Prof Kitila: Serikali Imepokea Ushauri wa Kujenga Daraja kati ya Dar-Zanzibar

Prof Kitila: Serikali Imepokea Ushauri wa Kujenga Daraja kati ya Dar-Zanzibar

Hiyo fedha iingizwe kwenye Maji safi na salama kwa wote kwanza hapo ni bora aletwe mwekezaji wa Ferry kubwa zenye kubeba hadi Malori.
Hilo nalo neno
Ila hawa watu huwa wanaona maji na vyoo kama havina maana
Lakini umepiga pale pale boss
Kweli kabisa ila maji ya Lake Victoria yameishia wapi
Ila mdogo mdogo tutafika
Wenzetu ukiona treni zinazobeba magari na containers utashangaa urefu wake
Tutafanikisha kama viongozi wataamua na wananchi kutoa maoni na kelele kila wakati
Hawa bilakukumbushwa hawashtuki
 
Akichangia mada kwenye kongamano la Uwekezaji kati ya China-Tanzania msomi wa UDSM ameshauri Serikali kujenga Daraja kati ya Dar-Zanzibar Kwa kushirikiana na China.

Akijibu hoja hiyo Waziri wa uwekezaji prof.Kitila mkumbo amesema Serikali Imepokea Ushauri na itaufanyia kazi.
---
Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema Serikali imeyapokea mapendekezo na maoni yaliyotolewa juu ya ujenzi wa daraja kutoka Tanzania bara (Dar es Salaam) kwenda visiwani Zanzibar.

Mbali na hilo amesema matumizi ya pesa ya China (Yuan) na shilingi ya Tanzania katika shughuli za biashara na uwekezaji na nchi ya China, vilevile Serikali imechukua kwenda kuyafanyia kazi kwa kuyachakata.

Mapendekezo hayo yametolewa na Mhadhiri wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Humphrey Moshi wakati akizungumza kwenye Jukwaa la mashirikiano ya maendeleo kati ya China na Tanzania ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 ya diplomasia ya mataifa hayo mawili.

Katika kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 22, 2024, Profesa Moshi amesema China ni rafiki wa kwanza wa Tanzania katika nyanja mbalimbali, hivyo ameomba wawekezaji na Serikali ya nchi hiyo kujenga daraja huku akipendekeza liitwe Daraja la Karume/Nyerere.

Aidha, Profesa Moshi ameomba kuibadilisha reli kati ya Tanzania na Zambia (Tazara) kuwa reli ya kisasa kama zilivyo za China kwa ajili ya kuendana na dunia ya sasa.

"Katika matumizi ya pesa nashauri tutumie Yuan na Shilingi kwa sababu dola ni gharama kubwa, tukitumia pesa za ndani basi tutapunguza hasara na athari mbaya za dola kwenye ulipaji wa deni, mfumuko wa bei na gharama ya maisha," amesema.

Aidha, msomi huyo amesema itakuza matumizi ya sarafu za ndani katika miamala ya kibiashara kama njia ya maendeleo ya kiuchumi.

Sambamba na hilo, Profesa Moshi ameomba uwekezaji katika kilimo cha kisasa ili kuongeza tija, kwa nia ya kuongeza kasi ya kupunguza umaskini, na kukuza uchumi shirikishi zaidi.

Vilevile, amehamasisha matumizi ya vyanzo mbadala vya nishati, yaani jua na upepo, kwa nia ya kupunguza utegemezi wa maji. Pia, kwa upande mwingine ameipongeza nchi ya China kwa kukitangaza Kiswahili.

Katika kuyajibu hayo alipoulizwa na Mwananchi wakati akizungumza na waandishi wa habari nje ya kongamano hilo, Profesa Mkumbo amesema Serikali imeyapokea yote hayo.

"Ni hoja, mawazo na maoni mazuri, tumezipokea tunajua wasomi wamefanyia utafiti mfano kwenye kilimo, daraja na uwekezaji, mimi kama waziri wa mipango na anayesimamia dira ya Taifa tumepokea," amesema.

Sambamba na hilo, amesema uboreshwaji wa reli ya Tazara inayoziunganisha nchi za Tanzania na Zambia huku akisema hadi sasa tayari wameshakubaliana na China kushirikiana namna ya kuifufua reli hiyo.

"Waziri wetu wa uchukuzi ataenda kusaini mkataba na kampuni ya China katika safari ijayo ambapo China imealika nchi 52 za Afrika watasaini kwa ajili ya kuimarisha reli ya Tazara."

Akieleza zaidi, Profesa Mkumbo amesema China kwa sasa inaongoza katika uwekezaji na Tanzania ikiyapiku mataifa ya magharibi na nchi yetu itazidi kuiga China kwakuwa walishawekeza kwenye elimu na uchumi wa viwanda kisha wakaaga umasikini.

