Like the proverbial Ostrich with his Head in the SandWaziri wa Mambo ya Nje, Prof. Kabudi: Zambia haijafunga mpaka wake na Tanzania eneo la Nakonde bali ilisimamisha shughuli ktk mpaka huo kwa siku tano > Waziri wa Afya wa Zambia, Chitalu Chilufya alisema Rais Edgar Lungu aliagiza mpaka huo ufungwe kuanzia Mei 11, 2020
Nenda kavuke ndio utaelewa vizuli kama chadema walikuwa wanapotosha.Chadema walikuwa wanapotosha
🤣🤣🤣🤣🤣ILE DAWA YA MADAGASCA IMEANZA KUFANYA KAZI
Kabudi ni kilaza aliyekubuu anakataa mwanzo mwisho anakubali..Rejea kauli ya waziri wa afya zambia
Waziri wa Afya wa Zambia, Chitalu Chilufya alisema Rais Edgar Lungu aliagiza mpaka huo ufungwe kuanzia Mei 11, 2020
Nina mashaka na hili... kwani ili iitwe walifunga inatakiwa iwe siku ngapi..??? Kwani kufunga na kusimamisha shughuri ina tofauti gani..!?? Halafu yeye ni msemaji wa serikali ya Zambia..??Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Kabudi: Zambia haijafunga mpaka wake na Tanzania eneo la Nakonde bali ilisimamisha shughuli ktk mpaka huo kwa siku tano > Waziri wa Afya wa Zambia, Chitalu Chilufya alisema Rais Edgar Lungu aliagiza mpaka huo ufungwe kuanzia Mei 11, 2020
Rejea kauli ya waziri wa afya zambia
Waziri wa Afya wa Zambia, Chitalu Chilufya alisema Rais Edgar Lungu aliagiza mpaka huo ufungwe kuanzia Mei 11, 2020
In a very mysterious way la haulaa hivi mimi ni Mtanzania au nilisingiziwa ?ILE DAWA YA MADAGASCA IMEANZA KUFANYA KAZI
Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Kabudi: Zambia haijafunga mpaka wake na Tanzania eneo la Nakonde bali ilisimamisha shughuli ktk mpaka huo kwa siku tano > Waziri wa Afya wa Zambia, Chitalu Chilufya alisema Rais Edgar Lungu aliagiza mpaka huo ufungwe kuanzia Mei 11, 2020
Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Kabudi: Zambia haijafunga mpaka wake na Tanzania eneo la Nakonde bali ilisimamisha shughuli ktk mpaka huo kwa siku tano > Waziri wa Afya wa Zambia, Chitalu Chilufya alisema Rais Edgar Lungu aliagiza mpaka huo ufungwe kuanzia Mei 11, 2020
Kufunga mpaka = watu kutovukaChadema walikuwa wanapotosha
Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Kabudi: Zambia haijafunga mpaka wake na Tanzania eneo la Nakonde bali ilisimamisha shughuli ktk mpaka huo kwa siku tano > Waziri wa Afya wa Zambia, Chitalu Chilufya alisema Rais Edgar Lungu aliagiza mpaka huo ufungwe kuanzia Mei 11, 2020