Tetesi: Prof. Kitila Mkumbo kuchuana vikali na Nyalandu jimboni

Utafiti wake sijauona mimi, au anafanyia kwenye karatasi?
Tafuta Mkuu au unadhani Mbowe atakuletea tafiti alizofanya Prof Mkumbo wakati alimbatiza jina la Msaliti ili alinde maslahi binafsi ya Chagademus & Pliers?
 
tatizo mnasahau kuwa kitila katokea act wazalendo kwenda ccm. kama alikuwa smart tueleze ni vipi kaisaidia act wazalendo
 
umpigie kampeni ya nini??? Kwani ninyi huwa mnategemea kura kuchukua madaraka???!
 
Kitila hatoki Ndago. Ila anatokea Mtowa karibu na Shelui
 
Weka ufisadi wake tuuone. Acha kuchekea uvunguni huku unatoa udenda.
Siweki ufisadi wake sasahivi lakini bwana yule anatumiwa na Shirika flani ya kijasusi kwa iyo apo ni wasiwasi wa uzalendo tu. Uzi upo humu JF tena kitambo wakati anavaa kijani
 
Siweki ufisadi wake lakini bwana yule anatumiwa na Shirika flani ya kijasusi kwa iyo apo ni wasiwasi wa uzalendo tu. Uzi upo humu JF tena kitambo wakati anavaa kijani
Hahahahaaa! Ndiyo ninyi mkimuona mwehu anaongea kiingereza mnasema ni shushushu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…