"Lazima tuwatoe watu kwenye uchuuzi kwenda kwenye uzalishaji wa viwanda na Serikali inazidi kuweka mkazo kwenye maeneo hayo," amesema Profesa Mkumbo.


My Take
Mfikirie pia kujenga daraja au Trum kati ya Tanzania-DRC Congo via Lake Tanganyika
Daraja na Zanzibar ni kupoteza fedha, tuwekeze miundombinu kwenda Congo DRC huku kuna biashara kubwa. Yaani tujenge daraja la kwenda kuuza viazi na shanga Zanzibar? Hii biashara kichaa tuachane nayo.
 
Wewe nyumbu,China imejenga sana miradi kama hii.

Huu mradi utakuwa wa PPP na wawekezaji wamekuwa wakitoa hili pendekwzo siku nyingi sana.

Maelfu ya Watalii watashika Dar au Zanzibar then wata cross Kwa Barabara via hii so itakuwa poa sana
Huu ujinga huu uishie huko tusiusikie huko, kuna watalii wanashindwa kuja bara kutoka Zanzibar kisa hakuna daraja?
 
Hilo nalo neno
Ila hawa watu huwa wanaona maji na vyoo kama havina maana
Lakini umepiga pale pale boss
Kweli kabisa ila maji ya Lake Victoria yameishia wapi
Ila mdogo mdogo tutafika
Wenzetu ukiona treni zinazobeba magari na containers utashangaa urefu wake
Tutafanikisha kama viongozi wataamua na wananchi kutoa maoni na kelele kila wakati
Hawa bilakukumbushwa hawashtuki
Inatakiwa Maji safi na Salama kwa wote hilo Daraja sidhani kama litatumiwa na watu wengi kama maji safi na salama.
 
Akichangia mada kwenye kongamano la Uwekezaji kati ya China-Tanzania msomi wa UDSM ameshauri Serikali kujenga Daraja kati ya Dar-Zanzibar Kwa kushirikiana na China.

Akijibu hoja hiyo Waziri wa uwekezaji prof.Kitila mkumbo amesema Serikali Imepokea Ushauri na itaufanyia kazi.
---
Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema Serikali imeyapokea mapendekezo na maoni yaliyotolewa juu ya ujenzi wa daraja kutoka Tanzania bara (Dar es Salaam) kwenda visiwani Zanzibar.

Mbali na hilo amesema matumizi ya pesa ya China (Yuan) na shilingi ya Tanzania katika shughuli za biashara na uwekezaji na nchi ya China, vilevile Serikali imechukua kwenda kuyafanyia kazi kwa kuyachakata.

Mapendekezo hayo yametolewa na Mhadhiri wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Humphrey Moshi wakati akizungumza kwenye Jukwaa la mashirikiano ya maendeleo kati ya China na Tanzania ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 ya diplomasia ya mataifa hayo mawili.

Katika kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 22, 2024, Profesa Moshi amesema China ni rafiki wa kwanza wa Tanzania katika nyanja mbalimbali, hivyo ameomba wawekezaji na Serikali ya nchi hiyo kujenga daraja huku akipendekeza liitwe Daraja la Karume/Nyerere.

Aidha, Profesa Moshi ameomba kuibadilisha reli kati ya Tanzania na Zambia (Tazara) kuwa reli ya kisasa kama zilivyo za China kwa ajili ya kuendana na dunia ya sasa.

"Katika matumizi ya pesa nashauri tutumie Yuan na Shilingi kwa sababu dola ni gharama kubwa, tukitumia pesa za ndani basi tutapunguza hasara na athari mbaya za dola kwenye ulipaji wa deni, mfumuko wa bei na gharama ya maisha," amesema.

Aidha, msomi huyo amesema itakuza matumizi ya sarafu za ndani katika miamala ya kibiashara kama njia ya maendeleo ya kiuchumi.

Sambamba na hilo, Profesa Moshi ameomba uwekezaji katika kilimo cha kisasa ili kuongeza tija, kwa nia ya kuongeza kasi ya kupunguza umaskini, na kukuza uchumi shirikishi zaidi.

Vilevile, amehamasisha matumizi ya vyanzo mbadala vya nishati, yaani jua na upepo, kwa nia ya kupunguza utegemezi wa maji. Pia, kwa upande mwingine ameipongeza nchi ya China kwa kukitangaza Kiswahili.

Katika kuyajibu hayo alipoulizwa na Mwananchi wakati akizungumza na waandishi wa habari nje ya kongamano hilo, Profesa Mkumbo amesema Serikali imeyapokea yote hayo.

