Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta video ya ule mkutano baada ya kurudi na zile dawa kufanyia utafiti, au na hilo unahitaji mkalimani?Uliamini?
Sijaomba ufafanuzi! Nimekuuliza "uliamini?" Usikurupuke kujibu.Tafuta video ya ule mkutano baada ya kurudi na zile dawa kufanyia utafiti, au na hilo unahitaji mkalimani?
Kwa hiyo?Sijaomba ufafanuzi! Nimekuuliza "uliamini?" Usikurupuke kujibu.
Swali hujibiwa!Kwa hiyo?
Hapa sasa.Prof. Palamagamba Kabudi akisoma ujumbe wa Rais unaosema alipoamua kutofunga nyumba za ibada wala kuifunga nchi kwa lockdown ni kuwa hakuyasema yeye kama binadamu (Mh.Rais) aliyeumbwa kwa nyama na damu bali alipata ujasiri na imani hiyo toka kwa Mungu. Kwani Mungu alimleta afanye kazi hiyo kama Musa alivyofanya kazi ya kuwavusha wana wa Israeli wavuke salama bahari ya Shamu kuwaepuka askari wa Farao.
Wewe msukule,sayansi ya magonjwa ya kuambukiza unaijua!? Hapo anazungumzia hilo,sio sayansi yako. Kwa nini mnakuwa na vichwa kwa ajili ya kufugia nywele na kubeba masikio,pua,macho na mdomo? Kwa nini mnaipa viwiliwili vyenu mzigo wa kubeba "mamumunye"!?Pengine unachukulia hili jambo kwa udogo/ukubwa hoja hapa ni Je, JPM alichukua hatua sahihi? Jibu ni ndiyo kwa sababu hatukuathirika ki-vile wengi walivyotegemea. Sasa hapo unaongelea sayansi ipi? Sayansi ipo kwenye dawa siyo jinsi unavyokabiliana na janga. Je Wazungu wamepata dawa? Hapana, sisi Tanzania tayari dawa ipo sasa unataka nini? Kuhusu maambukizi: Je, wapi kulikuwa na maambukizi mengi Tanzania au Ulaya?
Huyu mzee ataacha lini kujiaibishaa
Misukule ikishatolewa akili ndivyo ilivyo,inafanyishwa chochote atakacho mmiliki wake.Uliamini?
Mkuu,achana na msukule huo,yaani swali lipo wazi,yeye anaandika mengine kabisa,huyo si wa "kuelimisha",kichwani hamna ubongo. MpotezeeSijaomba ufafanuzi! Nimekuuliza "uliamini?" Usikurupuke kujibu.
Na kweli,maana sijawahi kuona mtu anamwaga mapovu na kutumbua mimacho kama yeye!🤣 Kabudi aongezewe cheo kingine special maana kuna kazi za ziada anajipa.
Halafu kwa umri wake kupaswa kujipendekeza hovyo hivi.......Kuna umri lazima kufanya kazi na bosi kwa kuheshimiana siyo kujipendekeza. The late Dr. Mahiga alilitambua hili, wengine na uzee wao lakini poyoyo mingi.
Pengine unachukulia hili jambo kwa udogo/ukubwa hoja hapa ni Je, JPM alichukua hatua sahihi? Jibu ni ndiyo kwa sababu hatukuathirika ki-vile wengi walivyotegemea. Sasa hapo unaongelea sayansi ipi? Sayansi ipo kwenye dawa siyo jinsi unavyokabiliana na janga. Je Wazungu wamepata dawa? Hapana, sisi Tanzania tayari dawa ipo sasa unataka nini? Kuhusu maambukizi: Je, wapi kulikuwa na maambukizi mengi Tanzania au Ulaya?
Kifo si mashindano. Binafsi siwashabikii wazungu kabisa. Na sio kwamba eti mbinu zao hazifanyi kazi ..mbinu za jpm ndio bora zaidi.. hapana.Aibu Watanzania wengi akili zao bado zimeshikiliwa na wazungu. Sasa waliokufa ni wazungu wengi hasa USA, UK, Spain nk. Sasa leo hii wanabeza juhudi za taifa la Tanzania chini ya uongozi wa JPM.