Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,577
- 18,774
MK254,
Hizo zilikuwa dili za watu, mkulima ni kisingizio tuu, ndiyo maana Magu aliamua kuacha kulipa. Wewe unafikiri pesa za kufanya miradi yote hii anayoifanya zinatoka wapi?
Jamaa amekata mirija mingi ya wizi, watu wanahasira nae, wanashindwa kumzuia nchini kwakuwa yeye ndiyo mwenye dola hivyo wanatafuta soft target kumhujumu.
Hizo zilikuwa dili za watu, mkulima ni kisingizio tuu, ndiyo maana Magu aliamua kuacha kulipa. Wewe unafikiri pesa za kufanya miradi yote hii anayoifanya zinatoka wapi?
Jamaa amekata mirija mingi ya wizi, watu wanahasira nae, wanashindwa kumzuia nchini kwakuwa yeye ndiyo mwenye dola hivyo wanatafuta soft target kumhujumu.