"Ni hoja, mawazo na maoni mazuri, tumezipokea tunajua wasomi wamefanyia utafiti mfano kwenye kilimo, daraja na uwekezaji, mimi kama waziri wa mipango na anayesimamia dira ya Taifa tumepokea," amesema.

Sambamba na hilo, amesema uboreshwaji wa reli ya Tazara inayoziunganisha nchi za Tanzania na Zambia huku akisema hadi sasa tayari wameshakubaliana na China kushirikiana namna ya kuifufua reli hiyo.

"Waziri wetu wa uchukuzi ataenda kusaini mkataba na kampuni ya China katika safari ijayo ambapo China imealika nchi 52 za Afrika watasaini kwa ajili ya kuimarisha reli ya Tazara."

Akieleza zaidi, Profesa Mkumbo amesema China kwa sasa inaongoza katika uwekezaji na Tanzania ikiyapiku mataifa ya magharibi na nchi yetu itazidi kuiga China kwakuwa walishawekeza kwenye elimu na uchumi wa viwanda kisha wakaaga umasikini.

"Lazima tuwatoe watu kwenye uchuuzi kwenda kwenye uzalishaji wa viwanda na Serikali inazidi kuweka mkazo kwenye maeneo hayo," amesema Profesa Mkumbo.


My Take
Mfikirie pia kujenga daraja au Trum kati ya Tanzania-DRC Congo via Lake Tanganyika
Sioni umuhim wa daraja hili ndugu Mkumbo ,kama tupo na muungano wa namna hii, wakati ndugu Kitila anawaza daraja binafsi nawaza Muungano ufe kesho kama sivyo twende na serikali 3, au moja watanganyika tumechoka sasa
 
Halina tija kabisa hilo daraja, ni mawazo ya chawa kujipendekeza tu kwa mama!
Yaani nchi ipate hasara kujitumbukiza kwsnye miradi ya kipuuzi kwa faida ya chura kiziwi.
 
Inatakiwa Maji safi na Salama kwa wote hilo Daraja sidhani kama litatumiwa na watu wengi kama maji safi na salama.
Mkuu unafikiri ni NGOs ngapi na misaada mingapi inatumwa kila mwaka kwa ajili ya maji, madawa na hela taslimu?
Kama wangekuwa na wema leo tatizo la maji lingekuwa limeisha zamani sana
Upigaji hata za misaada
Yaani laana itatuandama sana
 
Mkuu unafikiri ni NGOs ngapi na misaada mingapi inatumwa kila mwaka kwa ajili ya maji, madawa na hela taslimu?
Kama wangekuwa na wema leo tatizo la maji lingekuwa limeisha zamani sana
Upigaji hata za misaada
Yaani laana itatuandama sana
Hilo Daraja la Tanganyika to Zanziba linaweza kufikia Billioni 10 US Dollars hebu fikiria hizo fedha zikiingizwa kwenye vipaumbele muhimu?
 
NUKUU: Mtu mwenye akili,akikuambia Jambo la kijinga na wewe ukamkubali, atakudharau.".Mwl.Julius Kambarage Nyerere
1724355313043.png



Sasa waziri wa uwekezaji na tume ya mipango Tanzania mheshimiwa Profesa Kitila Mkumbo ( (Mb), kukubali kutenga fedha na muda wa wataalamu wa wizara yako ili kufanya ubembuzi yakinifu (feasilibility studies) tayari dunia nzima ya watu wenye ufahamu watakuwa tayari wanatia shaka uwezo wa hata kumshauri bosi wako kuhusu mipango na uwekezaji unaofaa kwa nchi yetu Tanzania
 
Kuna shida gani?
Daraja la kwenda Zanzibar lina umbali gani, litafanya biashara gani, litagharimu kiasi gani, return on investment itarudishwa muda gani, litatatua tatizo gani, meli zitapitaje, katika nchi hii yenye matatizo mengi, kwa nini hili liwe kipaumbele?
 
mpeni bi Kizimkazi muone gharama za daraja zitabadirishana na mlima kilimanjaro.
 
Daraja la kwenda Zanzibar lina umbali gani, litafanya biashara gani, litagharimu kiasi gani, return on investment itarudishwa muda gani, litatatua tatizo gani, meli zitapitaje, katika nchi hii yenye matatizo mengi, kwa nini hili liwe kipaumbele?
Huyo ChoiceVariable achana naye! Uchawa tu, hana lolote kichwani
 
Hivi Kwa hali ya Uchumi wetu tutaweza kweli hizo gharama za Ujenzi?

