ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #21
DP World anakujengea nini? Wawekezaji wanakuja Huwa wanakuja Kwa Ajili gani na wanatoka Tzn au Nchi zingine?Mnamtoa mtu nchi nyingine ,mnampa nchi ili awajengee!
Kizmkazi na bara wapi na wapi
Kuna tofauti kati ya mafanikio ya dp world na mafanikio ya nchi
Ni siasa! Kuhamishwa Waziri alitoa tangazo!Kwani Ngorongoro Kuna nini kipya? Watu wameacha kuhamishwa?
Ninaongea habari za chura kiziwiDP World anakujengea nini? Wawekezaji wanakuja Huwa wanakuja Kwa Ajili gani na wanatoka Tzn au Nchi zingine?
Ndio anakujengea,Yuko mbele zaidi Kwa akili kushinda mbumbumbu zilizokariri ujamaa huko BaraNina
Ninaongea habari za chura kiziwi
Sio TanzaniaBotswana: Chama Tawala cha BDP chaondolewa Madarakani baada ya kutawala kwa miaka 58
Tia majiSio Tanzania
Kilichobadilishwa ni kufuta Vijiji,swali Je watu wameacha kuhamishwa Ngorongoro?Ni siasa
Ni siasa! Kuhamishwa Waziri alitoa tangazo!
Kuwarejesha waziri aliwahi kutoa tangazo!
Mnatuona mazombi
Tanzania Kuna Upinzani au waganga njaa?Tia maji
Hizi ndiyo teuzi za hovyoJinga kabisa hilo.
Una akili finyu kama makalio ya batayaani mnapata tabu sana rudini ccm tu huko mliko ni kwa milele hamtaka mje mshike dola mnachkaa bure
Yanasababisha watu wote tuonekane ni wajingaPropesa wa Tanzania wanakera sana
Tena ndiyo zinapanda balaaKwa nini gharama za bidhaa kutoka nje hazishuki bei??
Baada ya serikali kufanya huo uwekezaji wa miundombinu Tija ilipatikana?Kampuni inawekeza bilion 600 kwa miaka mitano kweenye bandari, mnashangilia?
Serikali tu ilifanya uwekzaji hapo wa zaidibya trillion 1. Leo bilion 600 kwa miaka mitano inakua sherehe? Mmerogwa