johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Time is makangability 😂😂😂Much respect kwa madam president mama Samia suluhu hassani namkubali mama na nampenda Sanaa rais WETU..
NB.
Hotuba ya mama samia Jana pale chuo kikuu Korea nili observe vitu kadhaa
*Siku pendezwa na deliverance ya speech yake sorry to say kwa tulio pitia shule kuanzia secondary school yaan morning talk, debate mpaka kufika chuo kikuu Ile speech deliverance yake unaona kabisa hakua prepared yaan alikua shallow in deep kwa usomaji ule na uwasilishaji ule.
All in all mungu mbarik rais wetu mungu ibarik TANZANIA
Hivi kweli mpaka Leo tumekosa watu wa kutukomboa?Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo kupitia Ukurasa wakewa X (Twitter) amekanusha taarifa iliyotolewa na Sauti ya America inayoelezea Mkopo wa Tanzania na Masharti ya kuiachia kuchimba madini baharini.
Soma: - Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Kitila Mkumbo ameandika:
URONGO. Hakuna masharti kama hayo. Mkopo huu ni sehemu ya makubaliano katika awamu ya pili ya ushirikiano wa miaka mitano ijayo. Ni mkopo nafuu utakaolipwa katika miaka 40 kuanzia mwaka wa 26 kwa riba ya 0.01%. Kuhusu madini ya kimkakati (strategic mineral resources-SMR), mkakati wa Tanzania ni kutafuta wawekezaji watakaowekeza katika utafiti, uchimbaji na kuongeza thamani ndani ya nchi. Tumeweka wazi duniani kote kuwa tunataka wawekezaji watakaosafirisha betri za magari na sio madini ya kimkakati kwa lengo la kutengeneza betri hizo nje ya nchi. Kuhusu uchumi wa buluu, tumesaini mkataba kwa lengo la kushirikiana katika kuboresha teknolojia ya uvuvi, kujenga bandari za uvuvi na viwanda vya kuchakata Samaki. Eneo lingine ni ushirikiano katika teknolojia ikiwemo kujenga chuo cha TEHAMA nchini.PIA SOMA
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
hiyo miaka 40 yeye hatakuwa kaburini kukwepa lawama za waliopoWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo kupitia Ukurasa wakewa X (Twitter) amekanusha taarifa iliyotolewa na Sauti ya America inayoelezea Mkopo wa Tanzania na Masharti ya kuiachia kuchimba madini baharini.
Soma: - Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Kitila Mkumbo ameandika:
URONGO. Hakuna masharti kama hayo. Mkopo huu ni sehemu ya makubaliano katika awamu ya pili ya ushirikiano wa miaka mitano ijayo. Ni mkopo nafuu utakaolipwa katika miaka 40 kuanzia mwaka wa 26 kwa riba ya 0.01%. Kuhusu madini ya kimkakati (strategic mineral resources-SMR), mkakati wa Tanzania ni kutafuta wawekezaji watakaowekeza katika utafiti, uchimbaji na kuongeza thamani ndani ya nchi. Tumeweka wazi duniani kote kuwa tunataka wawekezaji watakaosafirisha betri za magari na sio madini ya kimkakati kwa lengo la kutengeneza betri hizo nje ya nchi. Kuhusu uchumi wa buluu, tumesaini mkataba kwa lengo la kushirikiana katika kuboresha teknolojia ya uvuvi, kujenga bandari za uvuvi na viwanda vya kuchakata Samaki. Eneo lingine ni ushirikiano katika teknolojia ikiwemo kujenga chuo cha TEHAMA nchini.PIA SOMA
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
MkuuTime is makangability 😂😂😂
Enzi zetu O level kwenye debating 😀😀Mkuu
The baptist unataka kusemaje 🏃🏃🏃
Hata Kama una presentation kwenye halaiki hutakiwi kuinamia makaratasi Kama alivyo kua anafanya Mh.rais wetu kule Korea it means hakua prepared ku delivery speech..Enzi zetu O level kwenye debating 😀😀
Hakuna mwana siasa wa mwanaccm ambaye ni mkweli.sahau hao watu wameishatuona watz ni mazwaza hivyo wanatuchezea sana.tufanye maamuzi kama walivyofanya waafrika kusini.shida yetu hata vijana wa kitz ni machawa.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo kupitia Ukurasa wakewa X (Twitter) amekanusha taarifa iliyotolewa na Sauti ya America inayoelezea Mkopo wa Tanzania na Masharti ya kuiachia kuchimba madini baharini.
Soma: - Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Kitila Mkumbo ameandika:
URONGO. Hakuna masharti kama hayo. Mkopo huu ni sehemu ya makubaliano katika awamu ya pili ya ushirikiano wa miaka mitano ijayo. Ni mkopo nafuu utakaolipwa katika miaka 40 kuanzia mwaka wa 26 kwa riba ya 0.01%. Kuhusu madini ya kimkakati (strategic mineral resources-SMR), mkakati wa Tanzania ni kutafuta wawekezaji watakaowekeza katika utafiti, uchimbaji na kuongeza thamani ndani ya nchi. Tumeweka wazi duniani kote kuwa tunataka wawekezaji watakaosafirisha betri za magari na sio madini ya kimkakati kwa lengo la kutengeneza betri hizo nje ya nchi. Kuhusu uchumi wa buluu, tumesaini mkataba kwa lengo la kushirikiana katika kuboresha teknolojia ya uvuvi, kujenga bandari za uvuvi na viwanda vya kuchakata Samaki. Eneo lingine ni ushirikiano katika teknolojia ikiwemo kujenga chuo cha TEHAMA nchini.PIA SOMA
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
Akikopa kama yeye binafsi anakuwa na haki ya kulipa madeni yote lakini anapokopa akiwa na kofia ya rais inakuwa imekopa taasisi ya urais.Tuna katiba ya kijinga sana, huyu mama hata akikopa trillion 200 siku akitoka madarakani hakuna wa kumshtaki wala kumhoji, siku wakimpa miaka mingine mitano ntaamini hakuna wanaume tanzania
Tatizo sio swala la kukopa, tatizo hizo pesa zinapelekwa kwenye miradi Gani, kwenda kukopa mikopo ambayo huwezi Kuja kuisimamia ikaibiwa na wahuni wachache alafu uwaachie watu wake kulipa kwa Riba si sawaAkikopa kama yeye binafsi anakuwa na haki ya kulipa madeni yote lakini anapokopa akiwa na kofia ya rais inakuwa imekopa taasisi ya urais.
Unasumbuliwa na inferiority complex ya kuongozwa na mwanamke, hayo ni matatizo yako binafsi.
Acha dharau aiseeIla Watanganyika malofa sana.
Imagine mtu tena mwanamke anatoka nchi yake anakwenda kuwatawala Watanganyika nao wanakubali eti kisa katiba inasema hivyo.
Mbona katiba ya kwao huyo mama haimpi ruhusa Mtanganyika hata kumiliki mita 4 za mraba huko kwao?
Wajukuu wa Nyungu ya MaweMashujaa wa Singida: Kingu, Jessica Kishoa, Dr Gwajima Dr Mwigullu PhD, Prof Kitila, Tundu Lisu, MO Dewji, Lazaro Nyalandu, Wema Sepetu nk...nk