Prof.Kitila Mkumbo atabadilisha sana mipango ya nchi hii, msikilizeni TBC akieleza mipango ya nchi

Prof.Kitila Mkumbo atabadilisha sana mipango ya nchi hii, msikilizeni TBC akieleza mipango ya nchi

Nasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.

Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.

Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.

Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.

Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.
Habari yako chawa wa kitila mkumbo
 
Watu Wana discuss mipango ya Kitila wewe unakimbilia CHADEMA
Na wewe badala ya kujikita huko, unahangaika na kukimbilia kwangu eti kwa sababu nimeitaja CHADEMA.
Hujakatazwa, sijamkataza, wala kumshawishi mtu yeyote yule asi discuss mipango ya Kitila.

Usinipangie
0-0
 
Nasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.

Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.

Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.

Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.

Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.
Profesor tapeli
 
Nasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.

Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.

Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.

Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.

Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.
Mipango mizuri ni ambayo ni shirikishi
 
Nasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.

Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.

Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.

Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.

Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.
Hana lolote jimboni kwake hali tete kuna barabara za mitaa zilikua kwenye mchakato wa ukarabati kashindwa kusimamia mpaka sasa wananchi wanashindwa kutumia usafiri umekua mgum kwa sababu ya ubovu wa njia
 
Back
Top Bottom