Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Status
Not open for further replies.
Mtatiro kawekwa kinyume cha katiba,Lipumba anatabuliwa na katiba ya cuf
Lakini si alijiuzulu na kukiacha chama katika wakati mgumu sana! Unadhani CUF kinamhitaji Lipumba? Hebu tuwe serious angalau kidogo! yaani wale polisi waliompiga mabomu kule Mbagala ghafla wamegeuka kuwa marafiki zake kiasi cha kumsindikiza na kumlinda wakati anafanya kosa la jinai la kuharibu mali na "criminal tracepass"? Hivi kwanini kama serikali inahofia mfumo wa vyama vingi kwa kiwango hiki tusirudi tu kwenye mfumo wa chama kimoja?
 
Nimemkumbuka Ismail Aden Rage. Vikao vilivyofanywa na vitakavyofanywa na Seif na Mtatiro vitakuwa vikao vya harusi tu. Ni bora waende mahakamani tu..
 
Ubungo hawawez mayb kinondoni....maana kibamba yote ni wamechukuwa Chadema na ubungo bia.
Nahisi umeya wa Ubungo na Kinondoni kuludi CCM. Mission complete chezea ccm wewe mahesabu ya mbali kabisa mkishtuka tayali zamaani wamemaliza michezo
 
Inaonesha hqtq utaratibu wa kujiudhuru huujui,,lipumba hakutimiza vigezo vya kisheria vya kujiudhuru
Mimi ninachokifahamu ni
Kuandika barua na barua ikishapokelewa na kukubaliwa na muhusika /wahusika, nothing is needed.
Na hayo yote Lipumba alishatimiza, zaidi alimentation vyombo vya habari na kujiunguza.

Haya wewe kisabengo ebu tujuze ukijuacho?
 
Lakini si alijiuzulu na kukiacha chama katika wakati mgumu sana! Unadhani CUF kinamhitaji Lipumba? Hebu tuwe serious angalau kidogo! yaani wale polisi waliompiga mabomu kule Mbagala ghafla wamegeuka kuwa marafiki zake kiasi cha kumsindikiza na kumlinda wakati anafanya kosa la jinai la kuharibu mali na "criminal tracepass"? Hivi kwanini kama serikali inahofia mfumo wa vyama vingi kwa kiwango hiki tusirudi tu kwenye mfumo wa chama kimoja?
Katiba ya cuf haijui hilo
 
CUF kurudi kwa lipumba ndio inajimaliza. maamuzi ya wanachma hayaheshimiwi, msajili wa vyama ndio ana dictate nani awe mwenyekiti! AIBU
Kama aliwahi kuwa mwenyekiti na Cuf haikufa iweje ife leo?kama ivyo ndivyo basi acha ife
 
Ina maana lile group alilokuja nalo lipumba pale makao makuu ndio wafuasi wa CUF nchi nzima? Mbona hata Diamond sio mwanasiasa lakini anao wafuasi wengi sana...Hata leo DR.Slaa akirudi Chadema atapata wafuasi..
Ni wapi pamepata kukusanya wafuasi wa chama chochote wa nchi nzima?! Kukata mzizi wa fitina, tuwashauri Maalim Seif na Mtatiro waende pale HQ...simple like that!
 
Baraza kuu linaitishwa na katibu mkuu kwa kushauriana na Mwenyekiti amabae ni Lipumba
Kina mtatiro wanaenda kuitisha kikao cha harusi tu kwa kuwa HSefu ni lazima ashauriane na Lipumba sio Mtatiro ambae hatambuliwi





Lipumba si Mwenyekiti wa CUF,alijiudhuru mwenyewe kwa hiari yake na barua ya kujiudhuru kwake ipo,kilichofanywa na Mutungi ni harakati zake binafsi za kuisaka tuzo,baada ya kusikia Jecha kuamriwa apewe tuzo kwa kuipora CUF ushindi wake.

Tuzo za usariti na uvunjaji katiba zitaliangamiza Taifa.
 
ANC ndio wamewamuweka hapo maana rangi ya chama inafanana ukisema chama waliomuweka hapo utaambiwa mchochezi...
 
Huyu mtu ni hatari ya zaidi tunavyozani.......CUF watafute njia sahihi ya kumdhibiti.
Sawa tulikubali lipumba ni kikwazo lakini safari hii ni kikwazo ZAIDI maana nyoka amepita huko na huko na sasa Yuko NDANI ya nyumba tena kwa mara nyingine tena
Kumtoa huko ni shughuli haswaa!
 
Siasa za Tanzania zina mengi sana
Lipumba kabla hajajiuzulu aliwahi kutaka kujiuzulu zamani
sababu ni Seif kuwaburuza wana CUF wa bara
na wana CUF wa bara wanalijua hilo
alianza kupata 'die hard fans' kwa hilo..kitendo cha juzi Seif kumchagua
Mtatiro kimezidisha tatizo......wao hawataki 'mwenyekiti kibaraka'
na Seif kafanya exactly wasichotaka.....na sasa kila kitu kinaamuliwa Zanzibar...

Hili la kusema Lowassa ndo sababu nil la juu juu sana...
Hawa wafuasi wa Lipumba wana mengi sana...ndo maana huu mgogoro unazidi kuwa mkubwa....
Kwanini lisiwekwe wazi jambo hili ili tuelewe? Seif anawaburuzaje wana CUF wa bara? Lipumba ana tatizo kubwa la ubaguzi na ushahidi upo kwamba anafanya siasa za udini. Pepo hilo la ubaguzi alilonalo sasa linampeleka kuanzisha ubaguzi mwingine wa ubara na uvisiwani. CUF chini ya Lipumba kitakuwa chama cha ajabu sana. Kwa ufupi Profesa ameamua kutumika mazima kuua upinzani kwa maslahi yake binafsi!
 
naona kaja kwa kazi moja tu kuaribu mchakato wa Umeya basi azame tena Rwanda
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom