Prof. Kabudi aihakikishia Uingereza na jumuiya ya kimataifa uchaguzi huru, haki

Prof. Kabudi aihakikishia Uingereza na jumuiya ya kimataifa uchaguzi huru, haki

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
4 September 2020



Video source : millard ayo

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeihakikishia Uingereza pamoja na Jumuiya ya Kimataifa kuwa uchaguzi mkuu unaotegemewa kufanyika mwezi Oktoba mwaka 2020 utafanyika kwa amani, uhuru na haki.

Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi wakati akipokea nakala za hati za utambulisho za Balozi mteule wa Uingereza hapa nchini Mhe. David Concar

Prof Kabudi amesema kuwa paamoja na mambo mengine, amemhakikishia balozi mteule wa Uingereza nchini Mhe. Concar kuwa mchakato wa uchaguzi nchini unaendelea vizuri sana ambapo mikutano ya kampeni imeanza kwa ngazi zote (ngazi ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani) na mpaka sasa kampeni zinaendea vizuri.

"kama ilivyoada ya watanzania nimemhakikishia kuwa uchaguzi huu utafanyika kwa amani na utulivu na mwisho wa siku maamuzi yatakayotolewa na watanzania ya kuamua nani awe diwani, nani awe mbunge na nani awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yataheshimiwa na watanzania wote," Amesema Prof. Kabudi.

Kwa upande wake Balozi mteule Mhe.David Concar amesema kuwa katika maongezi yao mbali na kugusia suala la uchaguzi pia wameongelea namna ya kuimarisha mahusiano baina ya Tanzania na Uingereza na mazingira bora ya kuvutia zaidi wawekezaji kuja nchini,kukuza biashara hususani baada ya Uingereza kujitoa katika jumuiya ya Umoja wa Ulaya na pia kusaidia maendeleo katika maeneo ya afya,maji pamoja na elimu.

Source: TZ YAIHAKIKISHIA UINGEREZA NA JUMUIYA YA KIMATAIFA UCHAGUZI HURU, HAKI
 
KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AFANYA MAZUNGUMZO NA MRATIBU MKAZI WA UMOJA WA MATAIFA NCHINI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brigedia Generali Wilbert A. Ibuge akizungumza na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini,
Bw. Zlatan Milišić alipomtembelea Ofisini kwake jijini Dodoma tarehe 2 Septemba 2020.
1H7A0354.JPG
Katibu Mkuu Brig.Gen W. A. Ibuge na Mratibu wa Umoja wa Mataifa Bw. Zlatan Milišić

Katika mazungumzo yao walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Tanzania na Shirika la Umoja wa Mataifa ambapo Balozi Ibuge alitoa shukrani kwa Shirika hilo kwa ushirikiano uliopo kati yake na Serikali hususan kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Kwa upande wake, Bw. Milišić aliipongeza Tanzania kwa kudumisha amani na utulivu ambao ni chanzo cha uchumi wa nchi kustawi.

Pia aliipongeza kwa kuendelea kuchangia vikosi vya ulinzi wa amani kwenye mataifa mbalimbali yenye migogoro duniani na kuitakia Tanzania uchaguzi wa amani na utulivu hapo mwezi Oktoba 2020
 
Hahaha ujinga huu ataukubali nani, uchaguzi huru na haki mnapitishwa bila kupingwa?!

Majimbo yote yagombewe, hiyo ndiyo mwanzo wa uhuru na haki,pili mshindi halali atangazwe, huo ndio uchaguzi huru na haki.
Mpaka sasa uchaguzi sio huru na sio haki.
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeihakikishia Uingereza pamoja na Jumuiya ya Kimataifa kuwa uchaguzi mkuu unaotegemewa kufanyika mwezi Oktoba mwaka 2020 utafanyika kwa amani, uhuru na haki.

Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi wakati akipokea nakala za hati za utambulisho za Balozi mteule wa Uingereza hapa nchini Mhe. David Concar...

Kuminywa kwa uhuru kulikopo kwa vyombo vya habari na bias iliyopo kuelekezwa CCM kwake ni sawa.

Engua enguaji ili kupita bila kupingwa ambapo yeye ni mfano mzuri hiyo ni sawa.

Matumizi ya nguvu kuzuia wagombea kujiridhisha fomu kwa wakati ikiwamo hata kushikiliwa na polisi kwa kabudi ni sawa.

Tume kutokuwa huru na transparent kwake hilo ni sawa.

Mgombea mmoja kuendelea kuandamwa na makesi ya kubumba bumba na summons za mahakamani wakati wa kampeni. Kwa kabudi hilo ni sawa.

Haki na huru kwa vigezo vipi?

Ama kweli uprofesa si weledi bali ni njaa isiyo kifani!
 
4 September 2020


Video source : millard ayo

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeihakikishia Uingereza pamoja na Jumuiya ya Kimataifa kuwa uchaguzi mkuu unaotegemewa kufanyika mwezi Oktoba mwaka 2020 utafanyika kwa amani, uhuru na haki.

Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi wakati akipokea nakala za hati za utambulisho za Balozi mteule wa Uingereza hapa nchini Mhe. David Concar

Prof Kabudi amesema kuwa paamoja na mambo mengine, amemhakikishia balozi mteule wa Uingereza nchini Mhe. Concar kuwa mchakato wa uchaguzi nchini unaendelea vizuri sana ambapo mikutano ya kampeni imeanza kwa ngazi zote (ngazi ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani) na mpaka sasa kampeni zinaendea vizuri.

"kama ilivyoada ya watanzania nimemhakikishia kuwa uchaguzi huu utafanyika kwa amani na utulivu na mwisho wa siku maamuzi yatakayotolewa na watanzania ya kuamua nani awe diwani, nani awe mbunge na nani awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yataheshimiwa na watanzania wote," Amesema Prof. Kabudi.

Kwa upande wake Balozi mteule Mhe.David Concar amesema kuwa katika maongezi yao mbali na kugusia suala la uchaguzi pia wameongelea namna ya kuimarisha mahusiano baina ya Tanzania na Uingereza na mazingira bora ya kuvutia zaidi wawekezaji kuja nchini,kukuza biashara hususani baada ya Uingereza kujitoa katika jumuiya ya Umoja wa Ulaya na pia kusaidia maendeleo katika maeneo ya afya,maji pamoja na elimu.
Source : TZ YAIHAKIKISHIA UINGEREZA NA JUMUIYA YA KIMATAIFA UCHAGUZI HURU, HAKI

Huwezi kudanganya watu nmna hii eti uchaguzi huru na wa haki wakati unawatibua watu kwa kuwaengua wagombea kinyemela.
 
Kumbuka Kabudi naye ni mgombea,walipelekewa watu wa Kilosa mgombea ambaye walikuwa hawamfahamu ,amefungwa kwenye mfuko
 
Agreement. Mabeberu hawajali nani anakuwa raisi, wanachojali ni utawala wa makubaliano. Ukikaza, wanakaza. Mpaka mkielewana. Silaha yao ya mwaka huu inafanya kazi vizuri, kuna uwezakano wa makubaliano.
 
Hahaha ujinga huu ataukubali nani, uchaguzi huru na haki mnapitishwa bila kupingwa?!

Majimbo yote yagombewe, hiyo ndiyo mwanzo wa uhuru na haki,pili mshindi halali atangazwe, huo ndio uchaguzi huru na haki.
Mpaka sasa uchaguzi sio huru na sio haki.
Mnasema chama cha wasomi hata form mnashindwa kujaza,
Hata uwezo wa wanasheria wa kuwasaidia wagombea wenu hamna?
Kwa sasa chama chenu ndo cha wajinga na elimu ndogo.
 
4 September 2020


Video source : millard ayo

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeihakikishia Uingereza pamoja na Jumuiya ya Kimataifa kuwa uchaguzi mkuu unaotegemewa kufanyika mwezi Oktoba mwaka 2020 utafanyika kwa amani, uhuru na haki.

Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi wakati akipokea nakala za hati za utambulisho za Balozi mteule wa Uingereza hapa nchini Mhe. David Concar

Prof Kabudi amesema kuwa paamoja na mambo mengine, amemhakikishia balozi mteule wa Uingereza nchini Mhe. Concar kuwa mchakato wa uchaguzi nchini unaendelea vizuri sana ambapo mikutano ya kampeni imeanza kwa ngazi zote (ngazi ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani) na mpaka sasa kampeni zinaendea vizuri.

"kama ilivyoada ya watanzania nimemhakikishia kuwa uchaguzi huu utafanyika kwa amani na utulivu na mwisho wa siku maamuzi yatakayotolewa na watanzania ya kuamua nani awe diwani, nani awe mbunge na nani awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yataheshimiwa na watanzania wote," Amesema Prof. Kabudi.

Kwa upande wake Balozi mteule Mhe.David Concar amesema kuwa katika maongezi yao mbali na kugusia suala la uchaguzi pia wameongelea namna ya kuimarisha mahusiano baina ya Tanzania na Uingereza na mazingira bora ya kuvutia zaidi wawekezaji kuja nchini,kukuza biashara hususani baada ya Uingereza kujitoa katika jumuiya ya Umoja wa Ulaya na pia kusaidia maendeleo katika maeneo ya afya,maji pamoja na elimu.

Source: TZ YAIHAKIKISHIA UINGEREZA NA JUMUIYA YA KIMATAIFA UCHAGUZI HURU, HAKI

Ukizoea kuiba ni vigumu mtu kukuamini usemapo kuwa sasa hautaiba wakati wizi wako ulikuwa wamabavu.
 
Agreement. Mabeberu hawajali nani anakuwa raisi, wanachojali ni utawala wa makubaliano. Ukikaza, wanakaza. Mpaka mkielewana. Silaha yao ya mwaka huu inafanya kazi vizuri, kuna uwezakano wa makubaliano.
Makubaliano Na nani bwashee?
 
Si mnawaita mabeberu, kuna haja gani ya wao kuhakikishiwa kuhusu uchaguzi wetu? Au mkiongea nao ninyi na wakiwasifia wanaitwa wadau wa maendeleo, wakiwakosoa au wakiongea na wengine wanaitwa Mabeberu
 
Lizee lenyewe liongo, litapeli yani lipo hovyo hovyo! Kamwambie kuwa tumechoka kulisikiliza!
 
Back
Top Bottom