The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Too late mkuu Jiwe alisgaibugia long timePlease ile dawa ya Madagascar asiwepe jiwe,! Huyu kaonja tuu akili zimeondoka tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Too late mkuu Jiwe alisgaibugia long timePlease ile dawa ya Madagascar asiwepe jiwe,! Huyu kaonja tuu akili zimeondoka tayari
ILE DAWA YA MADAGASCA IMEANZA KUFANYA KAZI
95% ya watanzania ni wapumbavu,na viongozi wa ccm wanalifahamu hili kwa kina sana.Wanafanikiwa maana awareness ya wananchi ni ndogo lolote litakalotangazwa ni sawa tu
Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Kabudi: Zambia haijafunga mpaka wake na Tanzania eneo la Nakonde bali ilisimamisha shughuli ktk mpaka huo kwa siku tano > Waziri wa Afya wa Zambia, Chitalu Chilufya alisema Rais Edgar Lungu aliagiza mpaka huo ufungwe kuanzia Mei 11, 2020
Kumbe ganja ya dodoma nayo ni nomaaa!
semper fidelis
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jf kuna machizi freshILE DAWA YA MADAGASCA IMEANZA KUFANYA KAZI
Hahahahah!!! kazi tunayo. "Prop" katika ubora wake.ILE DAWA YA MADAGASCA IMEANZA KUFANYA KAZI
inchaji hakuna anaependa kutukanwa jamani, hamkumbuki mzee baba alisema "ndiyo maana nawatukana ingawa mumenizidi umri" sasa propesa angefanyaje katika hali kama hiyo?hamuna waziri humu hewa kabisa. profesa zima limekalia kupiga siasa.
ILE DAWA YA MADAGASCA IMEANZA KUFANYA KAZI
Bado ipo maabara jamani
Wanafanikiwa maana awareness ya wananchi ni ndogo lolote litakalotangazwa ni sawa tu
Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Kabudi: Zambia haijafunga mpaka wake na Tanzania eneo la Nakonde bali ilisimamisha shughuli ktk mpaka huo kwa siku tano > Waziri wa Afya wa Zambia, Chitalu Chilufya alisema Rais Edgar Lungu aliagiza mpaka huo ufungwe kuanzia Mei 11, 2020
Na ndiomana wanadumaza elimu🤔Wanafanikiwa maana awareness ya wananchi ni ndogo lolote litakalotangazwa ni sawa tu
Jambo ambalo ni baya sana katika kuhakikisha kasi ya maendeleo tunaivuta. Tumelogwa mkuu 😭😭Sometimes watanzania tunaishi kama wanyama wa kufugwa yaani unaloambiwa na mfugaji ndio hilo hilo unafuata
Sent using Jamii Forums mobile app