Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,729
- 2,851
Kwa hiyo CCM inajipigia kura yenyewe na sio watanzania?Huwezi kutawala 100% kwa matakwa yako. Kuna mwingiliano mkubwa sana wa mataifa duniani unaozuia hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo CCM inajipigia kura yenyewe na sio watanzania?Huwezi kutawala 100% kwa matakwa yako. Kuna mwingiliano mkubwa sana wa mataifa duniani unaozuia hilo.
Mbona baba yako anamtawala mama yako miaka yote na hujataka baba mwigine?Huwezi kutawala 100% kwa matakwa yako. Kuna mwingiliano mkubwa sana wa mataifa duniani unaozuia hilo.
HatujaelewanaKwa hiyo CCM inajipigia kura yenyewe na sio watanzania?
Hukunielewa.Mbona baba yako anamtawala mama yako miaka yote na hujataka baba mwigine?
Hahaha unaakili kweli au umeiba simu sasa unataka nawe uonekane upo?!Mnasema chama cha wasomi hata form mnashindwa kujaza,
Hata uwezo wa wanasheria wa kuwasaidia wagombea wenu hamna?
Kwa sasa chama chenu ndo cha wajinga na elimu ndogo.
Balozi asubiri kwanza kuwasiliana hati Hadi uchaguzi,Wana matamko yao Yale ya kuvuruga nchiKauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi wakati akipokea nakala za hati za utambulisho za Balozi mteule wa Uingereza hapa nchini Mhe. David Concar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha ujinga huu ataukubali nani, uchaguzi huru na haki mnapitishwa bila kupingwa?!
Majimbo yote yagombewe, hiyo ndiyo mwanzo wa uhuru na haki,pili mshindi halali atangazwe, huo ndio uchaguzi huru na haki.
Mpaka sasa uchaguzi sio huru na sio haki.