Animal Keeper
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 348
- 282
Kwa ujio huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nalikumbuka swali lako... na wakati watu tunaelezea uhalisia, wengine walitukejeli! Leo hii inashangaza kuona mtu asiye na wafuasi lakini bado ameweza kuingia HQ! Na tukiweka unafiki pembeni, hata hapa JF tunaowaona wapo sana upande wa akina Mtatiro ni watu wa CHADEMA ndio wengi kuliko CUF!Niliwahi kuuliza humu CUF Lipumba yuko peke yakeau ana wafuasi?
naona kumbe kina Mtatiro hawajui wanachofanya
Halafu Mtatiro nae kahamia Zanzibar?
Walio na uchungu na Chama ndio waliofukuzwa walio na uchungu na Lipumba ndio watakao achwa na kuteuliwa.safi sana prof.lipumba, pangua wote wasio na uchungu ndani ya chama!
Kwani Mtatitiro kajiweka? Lipumba anatambuliwa na Mtungi au anatambuliwa na CUF?Baraza kuu linaitishwa na katibu mkuu kwa kushauriana na Mwenyekiti amabae ni Lipumba
Kina mtatiro wanaenda kuitisha kikao cha harusi tu kwa kuwa HSefu ni lazima ashauriane na Lipumba sio Mtatiro ambae hatambuliwi
Dogo ukawa ilishakufa tangu mmemkaribisha fisadi mkuu!Wabunge Wa cuf msimkubali huyo mnafiki hakupigana Na nyinyi vitani alikuwa Na adui yenu siku zote Sheria ya Vita ni kumpigania uliyepigana naye vitani huyo yuko kwa ajili ya lumumba 2020 atawaacha tena simamieni haki yenu msije juta 2020 hajui machungu yenu wakati Wa Vita yeye hata kushuhudia akushuhudia alikuwa Rwanda wabunge wengi mnajua ni nguvu ya ukawa ata huyo sakaya akuwa Na ubavu Wa kumwangusha kapuya au maftaa akuwa Na ubavu Wa kumwangusha mujri bila ukawa nyinyi kama wanajeshi mnatakiwa kumpigania uliyepigana naye vitani nawashauri tu Maalim seif ndio aliwaongoza kwenye Vita mkashinda Na mnajua humuhimu wake cuf huyo jamaa anawauza 2020 mtajuta Na siyo mbali
Kwa ujio huu
Ukiona akina Ruttashobolwa wanasifia upinzani basi ujue huo upinzani ni UCHWARAsafi sana Prof suka upya chama tunahitaji wapinzani ngangari
Nalikumbuka swali lako... na wakati watu tunaelezea uhalisia, wengine walitukejeli! Leo hii inashangaza kuona mtu asiye na wafuasi lakini bado ameweza kuingia HQ! Na tukiweka unafiki pembeni, hata hapa JF tunaowaona wapo sana upande wa akina Mtatiro ni watu wa CHADEMA ndio wengi kuliko CUF!