Duh! Watu wengine ni hatari "kujimwabafy".21 November 2020
WAZIRI WA MAMBO YA NJE TANZANIA PROFESA PALAMAGAMBA KABUDI AWAJIBU MABEBERU, HATUJAWAHI KUPIGISHWA MAGOTI, UCHAGUZI ULIKUWA HURU NA HAKI
Waziri wa Mambo ya Nje Prof. Palamagamba Kabudi aijibu EU - Umoja wa Ulaya kufuatia kikao cha bunge hilo la ulaya huko makao makuu ya EU kutishia uwezekano wa vikwazo kupitia Kamati yake Mambo ya Nje ya Bunge la Umoja wa Ulaya kujadili uwezekano wa kuibana Tanzania kwa vikwazo vya aina mbalimbali ikiwemo kusitisha msaada wa kuifadhili bajeti ya Maendeleo ya Tanzania.
Prof. Palamagamba Kabudi ameomba msaada wa vyombo vya habari nchini kuisaidia serikali ya Tanzania kwa kujitokeza na kuieleza Jumuiya ya Kimataifa ukweli wa mambo. Na kueleza Nyerere aliwahi kuwadindia Germany na United Kingdom na kukataa misaada na fedha zao. Prof. Palamagamba Kabudi anashangaa waTanzania kuanza kutetemeka ktk mitandao ya kijamaii kuhusu nchi yetu kuwekewa vikwazo.
Prof. Palamagamba Kabudi amesema Tanzania haifuati sera za kidiplomasia za kujitenga kufanya kazi na Jumuiya za Kimataifa. Hivyo waziri Kabudi amesema Tanzania ipo tayari kukaa ktk meza moja na wadau wa kimataifa kuzungumzia mapungufu yaliyopo lakini si kwa kuburuzwa na mabeberu bila kuwa na facts mezani.
Prof. Palamagamba Kabudi amesema kuwa watu wahuni wachache wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya EU hawawezi kuitisha na kuidhalilisha Tanzania na watambue Tanzania ni nchi huru.
Prof. Palamagamba Kabudi amesema maneno hayo mazito akiongea na Wafanyakazi wa Wizara hiyo muhimu ya Mambo ya Nje akatumia fursa hiyo kujibu uvumi kuwa Tanzania itanyimwa misaada na kuwakumbusha wafanyakazi hao kutembea vifua mbele kwani Tanzania siyo nchi ndogo kidiplomasia, kimsimamo, kiji-Geopolitiki na kiushawishi kimataifa.
.....................................................
EU Parliament Committee on Foreign Affairs discussion on Tanzania
Tujikumbushe walioitwa "wahuni wachache" na Prof. Kabudi, tarehe 19 November 2020 jijini Brussels kwa dakika 45 mfululizo walisema nini kuhusu Tanzania ktk kikao cha Kamati ya Mambo ya Nje cha Bunge la Jumuiya ya EU
Tazama / sikiliza dakika 45 za mjadala ktk kamati hiyo:
Mkuu hii demokrasia mnayoihubiri ipo wapi sasa kama unanitukana kwa kuusema msimamo wangu.... [emoji3][emoji3] msimamo wangu unakuumizaje sasa mkuu unaye hubiri haki na amani?Wewe jamaa ni mjinga sana. Nadhani wewe ni kijana ila una akili ya babu kizee wa enzi za ukoloni.
Boss, tambo lazima ziwepo unapoingia ulingoni😂😂Prof. Palamagamba Kabudi ameianza safari hii ya kujaribu kuitetea Tanzania chini ya utawala wa CCM Mpya kwa mguu wa kushoto na kuteleza ki-diplomasia. Kuwaita wabunge wa bunge la Ulaya kuwa ni 'wahuni' na 'wachache' basi katika vita hii atashindwa vibaya.
Maana vitani hakuna kumdharau 'adui' yako lazima kwenda vitani kwa weledi mkubwa.
Bunge la ulaya limejadili udanganyifu uliofanyika kwenye uchaguzi. Kabudi badala ya kujibu hoja anaongea vitisho. Wewe unapiga makofi na kumpongeza. Huoni kama ni ujinga huo?Mkuu hii demokrasia mnayoihubiri ipo wapi sasa kama unanitukana kwa kuusema msimamo wangu.... [emoji3][emoji3] msimamo wangu unakuumizaje sasa mkuu unaye hubiri haki na amani?
Wewe ungekuwa kiongozi tayari ungeshanikamata kwa kesi ya utakatishaji.....
