Prof. Kabudi afafanua serikali tatu katika Jenerali on Monday

Prof. Kabudi afafanua serikali tatu katika Jenerali on Monday

We grand mal nani aondoke mbona wale wauza karanga na dawa za panya kule zenji huwambii warudi huko kwenye
 
Wanaoamini serikal 1 ndio wapo sawa kichwani... "SERIKALI MOJA, NCHI MOJA, WATU WAMOJA"

Mkuu nakupata vizuri tu!
But nahisi hali halisi unaiona mwenyewe!
Labda nikupe hints:
Wazanzibar wamekataa serikali mbili ili wawe na mamlaka kamili,
...
Watu wenye akili kama kina Warioba wakapendekeza serikali 3 ili kubalance interests za pande mbili, hatua hiyo bado Wazanzibari wanataka pesa yao, jeshi lao, uraia wao na vyenginevyo!
...
Afu bado unasema wanaosema serikali moja wako sawa! Kwa lipi?
Kwa kuvunja muungano au?
...
Mkuu weka ushabiki pembeni afu ufikirie vizuri!
 
Hivi kwa nini wanaopinga maamuzi ya wengi kuhusu muundo wa muungano wetu wa kuwa na serikali tatu huwa na jazba na vitisho kama Bashiru Ali, mhadhiri pale UDSM?
 
Mkuu swala la ulinzi na usalama ni.la muungano hivyo amiri jeshi mkuu ni Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na huyo ndie pekee anayeatahili 21 gun salute! Hata leo Rais wa smz hapigiwi mizinga 21 bali 19 sababu yeye sio amiri jeshi mkuu

Hata KMKM hawampigii Rais wao mizinga 21?.,si ana mamlaka ya ku-command "majeshi" ya "nchi" ya Zanzibar?
 
Serikali 1 au 3 ndio COMMON SENSE. Wanaoamini Serikali 2 sijui niwaweke wapi.
 
Hata KMKM hawampigii Rais wao mizinga 21?.,si ana mamlaka ya ku-command "majeshi" ya "nchi" ya Zanzibar?
Mkuu naamini mizinga haipigwi hata na Polisi bali JWTZ manaa hilo ndilo Jeshi la Ulinzi na linalotumia silaha za mizinga. KMKM, Polisi, Magereza wao hawana mizinga katika silaha zao na ndio maana wakiwa katika gwaride la peke yao huwa hawapigi mizinga asilani, ukisikia mizinga inapigwa basi jua kuwa JWTZ wapo na Bosi wao ni Amiri Jeshi mkuu ambaye kwa mujibu wa katiba mpya na hata ya sasa ni Rais wa Muungano.
Wakiwepo JWTZ na mgeni rasmi akiwa sio Amirijeshi mkuu basi itapigwa mizinga 19 sio 21. Hiyo ndio ilikuwa point ya Prof Kabudi pia
 
Mkuu nakupata vizuri tu!
But nahisi hali halisi unaiona mwenyewe!
Labda nikupe hints:
Wazanzibar wamekataa serikali mbili ili wawe na mamlaka kamili,
...
Watu wenye akili kama kina Warioba wakapendekeza serikali 3 ili kubalance interests za pande mbili, hatua hiyo bado Wazanzibari wanataka pesa yao, jeshi lao, uraia wao na vyenginevyo!
...
Afu bado unasema wanaosema serikali moja wako sawa! Kwa lipi?
Kwa kuvunja muungano au?
...
Mkuu weka ushabiki pembeni afu ufikirie vizuri!

If possible muungani uvunjike tuu.. hatuna uwezo, wala uchumi wa kuhudumia serikali Tatu. Nchiyetu bado inavipaumbele lukuki.

Kama hawataki Moja, absolutely hao hawataki MUUNGANO. Sasa kwanini bara ndio tuwe kimbelembele.
 
If possible muungani uvunjike tuu.. hatuna uwezo, wala uchumi wa kuhudumia serikali Tatu. Nchiyetu bado inavipaumbele lukuki.

Kama hawataki Moja, absolutely hao hawataki MUUNGANO. Sasa kwanini bara ndio tuwe kimbelembele.

serikali moja ndio mpango mzima. Serikali mbili haifai kabisa. Haiwezekani Zanzibar iendelee kuishi wakati Tanganyika imekufa.
 
Serikali tatu ni wazo la kijinga sijapata kuona!!

Na kama tukikubali muundo wa hivyo tutakuwa mazumbukuku tusio na uti wa mgongo!!

imagine Rais wa JMT anakuwa Steven Wasira, Rais wa Zanzibar kutoka CUF na Tanganyika kutoka CDM je? watashirikiana? huyu wa JMT anaonekana desk Officer.
 
If possible muungani uvunjike tuu.. hatuna uwezo, wala uchumi wa kuhudumia serikali Tatu. Nchiyetu bado inavipaumbele lukuki.

Kama hawataki Moja, absolutely hao hawataki MUUNGANO. Sasa kwanini bara ndio tuwe kimbelembele.

Mkuu uwezo wa kuhudumia upo! Nchi zetu hazina ukame kiivyo!!! Ni wizi na ubazazi ndio unafanya tushindwe kuendeleza taifa letu!
Hata ikija hiyo serikali moja, kwa ufisadi uliopo, hatutaendelea ng'o!!!!
...
Ukweli ndio huo! Muungano hautakiwi na Wazanzibari waliowengi!
Viongozi ndio wanalazimisha!
Huwezijua kwanini wanaung'ang'ania!
 
Serikali tatu ni wazo la kijinga sijapata kuona!!

Na kama tukikubali muundo wa hivyo tutakuwa mazumbukuku tusio na uti wa mgongo!!


The problem is this Profesa is always for whatever CCM says. He was always saying that Socialism is best, when CCm scrapped it he was the same one who was the first to say capitalism not bad, when Nyerere said three governments not good idea he was the vocal support of the idea.

He does not have what he stands for.
 
kwani kuna tatizo gani tukiwa na serikali moja tu? Ni unafiki kusema muungano unautaka halafu ukadai serikali tatu badala ya moja.
 
Back
Top Bottom