Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwani hawasemi? Kwani umesimia shida bandarini Kwa Sasa?Uhalisia unatakiwa kusemwa na watumiaji wa bandari husika.
Siyo Dp world wala wanasiasa tumbo tumbo ambao wamehza kila kitu
Kwani kuwekeza Kwa Serikali mabilioni ndio kunaleta ufanisi wa operations?Yaani kampuni inawekeza bili 600? Hii hela serikali ingeshindwa kuweka??
"...Meli zinazosubiri angani" 🤣🤣🤣🤣
Baada ya serikali kufanya huo uwekezaji wa miundombinu Tija ilipatikana?
Umewahi sikia kitu inaitwa EPZ au SEZ? Unajua they it works? Kajifunze pale kwala Serikali imewekeza kitu gani kuwawezesha investors,ukijua Hilo utaacha kuuliza swali la kijinga 👇👇
View: https://x.com/Jambotv_/status/1852270583486062741?t=GEgTs89LEeveEZApxieDkQ&s=19
DP world wameisimamia bandari kongwe kama Southampton Mkuu, kuiita ni kampuni ya mfukoni ni kujishushia heshima yako.Duh dp world sio muda mrefu upepo wa siasa ukienda vibaya usishangae wakatangaza hasara ili wakwepe mabilioni ya Kodi!!
Kampuni za mifukoni hizi madalali ndio wanufaika Niko pale nimetulia!!
Tena hiyo ni kwa miaka mitanoYaani kampuni inawekeza bili 600? Hii hela serikali ingeshindwa kuweka??
Una uhakika kwamba Kuna Mkataba wa milele? Miaka 30 ilisainiwa Kwa Ajili ya nini?"...Meli zinazosubiri angani" 🤣🤣🤣🤣
Unapimaje mafanikio ya mkataba usio na mwisho ndani ya miezi?
Yani huu mkataba hata nchi ikifa wenyewe upo tu, unaupimaje ndani ya miezi michache?
Hivi mmesoma hata kesi ya Djibouti walivyopigwa?
Sasa kwani hawasemi? Kwani umesimia shida bandarini Kwa Sasa?
View: https://x.com/Jambotv_/status/1852268259468329133?t=SnaWzHdTNvbdYdbwff94WQ&s=19
Kampuni gani hiyo ya ubia?Una uhakika kwamba Kuna Mkataba wa milele? Miaka 30 ilisainiwa Kwa Ajili ya nini?
Mwisho unashindwaje kupima matokeo yake baada ya uwekezaji na kabla ya uwekezaji Hali ilivyokua? Au wewe kwako mafanikio yanapimwaje?
Mwisho Djibouti hawakuwa na kampuni ya Ubia kuendesha Bandari so usifananishe ujinga wao na Tanzania.
Ndio,mbona ni kawaida Kwa Serikali kuja na taarifa tofauti? Mbona tumewahi wapa wahindi Kuendesha TRC na hasara zikazidi na Serikali kufuta huo mkataba?Ulitegemea taarifa tofauti na hiyo kutoka kwa waziri aliyesimamia hilo suala?
Profesa wa mchongo
Mmewacha hoja mnamvaa mtowa hoja?Prof mjinga kabisa kuwahi kutokea
Umemabiwa ucheleweshaji umepungua Kwa sana na huo ucheleweshaji sio operational bottonecks za DP World Bali ni Serikali Haina mahala pa kuweka makasha uote.Shida zipo
Ucheleweshaji wa mizigo bado upo sana
Gharama zimependa kwa watumiaji wa bandari
Kwa wasiowajua wasingida wataamini anachokisema ngoja anyofolewe hapo utasikia ulimi wake wa piliThe Big Chawa kwenye ubora wake.
Miaka 30 ilisainiwa wapi? Weka document hapa.Una uhakika kwamba Kuna Mkataba wa milele? Miaka 30 ilisainiwa Kwa Ajili ya nini?
Mwisho unashindwaje kupima matokeo yake baada ya uwekezaji na kabla ya uwekezaji Hali ilivyokua? Au wewe kwako mafanikio yanapimwaje?
Mwisho Djibouti hawakuwa na kampuni ya Ubia kuendesha Bandari so usifananishe ujinga wao na Tanzania.
Ona Sasa kumbe unaropoka hujui kitu.Kipengele Cha kuvunja kipo bila hizo fidia kama atakiuka makubalianoMiaka 30 ilisainiwa wapi? Weka document hapa.
Unapima nini? Haya mambo ya ufanisi ambao tungeweza kuyabadili wenyewe au hata kuajiri kampuni ya kimataifa kuyabadili?
Kuwa na kampuni ya ubia ya kuendesha bandari ndiyo kunaweza kutupa nguvu ya kuvunja mkataba bila fidia kama tunaona mkataba haufai?
Kama huweykusikiliza video ya Kitila soma maelezoKampuni gani hiyo ya ubia?
Gharama zipi zilizopanda Kwa Watumishi wa gati 3 za DP World,zitajeShida zipo
Ucheleweshaji wa mizigo bado upo sana
Gharama zimependa kwa watumiaji wa bandari
DP world kampuni ya mfukoni!?..muwe mnajielimisha, kampuni inaendesha bandari uingereza unasema ya mfukoni!!Duh dp world sio muda mrefu upepo wa siasa ukienda vibaya usishangae wakatangaza hasara ili wakwepe mabilioni ya Kodi!!
Kampuni za mifukoni hizi madalali ndio wanufaika Niko pale nimetulia!!