Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wacha kutapatapa, mbowe hatakiwiKina TAL na genge lake la Wahuni hawajajipanga ,wamejazwa Upepo na wapiga kura wa ONLINE kina Mwabukusi ,Madeleka ,Jebra ,Gwamaka ,Bob Wangwe ,Maria Sarungi , Mdude na watu wanaofanana na hao ambao si WAPIGA KURA.
Mwaka 2005 Mbowe aligombea Urais , Kwani Alishinda?Gwiji la siasa Tanzania limesema, nani atabisha? Huyu ni moja ya mabingwq wa tathmini za siasa ambaye nchi hii haijawahi kupata. Mbowe mitano tena.
View attachment 3207677
Ninaye muonea huruma ni HECHE, kama asingeingia na gia ya kum support Lissu 100% alikuwa anaukwaa u makamu.Kina TAL na genge lake la Wahuni hawajajipanga ,wamejazwa Upepo na wapiga kura wa ONLINE kina Mwabukusi ,Madeleka ,Jebra ,Gwamaka ,Bob Wangwe ,Maria Sarungi , Mdude na watu wanaofanana na hao ambao si WAPIGA KURA.
Rebels(waasi) ndiyo hawamtaki Mbowe maana walitaka kumpindua ,mipango yao ilimfikia ndiyo maana walifyekwa mmoja mmoja kwenye kanda zao.wacha kutapatapa, mbowe hatakiwi
Kabisa Heche ameingia Mkenge.Ninaye muonea huruma ni HECHE, kama asingeingia na gia ya kum support Lissu 100% alikuwa anaukwaa u makamu.
Sawa. Hilo linawezekana kabisa. Kitu ambacho nina hakika nacho ni kuwa Mbowe atampongeza Mwenyekiti wake na kusisitiza waliokuwa wanamuunga mkono wampe ushirikiano. Ila kama mtu wenu atashindwa, atakataa kumpa mkono Mbowe na atasema kuwa amechezewa rafu. Atawataka wapambe wake ( Rose na wengine) wahakikishe kuwa anatangazwa kuwa mshindi. Wakina Sativa, Mdude, Tito, Msigwa na wengine wataporomosha matusi dhidi ya chama wanachodai kuwa wanakipenda. Itakuwa hivi hata kama Heche atashinda.Kwa tàarifa tu, LISSU NDIYE MWENYEKITI MPYA WA CHADEMA.
Heche bado ana nafasi ya kushinda.Kabisa Heche ameingia Mkenge.
Anaweza akatolea mifano ya hizo Chaguzi?Gwiji la siasa Tanzania limesema, nani atabisha? Huyu ni moja ya mabingwq wa tathmini za siasa ambaye nchi hii haijawahi kupata. Mbowe mitano tena.
View attachment 3207677
Mwamba tuvushe mpaka machameKina TAL na genge lake la Wahuni hawajajipanga ,wamejazwa Upepo na wapiga kura wa ONLINE kina Mwabukusi ,Madeleka ,Jebra ,Gwamaka ,Bob Wangwe ,Maria Sarungi , Mdude na watu wanaofanana na hao ambao si WAPIGA KURA.
Hapo ndipo Lissu anapokwama kuitwa mwanasiasa nguli. Na hoja hii ishamcost tayari.Sawa. Hilo linawezekana kabisa. Kitu ambacho nina hakika nacho ni kuwa Mbowe atampongeza Mwenyekiti wake na kusisitiza waliokuwa wanamuunga mkono wampe ushirikiano. Ila kama mtu wenu atashindwa, atakataa kumpa mkono Mbowe na atasema kuwa amechezewa rafu. Atawataka wapambe wake ( Rose na wengine) wahakikishe kuwa anatangazwa kuwa mshindi. Wakina Sativa, Mdude, Tito, Msigwa na wengine wataporomosha matusi dhidi ya chama wanachodai kuwa wanakipenda. Itakuwa hivi hata kama Heche atashinda.
Amandla...
Mleta mada na huyo Kitila wake wote ni vilaza, kumbukumbu sifuri.Mbona aligombea urais akijua atashindwa, halafu akashindwa?
Kuna mtoto mmoja wa familia ya Mbowe nilikuwa napiga naye stories.Mleta mada na huyo Kitila wake wote ni vilaza, kumbukumbu sifuri.
King kong tulia upakwe dawa matakoni hata kama inawashaKina TAL na genge lake la Wahuni hawajajipanga ,wamejazwa Upepo na wapiga kura wa ONLINE kina Mwabukusi ,Madeleka ,Jebra ,Gwamaka ,Bob Wangwe ,Maria Sarungi , Mdude na watu wanaofanana na hao ambao si WAPIGA KURA.