Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Pia, ameomba Wizara ya Maliasili na Utalii kusimamia ili wananchi wake walipwe kifuta machozi chao.
Kabudi amesema hay oleo Jumatatu Juni 5, 2023 alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka wa fedha 2023/2024, bungeni jijini Dodoma.