwa kusoma hisia na matakwa ya wananchi, hususan, wasio na sauti.