Prof. Kabudi aieleza Jumuiya ya Kimataifa kuwa Tanzania haijawahi kushindwa vita ya aina yoyote

Prof. Kabudi aieleza Jumuiya ya Kimataifa kuwa Tanzania haijawahi kushindwa vita ya aina yoyote

Kwa kweli kama mwanadiplomasia tunayemtegemea ndio huyu basi hali sio nzuri kwa taifa lililosifika kwa diplomasia nzuri kwa sasa bure kabisa.

Nigosheter hatakiwi kuonyesha umwamba kwa jambalo bado halijawa tuhuma.

Anasema Mwalimu Nyerere aliwafukuza Waingereza na hatukupata tatizo lolote lakini kwa kumaanisha kwake Watanzania ni wale wale wa kipindi hicho cha Mwalimu.

Inatakiwa Proffesa aelewa nyakati zimebadili kwani kipindi cha Nyerere kazi zilikuwa zinatafuta mtu wa kuzifanya lao hii wafanyaji ndo wanazitafuta hizo kazi na kadri ya siku zinavyozidi kusongo ndivyo na idadi ya watafutaji inazidi kuongezeka.

Hii yote ina maanisha kuwa kipindi cha Nyerere Watanzania walikuwa wamoja kwa walishikamana kwa umoja wao kipindi hicho tofauti na sasa Itikadi zimewagawa zimeshatugawa. Kwa hiyo kwa sasa kwa alichokiongea kwa njia hamaki kubwa hata Mugabe aliitumia mwisho Zimbabwe tunauona kwa Nchi ninayoijua vizuri kwani niliwahi kuishi ninaijua ilivyokuwa mwanzo.

Akizidisha ukali kwa Wazungu ni hasara kwa Nchi yetu tukumbuke Mzungu hanuni ili muda anachika kwa kukuonyesha mko pamoja kumbe sio.
 
Tatizo lako ni moja....

Unataka niwasikilize wabunge wa EU na kuwaelewa kama unavyotaka wewe.

Nimsikilize Kabudi kisha nimwelewe kama unabyotaka wewe. Demokrasia ipi mnahubiri mkuu?

Bado naenda na msimamo wa waziri...utu wa taifa langu unakuja kwanza..
Wewe jamaa hovyo sana. Kwa hiyo serikalii iendelee kuumiza raia wake na isikemewe? Haya sawa mkuu.
 
Hata kama Tanzania ni sovereignty country lakini likija swala la uvunjaji wa haki za binadamu sovereignty inakuwa over rode, hamuwezi kuumiza watu kwakua nyinyi ni sovereignty country.
Swadakta, ndiyo maana EU wakaenda mbele zaidi na kuazimia azimio mtambuka halikwepeki "ukisema nchale, ukikaa nchale, ukikimbia nchale" kifupi suala la Haki za binadamu halina 'msalie mtume' kwa EU Umoja wa Ulaya:
  • Council of the EU
  • Press release
  • 19 November 2020
  • 14:38

Council approves conclusions on the EU Action Plan on Human Rights and Democracy 2020-2024​

The Council has approved conclusions on the EU Action Plan on Human Rights and Democracy 2020-2024. The Action Plan sets out the EU's level of ambition and priorities in this field in its relations with all third countries.
With this Action Plan, the Council reaffirms the EU's strong commitment to further advancing universal values for all.
The conclusions acknowledge that while there have been leaps forward, there has also been a pushback against the universality and indivisibility of human rights. The ongoing COVID-19 pandemic and its socio-economic consequences have had an increasingly negative impact on all human rights, democracy and rule of law, deepening pre-existing inequalities and increasing pressure on persons in vulnerable situations.
No one should be left behind, no human right ignored. To this end the EU and its member states will use the full range of their instruments, in all areas of external action, to focus on and further strengthen EU's global leadership in the field of human rights and democracy and in the implementation of the EU Action Plan.

Background​

In 2012, the EU adopted the Strategic Framework on Human Rights and Democracy which set out the principles, objectives and priorities designed to improve the effectiveness and consistency of EU policy in these areas. To implement the EU Strategic Framework of 2012, the EU has adopted two EU Action Plans (2012-2014 and 2015-2019).
The new Action Plan for 2020-2024 builds on the previous action plans and continues to focus on long-standing priorities such as supporting human rights defenders and the fight against the death penalty.
By identifying five overarching priorities: (1) protecting and empowering individuals; (2) building resilient, inclusive and democratic societies; (3) promoting a global system for human rights and democracy; (4) new technologies: harnessing opportunities and addressing challenges; and (5) delivering by working together, the Action Plan also reflects the changing context with attention to new technologies and to the link between global environmental challenges and human rights.
Source : https://www.consilium.europa.eu/en/...plan-on-human-rights-and-democracy-2020-2024/
 
Wewe jamaa hovyo sana. Kwa hiyo serikalii iendelee kuumiza raia wake na isikemewe? Haya sawa mkuu.
Lbda mnaumizwa kijijini kwenu mkuu...sisi huku kila siku tunaenda machungani wanaoumizwa wavunja sheria tena kwa nadra saana.
 
