Prof. Kitila Mkumbo akanusha masharti ya Mkopo wa Korea Kusini. Asema utalipwa kwa miaka 40

Prof. Kitila Mkumbo akanusha masharti ya Mkopo wa Korea Kusini. Asema utalipwa kwa miaka 40

Much respect kwa madam president mama Samia suluhu hassani namkubali mama na nampenda Sanaa rais WETU..

NB.
Hotuba ya mama samia Jana pale chuo kikuu Korea nili observe vitu kadhaa
*Siku pendezwa na deliverance ya speech yake sorry to say kwa tulio pitia shule kuanzia secondary school yaan morning talk, debate mpaka kufika chuo kikuu Ile speech deliverance yake unaona kabisa hakua prepared yaan alikua shallow in deep kwa usomaji ule na uwasilishaji ule.

All in all mungu mbarik rais wetu mungu ibarik TANZANIA
Time is makangability 😂😂😂
 
Najiuliza chombo kikubwa kama VOA kinatudanganya kwa maslahi ya nani?? Tena South Korea ambao ni washirika wa USA.

Nyie viongozi muelewe hamtadumu milele haiwezekani nchi inauza kila kitu yaani haya mambo gani?? Bahari muuze
mbuga muuze
Bandari muuze sasa nyie watu mnaweza kusimamia nini?? Kama kila kitu mnauza nyie mnatuona sisi wajinga sana sio??
Hii nchi sio yenu sio ya ndg zenu sisi wote tunahusika hapa msituone sisi maboya.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo kupitia Ukurasa wakewa X (Twitter) amekanusha taarifa iliyotolewa na Sauti ya America inayoelezea Mkopo wa Tanzania na Masharti ya kuiachia kuchimba madini baharini.

Soma:
- Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Kitila Mkumbo ameandika:


URONGO. Hakuna masharti kama hayo. Mkopo huu ni sehemu ya makubaliano katika awamu ya pili ya ushirikiano wa miaka mitano ijayo. Ni mkopo nafuu utakaolipwa katika miaka 40 kuanzia mwaka wa 26 kwa riba ya 0.01%.
Kuhusu madini ya kimkakati (strategic mineral resources-SMR), mkakati wa Tanzania ni kutafuta wawekezaji watakaowekeza katika utafiti, uchimbaji na kuongeza thamani ndani ya nchi.
Tumeweka wazi duniani kote kuwa tunataka wawekezaji watakaosafirisha betri za magari na sio madini ya kimkakati kwa lengo la kutengeneza betri hizo nje ya nchi. Kuhusu uchumi wa buluu, tumesaini mkataba kwa lengo la kushirikiana katika kuboresha teknolojia ya uvuvi, kujenga bandari za uvuvi na viwanda vya kuchakata Samaki. Eneo lingine ni ushirikiano katika teknolojia ikiwemo kujenga chuo cha TEHAMA nchini.
PIA SOMA
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
Hivi kweli mpaka Leo tumekosa watu wa kutukomboa?
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo kupitia Ukurasa wakewa X (Twitter) amekanusha taarifa iliyotolewa na Sauti ya America inayoelezea Mkopo wa Tanzania na Masharti ya kuiachia kuchimba madini baharini.

Soma:
- Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Kitila Mkumbo ameandika:


URONGO. Hakuna masharti kama hayo. Mkopo huu ni sehemu ya makubaliano katika awamu ya pili ya ushirikiano wa miaka mitano ijayo. Ni mkopo nafuu utakaolipwa katika miaka 40 kuanzia mwaka wa 26 kwa riba ya 0.01%.
Kuhusu madini ya kimkakati (strategic mineral resources-SMR), mkakati wa Tanzania ni kutafuta wawekezaji watakaowekeza katika utafiti, uchimbaji na kuongeza thamani ndani ya nchi.
Tumeweka wazi duniani kote kuwa tunataka wawekezaji watakaosafirisha betri za magari na sio madini ya kimkakati kwa lengo la kutengeneza betri hizo nje ya nchi. Kuhusu uchumi wa buluu, tumesaini mkataba kwa lengo la kushirikiana katika kuboresha teknolojia ya uvuvi, kujenga bandari za uvuvi na viwanda vya kuchakata Samaki. Eneo lingine ni ushirikiano katika teknolojia ikiwemo kujenga chuo cha TEHAMA nchini.
PIA SOMA
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
hiyo miaka 40 yeye hatakuwa kaburini kukwepa lawama za waliopo
 
