Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Habari yako chawa wa kitila mkumboNasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.
Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.
Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.
Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.
Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.
Na wewe badala ya kujikita huko, unahangaika na kukimbilia kwangu eti kwa sababu nimeitaja CHADEMA.Watu Wana discuss mipango ya Kitila wewe unakimbilia CHADEMA
Profesor tapeliNasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.
Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.
Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.
Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.
Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.
Alikua chadema kwa hiyo wanamjua vizuri sana ni muongo muongoCHADEMA watanuna. Ni kwaavile hawana diravwala maono. Wao ni kusaka nguvu za Dola tu.
Ngoja nimsikilize Kitila.
Waambie ukweli Hawa mapimbi!Theorist tu hao. Hakuna jipya.
Mipango mizuri ni ambayo ni shirikishiNasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.
Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.
Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.
Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.
Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.
Hana lolote jimboni kwake hali tete kuna barabara za mitaa zilikua kwenye mchakato wa ukarabati kashindwa kusimamia mpaka sasa wananchi wanashindwa kutumia usafiri umekua mgum kwa sababu ya ubovu wa njiaNasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.
Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.
Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.
Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.
Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.