Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani

Mm naona hizo ndege ni zamtu binafsi kwani bunge halijawahi hata kukaa kikao kimoja ikapitisha bajeti ya kununuliwa ndege
 
Mleta mada upeo wako ni mdogo sana.
Unapaswa kufahamu kuwa, sio serikali au ATCL ambao wako huru kipesa, wote ni watumwa wa madeni kupita maelezo, na tatizo sio kudaiwa, tatizo ni kugoma kulipa kile unachodaiwa. Huu uhuni wa kugoma kulipa madeni unafanywa zaidi sasa, hivyo wanaotudai wameamua kupambana kisheria kuudhibiti huo uhuni.

Dawa ya deni ni kulipa.
 
As far as the matter concerned, I have understood that inept, incompetent person may handle the matter in the wrong way.
 
Haya haraka sana walala hoi bebeni mabango muandamane na kuimba tunataka ndege yetu ingawa hamna chance yeyete maishani mwenu kuona ndani ya ndege hizo wachalia mbali kuzitumia kwa safari. Tanzania oyeeee!!!!!
 
Safari ijayo kamata mtoto wa jiwe anayesoma nje ya nchi.

Mshahara wa dhambi ni mauti, yalishasemwa miaka mingi sana, watumishi wameumia ajili ya hizi ndege,

na bado.

Usipotubu dhambi hii itakusumbua sana, acha kiburi cha uzima hakina mwisho mwema. kutubu ni rahisi tu.

Angalia sasa aibu hiii, unanuka uozo wa fungus mtaa mzima. kumbuka hao ni Mabeberu wenzake.

Lipa tu.
 
Hii ndio aina ya maprofesa wenye degree tano tulionao nchi hii, msikilize huyu Kabudi guy katikati ya maneno utaelewa kuna shida mahali, anaongea na Rais kama vile anamshitaki mtoto (Canada) kwa babaye (Rais wa JMT) kichwani kwake sijui anafikiri Rais wa nchi hii ni nani huko ulimwenguni!

Dawa ya deni kulipa wangemuita mkulima kwenye meza ya makubaliano wamuombe kulipa hata kwa installments. Yanayoendelea ni matokeo ya kujimwambafy, Poor my Country!
 
Canada wachakarike maana watapoteza biashara, hamna tena kununua ndege kutoka huko, habari za makinikia bado huwauma sana.
 
Canada wachakarike maana watapoteza biashara, hamna tena kununua ndege kutoka huko, habari za makinikia bado huwauma sana.
Canada hawawezi kushabikia unafiki dhuluma kisa watakosa soko la Tanzania, Canada wanapenda haki hawataki dhuluma za kishamba shamba toka kolomije
 
Lakini hii serikali yetu inakwama wapi sehemu moja hiyohiyo zinakamatwa ndege zaidi ya mbili na bado unajipeleka. Ni ujinga.
Huwezi kushinda haki kwa ujanja dawa ya salama ya ndege ni kulipa sio kuwkepa safari, je MKULIMA akiweka zuio dunia nzima ndege zitakuwa zinasafiri ndani ya nchi tu?
 
Huyu analeta uchuro mchana kweupe. Hizo USD 33 million bora tulipe tu, sasa inakuwa kero. Sisi ni taifa kubwa hebu wamlipe maana pesa zipo. Tuangalie yajayo, vile vile tutaweka heshima maana ni tangu enzi ya Baba wa Taifa, tufanye kila linalowezekana tumalize hii ghasia. We have better things to do kuliko kulumbana na kichaa mabaye ana kakundi ambako kanamsaidia. Lets show maturity.
 
Halafu Profesa macho kodo anasema eti walishinda kesi mahakamani?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Sasa kama kesi mlishinda inakuwaje mnatuma mawakili kugomboa ndege. Si atumwe mtu mmoja tu aende na 'nakala ya hukumu' ndege iachiwe? Mataga kweli!!!!
 
Dawa ya deni ni kulipa ili kufanya Safari za ndege zetu kimataifa ziwe na amani
Tutarukaruka huku na huko, tukijitangaza kuwa wababe, lakini mwisho dawa ya deni ni kulipa.

Hili la kupora mtawapora watanzania wajinga wanaofikiri kuwa serikali ni kama mzazi. Hata wahindi wamekuwa wajanja, kesi zao zinapelekwa nje kusuluhishwa.

Hizi mahakama za kiswahili zimekuwa za kubariki ufisadi na uvunjivu wa sheria unaotendwa na serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…