NewChapter
Senior Member
- May 17, 2024
- 173
- 123
Uko sahihi,Mikataba ndio itaamua na ndio itakuwa msingi wa kila kitu.
Ila kumbuka PPP inaongozwa Kwa mujibu wa Sheria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi,Mikataba ndio itaamua na ndio itakuwa msingi wa kila kitu.
Upigaji wa kiwango cha juu kabisa ulifanyika hapa.Kigamboni haikuwa 100% PPP hili nafahamu vizuri
Ushahidi upo meku!Upigaji wa kiwango cha juu kabisa ulifanyika hapa.
Mahesabu ya tozo,tulikotoka mpaka sasa na tuna miaka mingagi ndio tuweze kurejesha hela ya NSSF ndio ushahidi wenyeweUshahidi upo meku!
Ndio mikakati ya kubinafsi nchi , na njia za kufua nguo chafu ili ziwe safi
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema Bajeti ya mwaka 2025/2026 kipaumbele kikubwa kitakuwa ni utekelezaji wa miradi mikubwa kwa ushirikiano na Sekta Binafsi na Umma (PPP), ili kukuza uchumi kwa kasi.
Prof. Kitila Mkumbo, amesema hayo mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bajeti ya Bunge ambapo amenukuu kanuni ya 113(1) na (2) ya kanuni za kudumu za Bunge iliyochapishwa Februari 2023, ambapo mapendekezo hayo yanawasilishwa kwa kamati ili kukusanya maoni kutoka kwa wabunge wakati wa maandalizi.
Amesema Serikali imejipanga kutumia mfumo wa PPP katika utekelezaji wa miradi mikubwa, hivyo katika bajeti ijayo wataweka nguvu huko kibajeti.
"Katika mwaka wa fedha 2025/26 kipaumbele cha bajeti kitaelekezwa kwenye PPP kwani ndio njia inayoweza kutekeleza miradi mikubwa inayochochea ukuaji wa uchumi na maendeleo," amesema.
Amesema mapendekezo hayo yameweka mazingira ya mpango wa maendeleo wa taifa, unaozingatia kuimarisha uwekezaji katika sekta mbalimbali, kujenga uchumi imara, kuongeza uzalishaji wa viwanda na kuboresha huduma za umma.
“Mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa taifa wa 2025/26 yanaongozwa na dira ya maendeleo ya taifa 2025, ambayo inalenga kuiweka Tanzania kati ya nchi za kipato cha kati ifikapo mwaka 2025 na kufikia viwango vya juu vya maendeleo ya binadamu,” amesema.
Soma Pia: Miradi ya PPP iliyopo katika tovuti ambayo yahitaji wawekezaji wa nje, kwanini wawekezaji wakimbilia Tanesco pekee ambayo haimo hata kwenye orodha?
Waziri Kitila amesema mapendekezo hayo yanajikita katika kuendeleza na kutekeleza mipango ambayo inatoa matokeo katika maeneo matano ya kipaumbele yaliyoainishwa katika mpango wa tatu wa miaka mitano.
Pia ametaja maeneo muhimu ambayo yatatekelezwa kwa mfumo wa PPP ni miundombinu ya usafiri na uzalishaji wa viwanda.
Amongeza kuwa jumla ya miradi 17 bora imepangwa kutekelezwa katika mwaka ujao wa fedha, huku akibainisha mafanikio kutoka kwa mpango wa sasa wa maendeleo wa 2023/24.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Oran Njeza ameipongeza serikali kwa kuja na mpango huo na kwamba matarajio yao ni kuona miradi inatekelezwa kwa ufanisi.
PPP iliyochini ya kituo cha Ubia nchi PPP-CETRE chini ya Mkurugenzi wake Bw David Kafulila na katika Serikali ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan wameonesha wazi nchi inaweza kutekeleza miradi mingi na mikubwa bila kutumia Kodi Wala Mikopo toka katika taasisi na mashirika tofauti tofauti ya ndani na nje ya nchi kwenye miradi hasa yenye sura ya kibiashara na hivyo kuopa nafuu nchi kutekeleza miradi mingine isiyo na sura hiyo ya kibiashara.
Minister: PPP projects crucial in next Budget | The Guardian
www.ippmedia.com
PPP sio ubinafsishaji ila ni Ubia,Ndio mikakati ya kubinafsi nchi , na njia za kufua nguo chafu ili ziwe safi
Nakubaliana na wewe kwa 100% uwekezaji ni matokeo ya siasa safiPPP inaweza kuifanya Tanzania kama US kwa mwaka mmoja tu lakini lazima nchi iwe na utulivu wa kisiasa
Hiki ndicho anachokifanya Rais SamiaNakubaliana na wewe kwa 100% uwekezaji ni matokeo ya siasa safi
#Samia hakamatiki 2025Hiki ndicho anachokifanya Rais Samia
PPP Private ndio anatoa pesa ya Mradi sio SerikaliPPP sio ubinafsishaji ila ni Ubia,
Ubia maana yake wote share
Naiona Tanzania ya baraka sana hapo baadae
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema Bajeti ya mwaka 2025/2026 kipaumbele kikubwa kitakuwa ni utekelezaji wa miradi mikubwa kwa ushirikiano na Sekta Binafsi na Umma (PPP), ili kukuza uchumi kwa kasi.
Prof. Kitila Mkumbo, amesema hayo mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bajeti ya Bunge ambapo amenukuu kanuni ya 113(1) na (2) ya kanuni za kudumu za Bunge iliyochapishwa Februari 2023, ambapo mapendekezo hayo yanawasilishwa kwa kamati ili kukusanya maoni kutoka kwa wabunge wakati wa maandalizi.
