Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Status
Not open for further replies.
hii kiti si ya kutumia nguvu kujua nn kinaendelea.....yan urudishwe ofisin kwa nguvu ya jeshi??....ambalo siku zote huwa linapinga harakati za upinzani??......yana mwisho lakin....na kweny hili mwisho hauko mbalii
 
Nadhani lengo lao ccm limetimia...wanataka kumtumia lipumba kuharibu kura za umeya kinondoni na ubungo...kaa chonjo
 
Naam,
Kazi aliyotumwa na Wanalumumba kupitia Msajili wa Vyama vya Siasa ya Kuipasua pasua CUF ndio anaianza kwa Njia hii,
 
duh, inabidi watafute njia ya kudeal na huyu jamaa kabla hajaleta further damage
Cause hali ikiendelea hivi, chama kinaonekana kiko on the edge ya kuparanganyika
Ila this prof should REALLY be ASHAMED of himself kwa huu ujinga anaofanya na kukubali kupelekeshwa kuharibu/dhoofisha chama ambacho amekuwa nacho na kukitumikia for years.
Ukielewa maana ya SIASA huwezi kuumiza kichwa juu ya hili.Refer mabadilikooooooooooooooo.
 
Hatua hii kaichukua kwa madai ya kwamba anakisuka chama upya. Professor Lipumba kachukua hatua hii mara baada ya jana kurudi katika kiti chake ikiwa ni maamuzi ya msajili wa vyama vya siasa, ambaye kisheria ndio mlezi wa vyama vyote vya siasa!...

Katika kauli yake, kasema hii ni hatua ya kawaida katika kusuka chama ili kiendane na wakati na kujipanga kwa uchaguzi wa meya Kinondoni na Ubungo, na uchaguzi mkuu wa 2020...

Pia, Prof. Lipumba kawaonya wabunge wa CUF kuacha kurukia mambo na kasema watii katiba, sheria, na kanuni za chama hicho vinginevyo watapoteza nafasi zao

Hayo yakiwa yanaendelea kwa upande mwingine viongozi wa mpito wakiongozwa na Mtatiro na Maalim Seif wameitisha baraza kuu itakayofanyika siku ya Jumanne Zanzibar ili kutoa kauli ya pamoja ya kupinga maamuzi ya Jaji Mtungi
Yaliyoipata NCCR ya Mrema.
 
Hivi huko CUF hakuna wanaume jamani? Mnakubali kuchezewa hivi kw anini?
 
duh, inabidi watafute njia ya kudeal na huyu jamaa kabla hajaleta further damage
Cause hali ikiendelea hivi, chama kinaonekana kiko on the edge ya kuparanganyika
Ila this prof should REALLY be ASHAMED of himself kwa huu ujinga anaofanya na kukubali kupelekeshwa kuharibu/dhoofisha chama ambacho amekuwa nacho na kukitumikia for years.
Profesa anadai haki yake kwani kadhalilishwa sana na Sefu...

Hujiulizi kwanini vikao vinafanyikia Zanzibar na sio Bara?

Sefu atamjua tu Profesa maana hajui mziki wake. Mziki wa Profesa sio wa Dr Slaa ambaye aliiacha Chadema akaenda ughaibuni...Profesa ni Jino kwa Jino hasaaa yaani ni Ngangari kinomaaaa...
 
Huu mutungi uliopasuka jana utatuletea shida kwenye nchi ndo tatizo la kuteuliwa hili huyu atakuwa kahukumu watu kibao kimakosa mungu tuepushe na viongozi dizaini hii
 
Tanzania ni Amani Sana,Burundi huwezi kufanya kama anavyofanya lipumba yaani kesho yake tu tungeongea Mambo mengine.
 
Du!
Naona wameamua kuiua CUF. Katibu mkuu huwa anateuliwa na Mwenyekiti, kwa mantiki hiyo Lipumba anauwezo wa kumsimamisha Maalimu Seifu....
Nimecheka sana...kwahiyo MAALIM anaweza kuwekwa KANDO naziona CUF mbili za Tanganyika na Zanzibar na Ndugu MUTUNGI kwakuwa anajua alichoanzisha anasogeza Stuli yenye POPCORN....watawala nao wanagida MVINYO kwamba malengo yanakaribia kutimia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom