we hujui hata usemacho
Dungunyi seminary iko wapi? kwa wanyiramba?
Diaghwa seminaei iko wapi? lwa wanyiramba?
Nitajie walau wasomi kumi wanyiramba
alafu nitajie umuhimu wao katika nchi
wanyiramba ni watu wenye roho mbaya tu...ndio wanyaturu wanawajua hivo
so take it from me ,,,mnyiramba hata iweje wanyaturu wa Ilongero hawawezi kumchagua
Kutokuchaguliwa hilo nimelisema tangu hawali kama ndo hilo unapinga basi pitia mchango wangu utaona msimamo wangu
Usidandia treni kwa mbele
Mm nilichokiongeza hapa ni ile kauli kwamba mnyiramba anadhauriwa na mnyaturu kitu ambacho si kweli
Ndio maana nikaongeza nyama kwamba mnyiramba ndiye aliyesoma kuliko mnyaturu,ata mnyiramba anamdharau mnyaturu kwa kuwa hakusoma,wanyaturu walibaniwa fursa ya kusoma na Muslim,iramba wamisionari walijikita Kule na waliwapa fursa ya kusoma,kupitia makanisa watu walielimika kusoma ndio maana wanyiramba wengi wamesoma
Ata kimaendeleo iramba kuko juu huwezi fananisha na unyaturuni uko unakosema ilongero,mntinko mgori n.k
Naongea kwa kuwa nayajua hayo maeneo na mkoa kwa ujumla
Ingawa si mwenyeji wa huo mkoa
Kuhusu wanyiramba wangapi wametoa mchango kwa taitfa sidhani kama kuna sehemu pamebandikwa orodha ya wanaotoa mchango wa namna yeyote kwa taifa maana ata wewe huwa unatoa mchango kuhusu idadi hilo litakuwa swali gumu k wangu
Kitu kingine kwa taifa hili ili ujulikane labda uwe
mwanasiasa vinginevyo siyo rahisi ata profesa mkumbo tunamjua kwa kuwa ni mwanasiasa
Ila iramba kuna wasomi wengi tofauti na unyaturuni maprof na maphd wapo wengi tu ata vyuoni waadhiri
Kama utapingana na mm basi siku moja kaa na mzee wako atakwambia ukweli
Kuhusu seminari,sikusema hayo maeneo uliyoyaorodhesha kuwa yana seminari sema kwa vile umeguswa nadhani umekuja kwa jaziba ila ukweli ndo huo,Muslim waliwabania shule wanyaturu ndo maana hawakusoma waliowengi unyaturuni waliopata fursa ya shulle ni wakristo nadhani hilo unalifahamu ila unabisha tu
Ata huyo nyalandu katoka familia ya kikristo ndo maana alipata fursa ya kwenda shule