Prof. Kitila Mkumbo: Ushauri wa Kishujaa umesababisha Tanzania ishtakiwe katika Mahakama za Kimataifa. Wasomi wetu waliwadanganya Viongozi

Mnafiki tu huyu na kapata ubunge wa michongo ambao haupati Tena na hajatufanyia lolote. Tumevunjiwa nyumba zetu hata siku moja hajapaza zauti angalau tupewe kifuta machozi.
Mwendazake alimbeba Sana halafu kumbe hata shukrani Hana.
Uwaziri ulimshinda, ukaribu mkuu ndio kabisa.
 
Sijaona kosa la pro amesema ukweli japo Kwa wasomi WA kitanzania si dizaini hiyo ,yeye Yuko tayari kukushauri alafu anaenda Kwa Yule mwekezaji akamwambia lengo la kufanya hivyo tutaishtaki serikali na utanipatia mgao wangu.
 
Sijaona kosa la pro amesema ukweli japo Kwa wasomi WA kitanzania si dizaini hiyo ,yeye Yuko tayari kukushauri alafu anaenda Kwa Yule mwekezaji akamwambia lengo la kufanya hivyo tutaishtaki serikali na utanipatia mgao wangu.

..viongozi wetu pia wamelelewa vibaya kiuongozi.

..mfumo umewadekeza sana kwa kuonea wananchi bila kuwajibika au consequences zozote.

..kwa mfano kiongozi anaweza kutoa uamuzi nyumba za wananchi zivunjwe na kusitokee athari zozote kwake. Na wananchi hawana mahali pa kwenda kulalamika kwasababu viongozi wetu wana-control kila kitu ikiwemo mahakama.

..sasa tabia hizohizo wanakwenda nazo ktk kufanya maamuzi dhidi ya wawekezaji. lakini hawa wawekezaji hawana tabia za kinyonge-nyonge kama Watanzania wa kawaida. Pia wawekezaji wana option ya kwenda kutafuta haki zao nje ya nchi ambako viongozi hawana control au mamlaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…