Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Status
Not open for further replies.
Nalikumbuka swali lako... na wakati watu tunaelezea uhalisia, wengine walitukejeli! Leo hii inashangaza kuona mtu asiye na wafuasi lakini bado ameweza kuingia HQ! Na tukiweka unafiki pembeni, hata hapa JF tunaowaona wapo sana upande wa akina Mtatiro ni watu wa CHADEMA ndio wengi kuliko CUF!
Ina maana lile group alilokuja nalo lipumba pale makao makuu ndio wafuasi wa CUF nchi nzima? Mbona hata Diamond sio mwanasiasa lakini anao wafuasi wengi sana...Hata leo DR.Slaa akirudi Chadema atapata wafuasi..
 
duh, inabidi watafute njia ya kudeal na huyu jamaa kabla hajaleta further damage
Cause hali ikiendelea hivi, chama kinaonekana kiko on the edge ya kuparanganyika
Ila this prof should REALLY be ASHAMED of himself kwa huu ujinga anaofanya na kukubali kupelekeshwa kuharibu/dhoofisha chama ambacho amekuwa nacho na kukitumikia for years.
Unapendekeza njia gani kwa mfano?
 
But, yawezekana napata shida kuunganisha dots. Hivi ni kweli CUF ndiyo great threat kwa CCM? I'm just curious, I guess there is something wrong within CUF itself, I'm not happy with what happens to CUF but I think the party members should open up the box and see what eats them inside
Usipate shida sana mkuu. Ni suala la ZANZIBAR na uchaguzi uliovurugwa na Jecha. Hapa lengo ni kuifuta CUF kama ni chama cha siasa ili suala la uchaguzi Zanzibar liwe halina mashiko kwa Maalim Seif as his political party will be no longer existing!

Kitakachofata kutoka hapo ni Independent Zanzibar. Mark my words!
 
Hili swali ni la msingi sana, binafsi nashindwa kuelewa hii jeuri na nguvu Prof. Lipumba anaitoa wapi, kama hakubaliki au hana wafuasi ndani ya CUF anapata wapi ujasiri wa kutaka kurudi kwenye nafasi ya uenyekiti? akamuongoze nani? Nadhani kuna shida miongoni mwa viongozi ndani ya CUF, wanajaribu kujenga picha ya kwamba Lipumba hana wafuasi na hakubaliki ndani ya CUF lakini katika reality inaonekana ana backup ya watu.
Ndugu umegonga kwenye uhalisia, mimi mara ya kwanza kushangaa ni kwenye mkutano wa baraza kuu la Taifa ambao uliisha kwa fujo. Niliangalia ule mkutano na nikastushwa na back up aliyokuwa nayo Prof, uhalisia wa kule ni tofauti na wa huku mtandaoni. CUF bara walikuwa bado wanamtaka Prof wakati CUF visiwani walikuwa watiifu kwa Maalim.
 
duh, inabidi watafute njia ya kudeal na huyu jamaa kabla hajaleta further damage
Cause hali ikiendelea hivi, chama kinaonekana kiko on the edge ya kuparanganyika
Ila this prof should REALLY be ASHAMED of himself kwa huu ujinga anaofanya na kukubali kupelekeshwa kuharibu/dhoofisha chama ambacho amekuwa nacho na kukitumikia for years.
Baada ya kufanikiwa kurudi sasa mnasema ni ujinga wake. Vp alivyofukuuzwa baada yabkukijenga chama mda mrefu? Sasa si amerudi!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom