Pre GE2025 Prof Kitila Mkumbo: Mbowe hagombei uchaguzi ambao anajua ataenda kushindwa

Pre GE2025 Prof Kitila Mkumbo: Mbowe hagombei uchaguzi ambao anajua ataenda kushindwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Gwiji la siasa Tanzania limesema, nani atabisha? Huyu ni moja ya mabingwq wa tathmini za siasa ambaye nchi hii haijawahi kupata. Mbowe mitano tena.

Screenshot_20250120-184117.jpg
 
Kina TAL na genge lake la Wahuni hawajajipanga ,wamejazwa Upepo na wapiga kura wa ONLINE kina Mwabukusi ,Madeleka ,Jebra ,Gwamaka ,Bob Wangwe ,Maria Sarungi , Mdude na watu wanaofanana na hao ambao si WAPIGA KURA.
 
Kugombea Urais alikuwa anatimiza wajibu tu kitila kamaanisha ubunge na nafasi ndani ya Chama
 
Back
Top Bottom