sikajiji
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 588
- 113
Kwa sababu zipi wewe zombi mwenye mgongo wa mtiSerikali tatu ni wazo la kijinga sijapata kuona!!
Na kama tukikubali muundo wa hivyo tutakuwa mazumbukuku tusio na uti wa mgongo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu zipi wewe zombi mwenye mgongo wa mtiSerikali tatu ni wazo la kijinga sijapata kuona!!
Na kama tukikubali muundo wa hivyo tutakuwa mazumbukuku tusio na uti wa mgongo!!
Kwa hiyo Zanzibar na Tanganyika zitakuwa majimbo? Jimbo la Zanzibar litakuwa na gavana wake, bunge lake, mahakama yake, mamlaka yake ya mapato, nk? Na jimbo la Tanganyika litakuwa na gavana wake, bunge lake, mahakama yake, na mamlaka yake ya mapato?
Halafu tutakuwa na serikali kuu (ya Tanzania) yenye rais, makamu wa rais, baraza la mawaziri, bunge, mahakama, mamlaka ya mapato, na kadhalika?
Marekani wana serikali 53, 52 za states na 1 serikali kuu. Kila state ina mtawala mwenye mamlaka kamili, katiba inayoongoza state, senator, congress na bendera yake. Wana bajeti yao na kuna baadhi ya shughuli za uchumi katika kodi kuchangia serikali kuu. Kama hao wameweza nchi moja kuwa na serikali 53, kwa nini tushindwe kuwa na serikali tatu?
UK nako wana serikali kadhaa ikiwemo ile ya Scotland, Ireland, na England.
Miaka nenda rudi wanaendesha shughuli zao vizuri tu na wameweka taratibu ambazo hazileti migongano na mambo ni poa kabisa, nini tatizo wabongo tushindwe wakati Zanzibar tayari wameshafanikiwa na tumebaki watanganyika tu?
Kifupi swali lako limeshajibiwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ambayo ina kiongozi wa juu mwenye mamlaka kamili, katiba, bunge, wizara, nk. Sasa bado tu kuunda katiba ya Tanganyika kwa utaratibu huo huo wa Zanzibar.
Maana yake ndio hiyo, ingawa utaratibu wa mfumo wenye serikali tatu unaweza ukawa tofauti, mfano kama UK na USA ingawa nchi zina serikali kadhaa lakini mifumo ni tofauti.
Zanzibar wana Katiba, yao, bunge lao, hali kadhalika wizara zao, tatizo nini kwa Tanganyika kuwa na zao kisha zikawa hazina mamlaka kimataifa ila serikali kuu ya Tanzania?
Serikali tatu ni wazo la kijinga sijapata kuona!!
Na kama tukikubali muundo wa hivyo tutakuwa mazumbukuku tusio na uti wa mgongo!!
Wewe ni Nyani Kweli. Ulihitimu wapi wewe?
Serikali tatu ni wazo la kijinga sijapata kuona!!
Na kama tukikubali muundo wa hivyo tutakuwa mazumbukuku tusio na uti wa mgongo!!
Kwa hiyo Zanzibar na Tanganyika zitakuwa majimbo? Jimbo la Zanzibar litakuwa na gavana wake, bunge lake, mahakama yake, mamlaka yake ya mapato, nk? Na jimbo la Tanganyika litakuwa na gavana wake, bunge lake, mahakama yake, na mamlaka yake ya mapato?
Halafu tutakuwa na serikali kuu (ya Tanzania) yenye rais, makamu wa rais, baraza la mawaziri, bunge, mahakama, mamlaka ya mapato, na kadhalika?
Mimi sijui nipoje.hawa maprofesa watz huwa siwaelewi kabsaaa...
Binafsi naamini katika "NCHI MOJA, WATU WAMOJA, SERIKALI MOJA" Hayo mambo ya serikali 3 yanatoka wapi!?!? watz hebu tuache kujitoa ufahamu. Prof Kabudi i salute you kama best Tanzanian graduate katika field ya sheria. Mambo gani hayo unafanya
Kwa sababu zipi wewe zombi mwenye mgongo wa mti
Anaendelea na kipindi now. Anasema baadhi ya watu wanaona serikali mbili kama ushirikina au dogma ya kila kitu katika tanzania kitu ambacho sio sahihi
Serikali tatu ni wazo la kijinga sijapata kuona!!
Na kama tukikubali muundo wa hivyo tutakuwa mazumbukuku tusio na uti wa mgongo!!
kumbe kweli nyani ngabu hujarogwa kama ulivyotangaza hakuna mchawi wa kukuroga, yaani umeweza kuwa na mawazo mazuri kama ya kwangu. Niliwahi kusema kama hivi hapa jf nikatumiwa pm na mjinga mmoja.
Mtahangaika sana na serikali mbili ila wananchi wanataka serikali tatu