Viva Samia Viva, mkono usioweza kuukata unaubusu viva Suluhu kutupa chombo, mambo gani kulala na njaa wakati una kihenge kisa huwezi kufunua, tafuta wenye nguvu funua pakua ulishe watoto,
 
Sasa kama ni mkopo wa awu ya pili ya ushirikiano why akope pesa atakayo lipa kwa miaka 40?
 
katiba inadilishwe kila Rais akiingia madarakani awe analoweza kulipa kipindi cha utawala wake.

Huyu Mathee anatuingiza box vibaya mnnoo.
 
Enzi zetu O level kwenye debating 😀😀
Hata Kama una presentation kwenye halaiki hutakiwi kuinamia makaratasi Kama alivyo kua anafanya Mh.rais wetu kule Korea it means hakua prepared ku delivery speech..

Ukibisha angalia speech za watu mbali mbali ujionee uwasilishaji wao wa speech wakiwa katika vyuo vikuu mbalimbali..
 
Ha
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo kupitia Ukurasa wakewa X (Twitter) amekanusha taarifa iliyotolewa na Sauti ya America inayoelezea Mkopo wa Tanzania na Masharti ya kuiachia kuchimba madini baharini.

Soma:
- Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Kitila Mkumbo ameandika:


URONGO. Hakuna masharti kama hayo. Mkopo huu ni sehemu ya makubaliano katika awamu ya pili ya ushirikiano wa miaka mitano ijayo. Ni mkopo nafuu utakaolipwa katika miaka 40 kuanzia mwaka wa 26 kwa riba ya 0.01%.
Kuhusu madini ya kimkakati (strategic mineral resources-SMR), mkakati wa Tanzania ni kutafuta wawekezaji watakaowekeza katika utafiti, uchimbaji na kuongeza thamani ndani ya nchi.
Tumeweka wazi duniani kote kuwa tunataka wawekezaji watakaosafirisha betri za magari na sio madini ya kimkakati kwa lengo la kutengeneza betri hizo nje ya nchi. Kuhusu uchumi wa buluu, tumesaini mkataba kwa lengo la kushirikiana katika kuboresha teknolojia ya uvuvi, kujenga bandari za uvuvi na viwanda vya kuchakata Samaki. Eneo lingine ni ushirikiano katika teknolojia ikiwemo kujenga chuo cha TEHAMA nchini.
PIA SOMA
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
Hakuna mwana siasa wa mwanaccm ambaye ni mkweli.sahau hao watu wameishatuona watz ni mazwaza hivyo wanatuchezea sana.tufanye maamuzi kama walivyofanya waafrika kusini.shida yetu hata vijana wa kitz ni machawa.
 
Kuna serikali yyt duniani inaweka mkataba hadharani...nitajie 2 tuu unazozijua
 
Tuna katiba ya kijinga sana, huyu mama hata akikopa trillion 200 siku akitoka madarakani hakuna wa kumshtaki wala kumhoji, siku wakimpa miaka mingine mitano ntaamini hakuna wanaume tanzania
Akikopa kama yeye binafsi anakuwa na haki ya kulipa madeni yote lakini anapokopa akiwa na kofia ya rais inakuwa imekopa taasisi ya urais.

Unasumbuliwa na inferiority complex ya kuongozwa na mwanamke, hayo ni matatizo yako binafsi.
 
Akikopa kama yeye binafsi anakuwa na haki ya kulipa madeni yote lakini anapokopa akiwa na kofia ya rais inakuwa imekopa taasisi ya urais.

Unasumbuliwa na inferiority complex ya kuongozwa na mwanamke, hayo ni matatizo yako binafsi.
Tatizo sio swala la kukopa, tatizo hizo pesa zinapelekwa kwenye miradi Gani, kwenda kukopa mikopo ambayo huwezi Kuja kuisimamia ikaibiwa na wahuni wachache alafu uwaachie watu wake kulipa kwa Riba si sawa


Am far away kua na inferior complex eti kisa ni mwanamke, she is just weak and no where near deserving to hold such a post, it is what it is!!!
 
Back
Top Bottom