Labda kama tutajenga Kwa njia ya PPP then tukawa tunatumia Kwa kulipia kama ilivyo daraja la Mwalimu Nyerere - Kigamboni

Ni wazo zuri kulitekeleza kama Kuna hiyo nafasi
Yes tutaweza, it called mkopo
 
Daraja la kazi gani ilihali watanzania bara wanabaguliwa huko?
 
Akichangia mada kwenye kongamano la Uwekezaji kati ya China-Tanzania msomi wa UDSM ameshauri Serikali kujenga Daraja kati ya Dar-Zanzibar Kwa kushirikiana na China.

Akijibu hoja hiyo Waziri wa uwekezaji prof.Kitila mkumbo amesema Serikali Imepokea Ushauri na itaufanyia kazi.
---
Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema Serikali imeyapokea mapendekezo na maoni yaliyotolewa juu ya ujenzi wa daraja kutoka Tanzania bara (Dar es Salaam) kwenda visiwani Zanzibar.

Mbali na hilo amesema matumizi ya pesa ya China (Yuan) na shilingi ya Tanzania katika shughuli za biashara na uwekezaji na nchi ya China, vilevile Serikali imechukua kwenda kuyafanyia kazi kwa kuyachakata.

Mapendekezo hayo yametolewa na Mhadhiri wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Humphrey Moshi wakati akizungumza kwenye Jukwaa la mashirikiano ya maendeleo kati ya China na Tanzania ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 ya diplomasia ya mataifa hayo mawili.

Katika kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 22, 2024, Profesa Moshi amesema China ni rafiki wa kwanza wa Tanzania katika nyanja mbalimbali, hivyo ameomba wawekezaji na Serikali ya nchi hiyo kujenga daraja huku akipendekeza liitwe Daraja la Karume/Nyerere.

Aidha, Profesa Moshi ameomba kuibadilisha reli kati ya Tanzania na Zambia (Tazara) kuwa reli ya kisasa kama zilivyo za China kwa ajili ya kuendana na dunia ya sasa.

"Katika matumizi ya pesa nashauri tutumie Yuan na Shilingi kwa sababu dola ni gharama kubwa, tukitumia pesa za ndani basi tutapunguza hasara na athari mbaya za dola kwenye ulipaji wa deni, mfumuko wa bei na gharama ya maisha," amesema.

Aidha, msomi huyo amesema itakuza matumizi ya sarafu za ndani katika miamala ya kibiashara kama njia ya maendeleo ya kiuchumi.

Sambamba na hilo, Profesa Moshi ameomba uwekezaji katika kilimo cha kisasa ili kuongeza tija, kwa nia ya kuongeza kasi ya kupunguza umaskini, na kukuza uchumi shirikishi zaidi.

Vilevile, amehamasisha matumizi ya vyanzo mbadala vya nishati, yaani jua na upepo, kwa nia ya kupunguza utegemezi wa maji. Pia, kwa upande mwingine ameipongeza nchi ya China kwa kukitangaza Kiswahili.

Katika kuyajibu hayo alipoulizwa na Mwananchi wakati akizungumza na waandishi wa habari nje ya kongamano hilo, Profesa Mkumbo amesema Serikali imeyapokea yote hayo.

"Ni hoja, mawazo na maoni mazuri, tumezipokea tunajua wasomi wamefanyia utafiti mfano kwenye kilimo, daraja na uwekezaji, mimi kama waziri wa mipango na anayesimamia dira ya Taifa tumepokea," amesema.

Sambamba na hilo, amesema uboreshwaji wa reli ya Tazara inayoziunganisha nchi za Tanzania na Zambia huku akisema hadi sasa tayari wameshakubaliana na China kushirikiana namna ya kuifufua reli hiyo.

"Waziri wetu wa uchukuzi ataenda kusaini mkataba na kampuni ya China katika safari ijayo ambapo China imealika nchi 52 za Afrika watasaini kwa ajili ya kuimarisha reli ya Tazara."

Akieleza zaidi, Profesa Mkumbo amesema China kwa sasa inaongoza katika uwekezaji na Tanzania ikiyapiku mataifa ya magharibi na nchi yetu itazidi kuiga China kwakuwa walishawekeza kwenye elimu na uchumi wa viwanda kisha wakaaga umasikini.

"Lazima tuwatoe watu kwenye uchuuzi kwenda kwenye uzalishaji wa viwanda na Serikali inazidi kuweka mkazo kwenye maeneo hayo," amesema Profesa Mkumbo.


My Take
Mfikirie pia kujenga daraja au Trum kati ya Tanzania-DRC Congo via Lake Tanganyika
Kujenga daraja hilo kutapoteza ladha ya ya Dr- Zanzibar maana kusafiri kwa boti ni moja ya utalii wa baharini
 
Back
Top Bottom