Katumwa na bosi wake kusema aliyosema , mabeberu wamemsikia hivyo asubiri vitendo wenyewe hawana taarabu . Kwa akili ya kawaida leo bunge la EU , kesho , Amnesty international , Mara ICC wiki hi tu , these are meticulous planned , Kabudi mwambie Mzee ajiandae safari imewadia yeye na vibaraka wake kina Lengai Ole Sabaya , Siro Mambosasa , Mabeyo etc.
 
Hii ni sawa na kupiga ngumi hewani
Huu "ubabe" wa kuongea na wafanyakazi wa wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania, siyo ubabe wa kweli toka hapo wizarani ukifuatana na waandishi wa kimataifa kwenda kuelezea msimamo usioterereka wa Tanzania baada ya uchaguzi mkuu wa 28 Oktoba 2020 dunia na wadau wa maendeleo wakusikie.

Hii style ya kujifungia umejitenga kimataifa ndani ya jengo lako la wizara lenye madirisha ya nondo na kuwaeleza mabeberu waliopo nje 'hatuwaogopi' haina mashiko.
 
Nimemsikiliza prof. Kabudi kwa makini sana; Kwanza amekosa lugha ya kidiplomasia na wazi kiti hakimtoshi sababu kwa nafasi aliyonayo ile siyo lugha nzuri katika kutafuta suluhu kati ya Nchi na jumuiya za kimataifa. Pili Prof. Ajiulize kwanza je alishawahi kutembea kwenye Nchi zilizopata vikwazo vya kiuchumi ili kuona madhira yanayowapata raia wa kawaida mfano mzuri Zimbabwe.

Tatu ajiulize kwa nini Russia taifa lenye nguvu kubwa liliomba msamaha kwa jumuiya ya kimataifa ikiwemo marekani walipotaka kuiwekea vikwazo vya kiuchumi.

Kabudi anapaswa kujua sisi hatuwezi kushindana na mzungu kama tunategemea fedha yao kuendesha Nchi hasa kwenye bajeti ya kila mwaka, sababu yeye ana maslahi ya kisiasa asilete habari ya yule waziri wa marehemu sadam Hussein wa Iraq " Al sahaaf" kuwaaminisha wananchi jeshi la marekani limeshabanwa matokeo yake naye alikamatwa na jeshi la marekani wakamuona ni kichekesho na kumuachia huru
 
Lbda mnaumizwa kijijini kwenu mkuu...sisi huku kila siku tunaenda machungani wanaoumizwa wavunja sheria tena kwa nadra saana.
Wewe jamaa ungekuwa karibu ningekukata bonge la kofi. Watu waliokufa Zanzibar picha zake hukuziona? Kura fake zinazotaka kutusababishia kuharibu uhusiano na wahisani wa maendeleo hukuziona? Hasara kweli kuwa na vijana wa namna hii!
 
Wewe jamaa ungekuwa karibu ningekukata bonge la kofi. Watu waliokufa Zanzibar picha zake hukuziona? Kura fake zinazotaka kutusababishia kuharibu uhusiano na wahisani wa maendeleo hukuziona? Hasara kweli kuwa na vijana wa namna hii!
Sasa mkuu kuliko kunipiga si ungeandamana ile siku kumaliza hasira zako?
 
Soma chote nilichoandika. Kuna watu kuuawa kwa kupigwa risasi, kuna mabegi ya kura fake. Mbona hucoment kuhusu haya?
Watu wanauana kila kukicha Duniani sio Tanzania tu... na hili mnasababisha wenyewe wapiga mayowe....mnainfluence vijana wasio na hili wala lile na kuwaaminisha yasiyokuwepo.....

Kila serikali Duniani ina dosari zake.....ukiwa na kundi lisilofikiria lkapata viongozi wahemkaji tarajia vifo.

Hoja ya kura ni mfu....ninachojua mimi hata kura ungehesabu wewe JPM angeshinda awamu hii.
 
Back
Top Bottom