Amesema Serikali imejipanga kutumia mfumo wa PPP katika utekelezaji wa miradi mikubwa, hivyo katika bajeti ijayo wataweka nguvu huko kibajeti.
"Katika mwaka wa fedha 2025/26 kipaumbele cha bajeti kitaelekezwa kwenye PPP kwani ndio njia inayoweza kutekeleza miradi mikubwa inayochochea ukuaji wa uchumi na maendeleo," amesema.
Amesema mapendekezo hayo yameweka mazingira ya mpango wa maendeleo wa taifa, unaozingatia kuimarisha uwekezaji katika sekta mbalimbali, kujenga uchumi imara, kuongeza uzalishaji wa viwanda na kuboresha huduma za umma.
“Mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa taifa wa 2025/26 yanaongozwa na dira ya maendeleo ya taifa 2025, ambayo inalenga kuiweka Tanzania kati ya nchi za kipato cha kati ifikapo mwaka 2025 na kufikia viwango vya juu vya maendeleo ya binadamu,” amesema.
Soma Pia: Miradi ya PPP iliyopo katika tovuti ambayo yahitaji wawekezaji wa nje, kwanini wawekezaji wakimbilia Tanesco pekee ambayo haimo hata kwenye orodha?
Waziri Kitila amesema mapendekezo hayo yanajikita katika kuendeleza na kutekeleza mipango ambayo inatoa matokeo katika maeneo matano ya kipaumbele yaliyoainishwa katika mpango wa tatu wa miaka mitano.
Pia ametaja maeneo muhimu ambayo yatatekelezwa kwa mfumo wa PPP ni miundombinu ya usafiri na uzalishaji wa viwanda.
Amongeza kuwa jumla ya miradi 17 bora imepangwa kutekelezwa katika mwaka ujao wa fedha, huku akibainisha mafanikio kutoka kwa mpango wa sasa wa maendeleo wa 2023/24.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Oran Njeza ameipongeza serikali kwa kuja na mpango huo na kwamba matarajio yao ni kuona miradi inatekelezwa kwa ufanisi.
PPP iliyochini ya kituo cha Ubia nchi PPP-CETRE chini ya Mkurugenzi wake Bw David Kafulila na katika Serikali ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan wameonesha wazi nchi inaweza kutekeleza miradi mingi na mikubwa bila kutumia Kodi Wala Mikopo toka katika taasisi na mashirika tofauti tofauti ya ndani na nje ya nchi kwenye miradi hasa yenye sura ya kibiashara na hivyo kuopa nafuu nchi kutekeleza miradi mingine isiyo na sura hiyo ya kibiashara.
Minister: PPP projects crucial in next Budget | The Guardian
www.ippmedia.com
Hao watu wa kuifanya iwe kama US ni hawa tulionao madarakani? Wanyiramba? Mkoa wao umewashinda wamekimbilia vyeo kucha kupiga domo tuu.PPP inaweza kuifanya Tanzania kama US kwa mwaka mmoja tu lakini lazima nchi iwe na utulivu wa kisiasa
Kwani tatizo ni unyiramba?Hao watu wa kuifanya iwe kama US ni hawa tulionao madarakani? Wanyiramba? Mkoa wao umewashinda wamekimbilia vyeo kucha kupiga domo tuu.
Duuu utajinyie kitandaniPPP inaweza kuifanya Tanzania kama US kwa mwaka mmoja tu lakini lazima nchi iwe na utulivu wa kisiasa
Kwenye PPP kila mmoja anaruhusiwa awe wa ndani au njeUkolini maendeleo huathiri maendeleo ya watu wake endepo viongozi wa kitaifa watakutana na viongozi wa nchi zingine kuhusu uweekezaji kwa kwa masilahi binafsi na kidogo sana kuhusu maendeleo ya jamii.
Swali fikirishi hiyo miradi ya ppp wahusika ni wazawa ama ni kutoka mataifa ya nje, kama ni wazawa naipa serikali kongole lakini kama ni raia wa kigeni nitawazomea kama hawata weka uwiano ya miradi ya ppp na hao wageni wanao dhani watawezesha kuendeleza hiyo miradi kumbe watakuwa wanaua uchumi wa Tanzania kwa upumbavu wao
Nalifahamu hilo, je unafahamu kwamba vitu vingi tunavyo tumia kwa sasa na huduma hatuzalishi wenyewe, (we consume what we do not produce)Kwenye PPP kila mmoja anaruhusiwa awe wa ndani au nje
Mimi nadhani tusijigeuze shehe Yahya Wacha tuone mpaka mwisho wakeNalifahamu hilo, je unafahamu kwamba vitu vingi tunavyo tumia kwa sasa na huduma hatuzalishi wenyewe, (we consume what we do not produce)
Watu tunao wapa dhamana wengi wanaahirisha kufikiri kizalendo, a.k. kujizima data
Why do we fail to manage our own affairs, and our own businesses
Je ppp unadhani ndiyo suluhisho kwa hapa Tanzania mimi nasema hapana hiyo miradi itaendelea kufa tu
Tuna mazingira mabovu ya biashara and unworking government machineries, ndiyo maana narudia kwakusema ppp kwa Tanzania haiwezi kufanikiwa
Na nafahamu kwamba asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara inamtegemea mjasiriamali na aslimia 20 ni mjasiriamali na yanayomzungu na hayo yanayo mzunguka kwa hapa Tanzania yana nguvu hata kuua biashara
I have the unlocking codes for the 20%
Noted with thanksMimi nadhani tusijigeuze shehe Yahya Wacha tuone mpaka mwisho wake