Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamanisha Kama Alivyo Fanywa Mtikila?hivi CUF wanashindwa kumpoteza prof. kwa njia yoyote ile?
UnataniaProfessor kachanganyikiwa.
Labda kinondoni,ila Ubungo sidhani!Nadhani lengo lao ccm limetimia...wanataka kumtumia lipumba kuharibu kura za umeya kinondoni na ubungo...kaa chonjo
Sasa ndo umeongea nnCUF ni chama cha kitaifa, usidhani CUF chama cha kikanda kama vyama vingine.
Ukielewa maana ya SIASA huwezi kuumiza kichwa juu ya hili.Refer mabadilikooooooooooooooo.duh, inabidi watafute njia ya kudeal na huyu jamaa kabla hajaleta further damage
Cause hali ikiendelea hivi, chama kinaonekana kiko on the edge ya kuparanganyika
Ila this prof should REALLY be ASHAMED of himself kwa huu ujinga anaofanya na kukubali kupelekeshwa kuharibu/dhoofisha chama ambacho amekuwa nacho na kukitumikia for years.
Yaliyoipata NCCR ya Mrema.Hatua hii kaichukua kwa madai ya kwamba anakisuka chama upya. Professor Lipumba kachukua hatua hii mara baada ya jana kurudi katika kiti chake ikiwa ni maamuzi ya msajili wa vyama vya siasa, ambaye kisheria ndio mlezi wa vyama vyote vya siasa!...
Katika kauli yake, kasema hii ni hatua ya kawaida katika kusuka chama ili kiendane na wakati na kujipanga kwa uchaguzi wa meya Kinondoni na Ubungo, na uchaguzi mkuu wa 2020...
Pia, Prof. Lipumba kawaonya wabunge wa CUF kuacha kurukia mambo na kasema watii katiba, sheria, na kanuni za chama hicho vinginevyo watapoteza nafasi zao
Hayo yakiwa yanaendelea kwa upande mwingine viongozi wa mpito wakiongozwa na Mtatiro na Maalim Seif wameitisha baraza kuu itakayofanyika siku ya Jumanne Zanzibar ili kutoa kauli ya pamoja ya kupinga maamuzi ya Jaji Mtungi
Kikao kilichoketi 28,August kilitangaza kumfukuza uanachama Lipumba.Alifukuzwa na nani ?! Alijiuzulu mwenyewe
Profesa anadai haki yake kwani kadhalilishwa sana na Sefu...duh, inabidi watafute njia ya kudeal na huyu jamaa kabla hajaleta further damage
Cause hali ikiendelea hivi, chama kinaonekana kiko on the edge ya kuparanganyika
Ila this prof should REALLY be ASHAMED of himself kwa huu ujinga anaofanya na kukubali kupelekeshwa kuharibu/dhoofisha chama ambacho amekuwa nacho na kukitumikia for years.
Nimecheka sana...kwahiyo MAALIM anaweza kuwekwa KANDO naziona CUF mbili za Tanganyika na Zanzibar na Ndugu MUTUNGI kwakuwa anajua alichoanzisha anasogeza Stuli yenye POPCORN....watawala nao wanagida MVINYO kwamba malengo yanakaribia kutimiaDu!
Naona wameamua kuiua CUF. Katibu mkuu huwa anateuliwa na Mwenyekiti, kwa mantiki hiyo Lipumba anauwezo wa kumsimamisha Maalimu Seifu....
Mkuuu ile barua yake ya kujiudhuru unayo? Tuwekeee kwa rahisi ya rejea tafadhaliAshahuriane na Mwenyekiti aliyejiudhulu?
You mutu, are you mad?