Yesu Wa Lugola Mfagiaji Wa Nyumba Za Malaika 😀😁Mungu ndo kamtuma awajibu watoa pesa kwa kiingereza au siyo? 🤣
Tuliambiwa na Balozi wetu wa Ubelgiji kuwa hakuna kitu kama Mjadala wa Kamati ya Mambo ya nje ya EU illiyotuongelea - eti ni uongo tu. Sasa waziri wetu naye amejibu kisichokuwepo au?21 November 2020
WAZIRI WA MAMBO YA NJE TANZANIA PROFESA PALAMAGAMBA KABUDI AWAJIBU MABEBERU, HATUJAWAHI KUPIGISHWA MAGOTI, UCHAGUZI ULIKUWA HURU NA HAKI
Waziri wa Mambo ya Nje Prof. Palamagamba Kabudi aijibu EU - Umoja wa Ulaya kufuatia kikao cha bunge hilo la ulaya huko makao makuu ya EU kutishia uwezekano wa vikwazo kupitia Kamati yake Mambo ya Nje ya Bunge la Umoja wa Ulaya kujadili uwezekano wa kuibana Tanzania kwa vikwazo vya aina mbalimbali ikiwemo kusitisha msaada wa kuifadhili bajeti ya Maendeleo ya Tanzania.
Prof. Palamagamba Kabudi ameomba msaada wa vyombo vya habari nchini kuisaidia serikali ya Tanzania kwa kujitokeza na kuieleza Jumuiya ya Kimataifa ukweli wa mambo. Na kueleza Nyerere aliwahi kuwadindia Germany na United Kingdom na kukataa misaada na fedha zao. Prof. Palamagamba Kabudi anashangaa waTanzania kuanza kutetemeka ktk mitandao ya kijamaii kuhusu nchi yetu kuwekewa vikwazo.
Prof. Palamagamba Kabudi amesema Tanzania haifuati sera za kidiplomasia za kujitenga kufanya kazi na Jumuiya za Kimataifa. Hivyo waziri Kabudi amesema Tanzania ipo tayari kukaa ktk meza moja na wadau wa kimataifa kuzungumzia mapungufu yaliyopo lakini si kwa kuburuzwa na mabeberu bila kuwa na facts mezani.
Prof. Palamagamba Kabudi amesema kuwa watu wahuni wachache wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya EU hawawezi kuitisha na kuidhalilisha Tanzania na watambue Tanzania ni nchi huru.
Prof. Palamagamba Kabudi amesema maneno hayo mazito akiongea na Wafanyakazi wa Wizara hiyo muhimu ya Mambo ya Nje akatumia fursa hiyo kujibu uvumi kuwa Tanzania itanyimwa misaada na kuwakumbusha wafanyakazi hao kutembea vifua mbele kwani Tanzania siyo nchi ndogo kidiplomasia, kimsimamo, kiji-Geopolitiki na kiushawishi kimataifa.
.....................................................
EU Parliament Committee on Foreign Affairs discussion on Tanzania
Tujikumbushe walioitwa "wahuni wachache" na Prof. Kabudi, tarehe 19 November 2020 jijini Brussels kwa dakika 45 mfululizo walisema nini kuhusu Tanzania ktk kikao cha Kamati ya Mambo ya Nje cha Bunge la Jumuiya ya EU
Tazama / sikiliza dakika 45 za mjadala ktk kamati hiyo:
Kwa jinsi unavyo tia huruma kukosa misaada sina shaka kabisa ukipewa uongozi wa nchi nadhani utaendesha nchi kwa misaada aiseeTaifa letu limekosa viongoz waadilifu na wenye huruma kwa wenzao ,100% ya misaada inalenga kwa wananch wanaitwa wanyonge wanaimba wao ni viongoz wa wanyonge ila wanayoyafanya hawana ata chembe ya huruma n hao wanyonge ,binafs naumia kwa sababu najua madhara tutakayoyapata sio wao ,leo hii tunasaidiwa ila bado hali dhoofu je tukikosa kabisa ,viongoz wetu wawafikirie watu wa hali duni wasitake kuwapa mzigo wa makodi na mfumuko wa bei
Tatizo lako ni moja....Bunge la ulaya limejadili udanganyifu uliofanyika kwenye uchaguzi. Kabudi badala ya kujibu hoja anaongea vitisho. Wewe unapiga makofi na kumpongeza. Huoni kama ni ujinga huo?
Kuna tatizo ambalo Tanzania imelikuza si EUHoja kubwa iliyopo ni kuwa kuna ukiukwaji wa haki katika chaguzi za Tanzania na hii si mara ya kwanza. Hakuna hoja ya vita ya kiuchumi.
Siyo, ila unashangilia (self hater)!Kwa Hiyo watapeleka JWTZ kuwapiga European Unioni sio ?
Hahahahaha