Pre GE2025 Prof Kitila Mkumbo: Mbowe hagombei uchaguzi ambao anajua ataenda kushindwa

Pre GE2025 Prof Kitila Mkumbo: Mbowe hagombei uchaguzi ambao anajua ataenda kushindwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Gwiji la siasa Tanzania limesema, nani atabisha? Huyu ni moja ya mabingwq wa tathmini za siasa ambaye nchi hii haijawahi kupata. Mbowe mitano tena.

View attachment 3207677
Hiyo imani na utamaduni potofu unavunjwa kesho. Freeman Mbowe ATASHINDWA HAKIKA...!!

Na ndipo kila mtu anayeamini kuwa binadamu fulani aweza kuwa juu ya Mungu, atakwenda kujua kesho kuwa yupo Mungu wa mbingu ambaye huinua wanyonge wa mavumbini hata kuwaketisha kwenye viti na wafalme...

Na huyu Mungu Jehovah amesema hivi katika Neno lake:
 
Hiyo imani na utamaduni potofu unavunjwa kesho. Freeman Mbowe ATASHINDWA HAKIKA...!!

Na ndipo kila mtu anayeamini kuwa binadamu fulani aweza kuwa juu ya Mungu, atakwenda kujua kesho kuwa yupo Mungu wa mbingu ambaye huinua wanyonge wa mavumbini hata kuwaketisha kwenye viti na wafalme...

Na huyu Mungu Jehovah amesema hivi katika Neno lake:
Freeman atakuwa mwenyekiti mpaka miaka mitano ipite
 
Freeman atakuwa mwenyekiti mpaka miaka mitano ipite
Binafsi nasema hivi, Mipango na mapenzi ya Mungu na yatimie maana naamini katika Neno lake kama asemavyo kuwa yeye ndiye mwenye njia na mipango yote juu ya mtu yeyote 👇🏻👇🏻👇🏻

ISAYA 55:8-9 SUV

"....Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA. Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu..."

Na pia anasema hivi👇🏻👇🏻

1 SAMWEL 2:8 SUV

"..... Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Humpandisha mhitaji kutoka jaani, Ili awaketishe pamoja na wakuu, Wakakirithi kiti cha enzi cha utukufu; Kwa maana nguzo za dunia zina BWANA, Naye ameuweka ulimwengu juu yake..."

Mwenye haki, na yule Mungu anayetaka kumpa uongozi wa taasisi hii, bila shaka maandiko haya yatamwinua na kutimia kwake miongoni..

Kama ni Freeman Mbowe aendelee zaidi na zaidi, mimi na wewe chiembe ni nani tumpinge yeye aliyetufanya kwa mikono yake...?

Yes, as human beings tuna matamanio yetu. Lakini matamanio yetu yako juu ya utashi na maamuzi ya Mungu kama asemavyo kwenye nukuu ya neno lake hapo☝🏻☝🏻juu..

Karibu..
 
Binafsi nasema hivi, Mipango na mapenzi ya Mungu na yatimie maana naamini katika Neno lake kama asemavyo kuwa yeye ndiye mwenye njia na mipango yote juu ya mtu yeyote 👇🏻👇🏻👇🏻

ISAYA 55:8-9 SUV

"....Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA. Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu..."

Na pia anasema hivi👇🏻👇🏻

1 SAMWEL 2:8 SUV

"..... Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Humpandisha mhitaji kutoka jaani, Ili awaketishe pamoja na wakuu, Wakakirithi kiti cha enzi cha utukufu; Kwa maana nguzo za dunia zina BWANA, Naye ameuweka ulimwengu juu yake..."

Mwenye haki, na yule Mungu anayetaka kumpa uongozi wa taasisi hii, bila shaka maandiko haya yatamwinua na kutimia kwake miongoni..

Kama ni Freeman Mbowe aendelee zaidi na zaidi, mimi na wewe chiembe ni nani tumpinge yeye aliyetufanya kwa mikono yake...?

Yes, as human beings tuna matamanio yetu. Lakini matamanio yetu yako juu ya utashi na maamuzi ya Mungu kama asemavyo kwenye nukuu ya neno lake hapo☝🏻☝🏻juu..

Karibu..
Unampangia Mungu awe upande gani? Mungu aliiepusha nchi hii na Lissu, mpaka leo mmeamua kuropoka jinsi mlitaka kuiingiza nchi chaka
 
Nini kilitokea 2005 kwenye uchaguzi mkuu?
 
Kugombea Urais alikuwa anatimiza wajibu tu kitila kamaanisha ubunge na nafasi ndani ya Chama
Alipogombea ubunge kule hai wakati wa Magufuli alikua anajua atashinda? Wakati mpaka OCD na Sabaya walimwambia wazi wazi kuwa hashindi?
 
Gwiji la siasa Tanzania limesema, nani atabisha? Huyu ni moja ya mabingwq wa tathmini za siasa ambaye nchi hii haijawahi kupata. Mbowe mitano tena.

View attachment 3207677
Kwani nani na nani huwa anagombea uchaguzi ambao anajua anakwenda kushindwa?

Kuweka rekodi sawa sawa, mwaka 2005 Mbowe aligombea urais na kushindwa, na mwaka 2020 Mbowe aligombea ubunge wa jimbo la Hai na kushindwa.
 
Kugombea Urais alikuwa anatimiza wajibu tu kitila kamaanisha ubunge na nafasi ndani ya Chama
Ni kweli alijua atashinda ubunge Hai 2020 na akashinda asa ni mbunge wa Hai
Uprofesa ni kufanya utafiti kabla ya kuongea sio una bwajaja tu Kama la 2b
 
Back
Top Bottom