Prof Kitila: Bajeti ya 2025|26 miradi mikubwa itatekelezwa kwa PPP

Ndio mikakati ya kubinafsi nchi , na njia za kufua nguo chafu ili ziwe safi
 
Naiona Tanzania ya baraka sana hapo baadae
 
PPP inaweza kuifanya Tanzania kama US kwa mwaka mmoja tu lakini lazima nchi iwe na utulivu wa kisiasa
Hao watu wa kuifanya iwe kama US ni hawa tulionao madarakani? Wanyiramba? Mkoa wao umewashinda wamekimbilia vyeo kucha kupiga domo tuu.
 
Ukolini mambo leo huathiri maendeleo ya watu wake endepo viongozi wa kitaifa watakutana na viongozi wa nchi zingine kuhusu uweekezaji kwa kwa masilahi binafsi na kidogo sana kuhusu maendeleo ya jamii.

Swali fikirishi hiyo miradi ya ppp wahusika ni wazawa ama ni kutoka mataifa ya nje, kama ni wazawa naipa serikali kongole lakini kama ni raia wa kigeni nitawazomea.

Kama hawata weka uwiano ya miradi ya ppp, kwa kwa wazawa na wageni wanao dhani watawezesha kuendeleza hiyo miradi kumbe watakuwa wanaua uchumi wa Tanzania kwa upumbavu wao
 
Kwenye PPP kila mmoja anaruhusiwa awe wa ndani au nje
 
Kwenye PPP kila mmoja anaruhusiwa awe wa ndani au nje
Nalifahamu hilo, je unafahamu kwamba vitu vingi tunavyo tumia kwa sasa na huduma hatuzalishi wenyewe, (we consume what we do not produce)

Watu tunao wapa dhamana wengi wanaahirisha kufikiri kizalendo, a.k. kujizima data

Why do we fail to manage our own affairs, and our own businesses

Je ppp unadhani ndiyo suluhisho kwa hapa Tanzania mimi nasema hapana hiyo miradi itaendelea kufa tu

Tuna mazingira mabovu ya biashara and unworking government machineries, ndiyo maana narudia kwakusema ppp kwa Tanzania haiwezi kufanikiwa

Na nafahamu kwamba asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara inamtegemea mjasiriamali na aslimia 20 ni mjasiriamali na yanayomzungu na hayo yanayo mzunguka kwa hapa Tanzania yana nguvu hata kuua biashara

I have the unlocking codes for the 20%
 
Mimi nadhani tusijigeuze shehe Yahya Wacha tuone mpaka mwisho wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…