imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Nadhani inawezekana, ila gharama zake zitakuwa ni za juu sana ni bora kununua Pantoni mbili kubwa.Wakifanya 'visibility' study watagundua kuwa haiwezekani.
Kina cha bahari ni kirefu sana. Watalazimika kujenga nguzo zenye urefu wa mita mia tano kitu ambacho kiuhandisi hakiwezekani.