The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Kwa mwendo huu makao makuu yanaweza hamishiwa Zenji, sidhani kama CUF ya Maalim unaweza tena pata support au kuwarudisha wafuasi wengi watakao wapoteza baada ya hii dhoruba.
Lakini kitu kikubwa zaidi ni impact ya huu mgogoro kwa CDM 2020, kuna wabunge wengi wa UKAWA watadondoka kwa sababu ya huu mgogoro. Ni wazi majimbo ya Dar na Tanga yatarudi CCM kama hakutakuwa na UKAWA. CDM wanafikiria kuhusu umeya wa kesho kutwa ambao hata kama UKAWA ikivunjika bado wanaweza kuwa confront madiwani wachache tu wa CUF na kushinda badala yake inabidi waanze kufikiria 2020. Hiyo ni kete dume imerushwa na CCCM.
Wanapaswa kuzungumza nae.....
kama ana wafuasi hadi wabunge kugombana nae hadi mpoteze wabunge sio akili wala busara